Benjamin Lawrence
Member
- Jan 7, 2017
- 13
- 10
Jamani waungwana naombenie Msaada wenu
Kunatatizo limetokea kwenye facebook account ya rafiki yangu..
Kwasasa rafiki yangu huyu hana simu janja takribani Wiki tatu sasa
But Jana kuna mtu amepost matusi na mambo ya ajabu kwenye ile facebook account... Mpaka saivi nnavoandiki hivi jamaangu huyo kalazwa hospital kutotana na pressure na msongo wa mawazo..
Naombeni msahada wenu tutawezaje ku recover ile facebook account Na hata kumjua mtu anaeitumia
Tafadharini jaman naomaba mnisaidie
Kunatatizo limetokea kwenye facebook account ya rafiki yangu..
Kwasasa rafiki yangu huyu hana simu janja takribani Wiki tatu sasa
But Jana kuna mtu amepost matusi na mambo ya ajabu kwenye ile facebook account... Mpaka saivi nnavoandiki hivi jamaangu huyo kalazwa hospital kutotana na pressure na msongo wa mawazo..
Naombeni msahada wenu tutawezaje ku recover ile facebook account Na hata kumjua mtu anaeitumia
Tafadharini jaman naomaba mnisaidie