Mdau uliyetoa wazo la Telegram ubarikiwe mnoooo hadi ushangae, nimejiunga huko, nimepata movie nilikua naitafuta miaka mingi ndani ya dakika 5 eti imekua kiganjani mwangu,
Kwa wapenzi wa Movies njooni Telegram kumenogaaaa.
AiseeeChris Hemsworth a.k.a Tyler Rake kwa kweli hajawahi niangusha ..ukicheki Thor ukicheki Avengers na zingine nyingi ambazo amesumbua sanaa ndo utajua ukali wa huyu mwamba! ingawa IMDB na mleta mada wamempunja rates ila me nampa tu 9.5/10.
Ila awajaboaa8 /10 Sababu wale Drug Lords hawakuonesha ukatili tunaoutegemea kutoka kwa watu wa sifa zao.
Yes ilo nalo n jambo maana imekuwa kama video gamekwenye kuua watu kwa risasi uhalisia ulikuwa mdogo sana
haiwezekani uue wanajeshi kirahisi vile
Sent using Jamii Forums mobile app
HahahahaKama kweli hakufa mi naipa 5/10
Haiwezekani apigwe risasi ya shingo alafu aendelee ku survive
Nazihamisha kwenye memory card, sema kungekua na option ya kuangalia online bila kudownload ingependeza zaidiEndelea ku enjoy pia kwenye io Chanel Kuna Link ya siason zote kal unazo zijua wewe angalia vizur undelee kufuraia pili mfano Kama unatumia sim ukiwa Una download move Kama huto taka kuiangalia Tena baadae uwe unazifuta sababu zikiwa nyingi Sim hua inasumbua ku danload zingine Ila inategemea na ukubwa wa cm yako
Sent using Jamii Forums mobile app
Admin wa group hili mkaksi kweli, ila tutafanyaje tunataka burudani.Wale wenye Telegram, Kuidownload hii movie na nyinginezo nyingi, Join katika channel hii japo za movie zipo mamia kama si maelfu,
NETFLIX
Sent using Jamii Forums mobile app
Huyu steling anapenda saana kufa kwenye movie. Kuna movie mojaa inaitwa Red Dawn ambayo North Korea wanaivamia USA napo alikufaIliniuzi sana jinsi movie ilivyoisha, yaani sterling anauawa?? Tena anauawa na kijamaa kijinga kitoto, kwanini wasingemuokoa???? Yaani hela walisema hawawezi kumpa, wanamlazimisha amtose dogo yeye akajitolea kusema hawezi kumuacha, then anauawa maana yake walitaka afe ili asipate haki yake, director wa hii movie ovyo kabisa. Halafu kuna mazingira hayana uhalisia. Ila inasisimua ingawa mwisho mbaya.
Drug lord ni wamexico na colombia tu.8 /10 Sababu wale Drug Lords hawakuonesha ukatili tunaoutegemea kutoka kwa watu wa sifa zao.
Ni mwanajeshi???ashawai kuwa mwanajeshi.mwamba anaitwa chris hemsworth jamaa ni mu australia huyo..ndio kacheza movie inaitwa 12 strong pia ni hatari yan ya kijesh pi
Ni kweli..Neflix naona inakula Ela bure tu wakati telegram move zote mpya unazipata fresh tu move moja kwa gb1 au mb 800
Sent using Jamii Forums mobile app
Neflix naona inakula Ela bure tu wakati telegram move zote mpya unazipata fresh tu move moja kwa gb1 au mb 800
Sent using Jamii Forums mobile app
Page zote unepitia?Naomba link Mkuu
Neflix naona inakula Ela bure tu wakati telegram move zote mpya unazipata fresh tu move moja kwa gb1 au mb 800
Sent using Jamii Forums mobile appoya kweny telegram unaipataj mkuuu
Wale wenye Telegram, Kuidownload hii movie na nyinginezo nyingi, Join katika channel hii japo za movie zipo mamia kama si maelfu,
NETFLIX 🇬🇭🇺🇸
Sent using Jamii Forums mobile app
[/QUO
asanteni sana wadau, je hii inaoption ya kudowload nimefungua naona kama ni option ya kuangalia tu. halafu ina load tu haifunguki natumia wifi. na je ukidownload zinakuja kwenye gallery yako au?