Ezekiel 18:21

The Prophet

JF-Expert Member
Mar 17, 2011
682
94
...lakini mtu mbaya akighairi na kuacha dhambi zake zote alizozitenda, na kushika amri zangu zote na kutenda yaliyo halali na haki, hakika ataishi, hatakufa.

Kwa unabii huu, na kwa imani ya milele niliyonayo kwa maandiko matakatifu katika Biblia Taskatifu ya Mungu, naonya na kutamka mambo mawili:

1. Kinachoendelea kwa babu loliondo ni usanii. dawa siyo kikombe cha babu. dawa ni kutenda yaliyohalali na haki. utaishi. hutakufa.

2. Lowassa anajiwinda kwa gharama yoyote kutaka kugombea urais upande wa CCM, lakini dhambi alizotenda tunazifahamu na yeye anazijua, ndiyo maana alijiuzulu kwa sababu ya dhambi hizohizo, na wala hajawahi kusimama na kuwaomba radhi watanzania, na sasa anataka kugombea urais. Hajatenda yaliyo halali na haki. Huyu Lowassa hataishi milele, atakufa.
 
... wala hajawahi kusimama na kuwaomba radhi watanzania, na sasa anataka kugombea urais. hajatenda yaliyo halali na haki.
Hapo kwenye blue: hivi na hao watakao mchagua kuwa rais watakuwa na akili kweli...?
 
Unazungumziaje Uponyaji uliofanywa na Yesu kwa watu wenye magonjwa mbalimbali.

Wanasiasa wao kuamua kutumia mwanya huu ,ili wafikie malengo yao hawatafanikiwa kwani la Mungu litasimama tu.

Tumeumbwa kwa Sura na Mfano wa Mungu,hivyo ni wazi kabisa tunapaswa kufanya yanayompendeza na kufanana naye.

Na kuhakikisha katika Uchaguzi tunachagua kilicho Bora kwa maendeleo ya Tanzania,tusiangamie kwa kukosa maarifa.

Maana hata wana wa Israeli walipotaka jambo fulani kwa matakwa yao Mungu aliruhusu wakapata na walipopata shida na kuadhibiwa na baadaye kumgeukia Mungu, Mungu aliwapatia mtu wa kuwatoa huko.

Hivyo nasi kama watanzania tunapaswa kujifunza,je waliopo huku madarakani wametufanyia nini au wametumia kura zetu kama fimbo ya kutuchapia,na kutunyonya.

Na si kwasababu mtu anatoa msaada fulani kwa wakati fulani basi huyo anakufaa milele.

Ubarikkiwe
 
The prophet nakuomba uangalie upya bibila yako, maana ya kwangu inanionesha kua kitabu cha Ezekiel sura ya 8, kinaishia mstari wa 18, sasa wewe huo wa 21 sijui umeutoa wapi, ama unataka kuudanganya umma wa jf, ama ni a mistake umefanya kwa bahati mbaya ama ni kitu gani,,, rekebisha tafadhali.
 
the prophet nakuomba uangalie upya bibila yako, maana yakwangu inanionesha kua kitabu cha Ezekiel sura ya 8, kinaishia mstari wa 18, sasa wewe huo wa 21 sijui umeutoa wapi, ama unataka kuudanganya umma wa jf, ama ni a mistake umefanya kwa bahati mbaya ama ni kitu gani,,, rekebisha tafadhali.
kumbe hata ya kwako!nilidhani yangu imechakachuliwa,hata hivyo ni Ezekia 18:21.alikosea kidogo
 
The prophet nakuomba uangalie upya bibila yako, maana ya kwangu inanionesha kua kitabu cha Ezekiel sura ya 8, kinaishia mstari wa 18, sasa wewe huo wa 21 sijui umeutoa wapi, ama unataka kuudanganya umma wa jf, ama ni a mistake umefanya kwa bahati mbaya ama ni kitu gani,,, rekebisha tafadhali.

Max Melo nakuona upo humu, tafadhali kama anachokisema mdau hapa ni kweli, chukua hatua kabla thread haijasomwa na wengi zaidi..
 
The prophet nakuomba uangalie upya bibila yako, maana ya kwangu inanionesha kua kitabu cha Ezekiel sura ya 8, kinaishia mstari wa 18, sasa wewe huo wa 21 sijui umeutoa wapi, ama unataka kuudanganya umma wa jf, ama ni a mistake umefanya kwa bahati mbaya ama ni kitu gani,,, rekebisha tafadhali.

Mmh kweli bana, hata mi sijaona huo mstari wa 21, mkuu ebu chek fresh afu tujadili
 
Uponyaji wa babu unahusiana vipi na Lowassa? Acha kuchanganya mambo.....
 
...lakini mtu mbaya akighairi na kuacha dhambi zake zote alizozitenda, na kushika amri zangu zote na kutenda yaliyo halali na haki, hakika ataishi, hatakufa.

