Speaker
JF-Expert Member
- Aug 12, 2010
- 6,324
- 2,238
The prophet nakuomba uangalie upya bibila yako, maana ya kwangu inanionesha kua kitabu cha Ezekiel sura ya 8, kinaishia mstari wa 18, sasa wewe huo wa 21 sijui umeutoa wapi, ama unataka kuudanganya umma wa jf, ama ni a mistake umefanya kwa bahati mbaya ama ni kitu gani,,, rekebisha tafadhali.
Acha kupotosha umma,wewe ndo unatengeneza biblia yako mwenyewe afu unasema una biblia?
Hebu gonga hapa uone kama huo mstari haupo
Ezekiel 18:21 But if the wicked will turn from all his sins that he hath c...
Lol,anti-christ wengi kweli