Sammy Nyoni
Member
- Aug 25, 2010
- 9
- 0
Wakati freedo inakuja kesho mtaweza kuzima moto wa hiyo freedom? Maana haiji kibaridi baridi... Kitawaka hapa ohooo... Mimi mbio sina jamani
hapo kwenye red 100/100=1
pia naunga mkono hoja kwa 100%, tena ikiwezekana kabla vikao vya bunge hili havijaisha tuingie barabarani.
<br />Naunga mkono hoja; kama baba, huwezi kukemea tabia mbaya za mtoto ambazo na wewe unazo!!!!!!!!!!
Leo Wanje kanifurahisha sana
Wanje kasema
hawezi kusema ni sahihi polisi kula rushwa pia hawezi kutumia nguvu na akili nyingi kupiga kelele kwa polisi wapunguze rushwa
Akaongeza wabunge wengi wa CCM wanawakandia polisi kwa kula rushwa ila wanasahau kuwa polisi wameamua kujimegea kilicho mbele yao kama vile mawaziri wanavyojimegea.
Akamaliza hivi :kama tunataka rushwa ikomeshwa ndani ya jeshi la polisi tuimalize kwanza kwenye baraza la mawaziri na wakuu wa idara vinginevyo tuwaache polisi waendelee hivyohivyo walivyo.
my take: ccm wasilinyooshee kidole jeshi la polisi kwa rushwa kwani na wao (ccm) NI MAFISADI WAKUBWA.
Leo Wanje kanifurahisha sana
Wanje kasema
hawezi kusema ni sahihi polisi kula rushwa pia hawezi kutumia nguvu na akili nyingi kupiga kelele kwa polisi wapunguze rushwa
Akaongeza wabunge wengi wa CCM wanawakandia polisi kwa kula rushwa ila wanasahau kuwa polisi wameamua kujimegea kilicho mbele yao kama vile mawaziri wanavyojimegea.
Akamaliza hivi :kama tunataka rushwa ikomeshwa ndani ya jeshi la polisi tuimalize kwanza kwenye baraza la mawaziri na wakuu wa idara vinginevyo tuwaache polisi waendelee hivyohivyo walivyo.
my take: ccm wasilinyooshee kidole jeshi la polisi kwa rushwa kwani na wao (ccm) NI MAFISADI WAKUBWA.
:kama tunataka rushwa ikomeshwa ndani ya jeshi la polisi tuimalize kwanza kwenye baraza la mawaziri na wakuu wa idara vinginevyo tuwaache polisi waendelee hivyohivyo walivyo.
Mtoto wa mama ntilie namkubali heko CDM
Hawa ndio viongozi ambao mnasema wataipeleka Tanzania kwenye rank ya kimataifa? Hizi kauli za kitaarabu taarabu na mipasho ndio mnataka zijenge the best economy in EA? Two wrong cant make it right, rushwa ni sumu ya maendeleo either iliwe na JK au iliwe na mwalimu wa msingi pale Sukita. It's obvious kwamba baadhi ya wabunge wetu wana either maono madogo au wanafuata upepo.
utatumia miaka kumi kueleweshwa na hutaelewaKwa hiyo Wenje anasema nini sasa? Ni halali kwa wadogo kula rushwa kwa sababu wakubwa wanakula rushwa?
Kwa minajili hii anatuambia kwamba na yeye anakula rushwa kwa sababu mawaziri wanakula rushwa?
Kama hali rushwa, kwa nini anasema "hawezi kutumia nguvu nyingi kupigia kelele polisi wapunguze rushwa" ?
Anaelewa kwamba "two wrongs do not make a right"?
Kwamba wrong is wrong, even if the entire Tanzanian population is doing it.
Wabunge wetu wanaelewa kwenda kwa principle au ni bendera kufuata upepo?
Hawa ndio wanamageuzi wenyewe hawa? Wanao excuse rushwa kwa sababu mkubwa anakula rushwa?
Really?
Wenje anataka kero za wananchi wa kawaida zifugwe eti kwa sababu Mawaziri wanakula rushwa?
Kama tuna uwezo wa kukamata traafic police wanaoomba rushwa, tuwaachie kwa sababu mawaziri wanakula rushwa?
Huyu ndiye mbunge wetu msomi huyu?
Hivi alikuwa anamsema Lusinde hajasoma, yeye kasoma nini? Alichosoma kimemsaidiaje mpaka sasa kiasi anaweza kutoa kauli za kipumbavu kama hizi?
Hawa ndio viongozi ambao mnasema wataipeleka Tanzania kwenye rank ya kimataifa? Hizi kauli za kitaarabu taarabu na mipasho ndio mnataka zijenge the best economy in EA? Two wrong cant make it right, rushwa ni sumu ya maendeleo either iliwe na JK au iliwe na mwalimu wa msingi pale Sukita. It's obvious kwamba baadhi ya wabunge wetu wana either maono madogo au wanafuata upepo.
utatumia miaka kumi kueleweshwa na hutaelewa