Kwa unabii huu, na kwa imani ya milele niliyonayo kwa maandiko matakatifu katika Biblia Taskatifu ya Mungu, naonya na kutamka mambo mawili:

1. Kinachoendelea kwa babu loliondo ni usanii. dawa siyo kikombe cha babu. dawa ni kutenda yaliyohalali na haki. utaishi. hutakufa.

2. Lowassa anajiwinda kwa gharama yoyote kutaka kugombea urais upande wa CCM, lakini dhambi alizotenda tunazifahamu na yeye anazijua, ndiyo maana alijiuzulu kwa sababu ya dhambi hizohizo, na wala hajawahi kusimama na kuwaomba radhi watanzania, na sasa anataka kugombea urais. Hajatenda yaliyo halali na haki. Huyu Lowassa hataishi milele, atakufa.

The Prophet Nakushukuru kwa thread nzuri.

Mungu alisema watu wangu wanaangamia kwa kukosa maarifa!

Ndivyo tulivyo Watanzania. Matatizo yote yanayotupata sasa,shida zote zinazotuumiza sasa nisababu ya kukosa maarifa! ''

Kuna sehemu kwenye Biblia imeeandikwa ''' TIINI MAMLAKA ZILIZOPO DUNIA NA KILA MAMLAKA DUNIA ILIYOWEKWA IMETOKA KWA MUNGU'' Si kwamba Mungu alisema hivyo kumaanisha kila mamlaka inayoongoza ni halali! Lahasha! Wakati Mwingine tunapokosa maarifa Mungu huacha tupate viongozi Bomu ili tutakapoanza kuumia tumrudie yeye na kumwomba maarifa.....sasa inapotokea mtu kama Lowasa anataka kugombea Urais alafu tumchague kweli maarifa yetu yatakuwa yamezikwa.!!

Tukumbuke hata wana Israel walimchagua SAULI kwa kukosa maarifa.....SAULI akawatesa sana. Walipopata Shida wakamlilia Mungu Ndiposa alipowachagulia DAUD.....Basi wandugu tumwombe Mungu ili tusichague makapi na Masauli wengine!
 
EZEKIEL 18:21 ''''...lakini mtu mbaya akighairi na kuacha dhambi zake zote alizozitenda, na kushika amri zangu zote na kutenda yaliyo halali na haki, hakika ataishi, hatakufa.

unaweza kuanzia mstari wa EZEKIEL 18:20-
 
hata mwinyi aliupata urais baada ya mutenda dhambi na kujiuzulu ndio akakubalika kwamba ni muadilifu anakubali na ana take responsibility kwa action zake! kwa iyo hizi talk za what lowassa did tuziweke pembeni na tujadili ya msingi we not gonna live our lives everyday in the shadow of what he did! tutamjudge kama atakavyokuja mbele yetu!
 
The prophet nakuomba uangalie upya bibila yako, maana ya kwangu inanionesha kua kitabu cha Ezekiel sura ya 8, kinaishia mstari wa 18, sasa wewe huo wa 21 sijui umeutoa wapi, ama unataka kuudanganya umma wa jf, ama ni a mistake umefanya kwa bahati mbaya ama ni kitu gani,,, rekebisha tafadhali.

ahsante mkuu.

mods wamekusoma pia (wamenisaidia kurekebisha). ni Ezekieli 18:21

thanks
 
Uponyaji wa babu unahusiana vipi na Lowassa? Acha kuchanganya mambo.....

watu hawatendi haki. yakiwafika ya kuwafika badala wamkimbilie Mungu wanatafuta masangoma. and now it's getting even worse...politicilization is taking place. watu wanafisadi, wanatumia fedha walizofisadi kufadhili safari za wapigakura kwenda kwa babu. where is maarifa?
 
...lakini mtu mbaya akighairi na kuacha dhambi zake zote alizozitenda, na kushika amri zangu zote na kutenda yaliyo halali na haki, hakika ataishi, hatakufa.

Kwa unabii huu, na kwa imani ya milele niliyonayo kwa maandiko matakatifu katika Biblia Taskatifu ya Mungu, naonya na kutamka mambo mawili:

1. Kinachoendelea kwa babu loliondo ni usanii. dawa siyo kikombe cha babu. dawa ni kutenda yaliyohalali na haki. utaishi. hutakufa.

2. Lowassa anajiwinda kwa gharama yoyote kutaka kugombea urais upande wa CCM, lakini dhambi alizotenda tunazifahamu na yeye anazijua, ndiyo maana alijiuzulu kwa sababu ya dhambi hizohizo, na wala hajawahi kusimama na kuwaomba radhi watanzania, na sasa anataka kugombea urais. Hajatenda yaliyo halali na haki. Huyu Lowassa hataishi milele, atakufa.

The Profhet...

