BelindaJacob
Platinum Member
- Nov 24, 2008
- 6,494
- 4,076
Hello JF members,
Kuna issue ya ku-export bidhaa fulani kwenda EU (kwa kutumia ndege). Sasa naomba mtu mwenye uzoefu na shughuli kama hii anipe insight information kidogo.
Ningependa kujua utaratibu wa suala zima la kusafirisha mizigo/bidhaa (mfano. bei kwa kg,ushuru, ukaguzi, aina ya ndege)...Nitashukuru kwa info. na nitakuwa naifuatilia hii thread kama kuna maswali mengine mkiniuliza niyajibu.
Shukrani
Belinda
Kuna issue ya ku-export bidhaa fulani kwenda EU (kwa kutumia ndege). Sasa naomba mtu mwenye uzoefu na shughuli kama hii anipe insight information kidogo.
Ningependa kujua utaratibu wa suala zima la kusafirisha mizigo/bidhaa (mfano. bei kwa kg,ushuru, ukaguzi, aina ya ndege)...Nitashukuru kwa info. na nitakuwa naifuatilia hii thread kama kuna maswali mengine mkiniuliza niyajibu.
Shukrani
Belinda