Titia
Senior Member
- Jul 3, 2013
- 155
- 113
asante sana kwa kuweka hii, je ukidownoald inajisave wapi kwenye galery au? halafu mbona inaload tu. mnafanyaje kupata movie
asante sana kwa kuweka hii, je ukidownoald inajisave wapi kwenye galery au? halafu mbona inaload tu. mnafanyaje kupata movie
Endelea ku enjoy pia kwenye io Chanel Kuna Link ya siason zote kal unazo zijua wewe angalia vizur undelee kufuraia pili mfano Kama unatumia sim ukiwa Una download move Kama huto taka kuiangalia Tena baadae uwe unazifuta sababu zikiwa nyingi Sim hua inasumbua ku danload zingine Ila inategemea na ukubwa wa cm yako
Sent using Jamii Forums mobile app
Niki download kwenye simu naweza ihamishia kwa laptop au kwenye flash kwa watu wanaotumia Iphone?
Sent from my iPhone using JamiiForums
BONGE MOJA LA MUVI NI SHEEDA ILA NIKUKUMBUSHE MWAKA BADO HAUJAISHAKatika movie zangu kali za mwaka huu ni hiiView attachment 1433136View attachment 1433136
HI inshu HATA MIMI BADO INANICHANGANYA MAANA ovi alikuwa na bodguard na huyo bodguard alipewa alifa ya kumtafuta muajili wake ilihali tayali mr taylor nae kapewa dili la kumsakua dogo[OVI] alafu pind wanapo kutana tena kunakuwa na vita baina ya bodguad na mr taylor swali ni nani aliye toa hili dili mara mbili ?Nadhani hukuekewa lile gemu. Hawakusema kuwa hawataki kumpa hela ila aliye wapa ule mchongo aliwazunguka hivyo Tylor anaona ili apate pesa yake lazima atoke na yule mtoto.
Sehemu tu iliyonichnganya ni pale yule mlinzi wa ovi alipowashamvulia waokoaji swali ni kwamba sasa ni nani alitoa hiyo tenda ya uokoaji?
God save us
Nadhani hii ndio sababu fan wengi wanasema it was too much holywoodHI inshu HATA MIMI BADO INANICHANGANYA MAANA ovi alikuwa na bodguard na huyo bodguard alipewa alifa ya kumtafuta muajili wake ilihali tayali mr taylor nae kapewa dili la kumsakua dogo[OVI] alafu pind wanapo kutana tena kunakuwa na vita baina ya bodguad na mr taylor swali ni nani aliye toa hili dili mara mbili ?
Mkuu download kwanza app ya Telegram play store, jisajili then uki search movie yyte unaipata mkuuHii app ya telegram inapatikana wapi au tuwekee link
hiyo link bado ipo active.Admin wa group hili mkaksi kweli, ila tutafanyaje tunataka burudani.
Wewe ni mwizi na fisadi. Wewe lazima utakuwa unatoka ukoo wa panya,chama cha mbogamboga.Kama Una telegram app nenda sehemu ya search andika action New move update utapata channel. Inamove zote Kali Yan neflix wakiweka tu tayar na wewe unaipata hata iwe season
Sent using Jamii Forums mobile app
Watakutengenezea jambaz mwingneMay be tungoje part two..lakini yule Boss adui alipigwa shaba ya kichwa na yule demu..ngoja tuone!
Wafanya biashara hapa mmepiga sana pesa hii kitu inauzikaaaView attachment 1442500
Movie: Extraction
Year: 2020
Genre: Action
Country: USA
Language: English
Huu mzigo naanza kwa kuupa rate ya 7.9/10...
Bonge moja la mzigo, Sijaona muda sana type ya namna hii ya mizigo ya Action...Humu kuna Choreography nzuri sana, Mtu anapigwa mpaka unatamani uende kumpa pole.
Chris Hemsworth wengi tunamjua kama Thor humo kakichafua sana akicheza kama Mercenary wa nguvu na anaegopeka zaidi humu tunamkuta kama Tyler Rake, mbavu nene na experience ya kutosha...Anapewa mission ya kwenda kumuokoa mtoto wa gaidi mmoja(Drug lord) ambae alikuwa ametekekwa na kundi jingine la Kingpins (yes yeye anafanya for cash)..Utata unaanza hapo mission ilikuwa ngumu, na upande wa malipo Ya tyler unazingua, kuna wahuni wana kanda mikandiko yote humo, unapata Chapati, mandazi, mikate mpaka sambusa.
Kuna sehemu jamaa alipigwa banzi la mkono akaenda kujipangusa kwenye ukuta Vupppp! ,
Noma,...Wale wa Telegram nyie andaeni tu Mb's zenu tu.
____________________________________________
Karibu ujipatie Movies/Series mbalimbali
Tunapatikana Igoma, Mwanza
Contacts: Telegram| WhatsApp| SmS| Call | 0710995752
, Delivery 10 km kutoka Ofisi zetu TZS 2,000.
Unataka kujiunga na huduma ya Telegram Premium? Tuandikie kupitia whatsapp/sms au call sasa upatiwe utaratibu.
Sent using Jamii Forums mobile app