Hata hao wa siasa nao si wana ulinzi safi kabisa ndio maana hatusikii kwamba kimewakuta chechote kile....hiyo inanikumbusha jamaa mmoja mtwara kabla hajaitisha adhana ya alfajiri alikuwa anaanza kutoa vitisho kuanzia saa 10 alfajiri.... anatoa vitisho mara gari hilo halina maana mbele za Mungu mara chumba chako unachojidai nacho ni kaburi hilo mara kitanda hicho ni mwanandani...Mungu mkubwa jamaa huko kijijini kwao ruangwa kwenye mashamba yao mwekezaji akawapa fidia akapata kama milion 10 hivi kwakweli hatukusikia zile kelele tena