Shalom, mkuu natumaini u mwema na Mungu anazidi kukuhifadhi na damu ya thamani..nimesoma hapo juu ila nikupe tu angalizo si vyema kuwa na kisasi na mtu fulan kwa kumuunganisha mtu fulan..nimependa ulivyoweka hilo neno lakn ninachoona kwenye maandishi yako tofauti kabisa.

Kumbuka babu hana uhusiano na Lowassa...na Lowassa ameenda kule si kama waziri mkuu mstaafu bali mtanzania kama wewe na mimi kwenda kupokea uponyaji.. Ndugu The Prophet kumbuka kinachofanyika kwa babu ni imani na si utapeli unachosema...nikukumbushe kwa maneno yako kama tapeli basi YESU angekuwa tapeli maarufu.

...lakini kwa Kuwa NENO LA MUNGU NI KWELI SAWA NA YOH 17:17 BASI SINA BUDI KUKWAMBIA ALICHOFANYA YESU AKINA TOFAUTI NA KINACHOENDELEA LOLIONDO...YAWEZEKANA...BADO HUJAPATA KIKOMBE LAKINI NAKWAMBIA KABLA UJAMWONA MUNGU LAZIMA KIKOMBE KIPITE KINYWAN MWAKO...HUU NI USHUHUDA NA ITACHUKUA WAZUNGU KUTOKA NJE KUJA KUMWAMINI HUYU BABU NA KUPATA UPONYAJI HALI WATANZANIA MKIKAA NA KUTOAMINI NA KUISHIA KUFA VIFO VYENYE UPONYAJI...

SI MBAYA KULETA MAWAZO YAKO KWA LOWASSA LKN SI VYEMA KUMJUMUISHA HUYU BABU NA MAWAZO YAKO...

SOMA

ZABU 51:....YOOTE
 
Habari hii i a aana kubwa sana mwaka 2015. - CHAGUO LA MUNGU.
Ikiwa mganga wa maradhi sugu ametoka jimbo la mbunge X....
Basi hata umasikini wetu ambao ni gonjwa sugu litawezekana kutoka kwa mbunge wa Loliondo....
 
The Profhet...

Shalom, mkuu natumaini u mwema na Mungu anazidi kukuhifadhi na damu ya thamani..nimesoma hapo juu ila nikupe tu angalizo si vyema kuwa na kisasi na mtu fulan kwa kumuunganisha mtu fulan..nimependa ulivyoweka hilo neno lakn ninachoona kwenye maandishi yako tofauti kabisa.

Kumbuka babu hana uhusiano na Lowassa...na Lowassa ameenda kule si kama waziri mkuu mstaafu bali mtanzania kama wewe na mimi kwenda kupokea uponyaji.. Ndugu The Prophet kumbuka kinachofanyika kwa babu ni imani na si utapeli unachosema...nikukumbushe kwa maneno yako kama tapeli basi YESU angekuwa tapeli maarufu.

...lakini kwa Kuwa NENO LA MUNGU NI KWELI SAWA NA YOH 17:17 BASI SINA BUDI KUKWAMBIA ALICHOFANYA YESU AKINA TOFAUTI NA KINACHOENDELEA LOLIONDO...YAWEZEKANA...BADO HUJAPATA KIKOMBE LAKINI NAKWAMBIA KABLA UJAMWONA MUNGU LAZIMA KIKOMBE KIPITE KINYWAN MWAKO...HUU NI USHUHUDA NA ITACHUKUA WAZUNGU KUTOKA NJE KUJA KUMWAMINI HUYU BABU NA KUPATA UPONYAJI HALI WATANZANIA MKIKAA NA KUTOAMINI NA KUISHIA KUFA VIFO VYENYE UPONYAJI...

SI MBAYA KULETA MAWAZO YAKO KWA LOWASSA LKN SI VYEMA KUMJUMUISHA HUYU BABU NA MAWAZO YAKO...

SOMA

ZABU 51:....YOOTE

Shika amri za Mungu ZOTE. Hautaenda kwa Babu.

Babu hatumii hata Biblia! Uchawi in another style. Najua utaniuliza kwani Yesu alikuwa na Bible? Nitakujibu Jesus is the Bible himself.
 
Habari hii i a aana kubwa sana mwaka 2015. - CHAGUO LA MUNGU.
Ikiwa mganga wa maradhi sugu ametoka jimbo la mbunge X....
Basi hata umasikini wetu ambao ni gonjwa sugu litawezekana kutoka kwa mbunge wa Loliondo....

connect the dots buddy!
 
watu hawatendi haki. yakiwafika ya kuwafika badala wamkimbilie Mungu wanatafuta masangoma. and now it's getting even worse...politicilization is taking place. watu wanafisadi, wanatumia fedha walizofisadi kufadhili safari za wapigakura kwenda kwa babu. where is maarifa?

Bado hujajibu swali,

Usichukulie kina Lowasa kwenda kwa babu kama kiwakishi kuwa wengineo wote wanaokwenda huko ni wadhambi na mafisadi kama yeye!
 
Back
Top Bottom