Bw. Ufahamu
Member
- Apr 23, 2010
- 15
- 1
Tatizo pia Wabongo kazi yenu kubwa ni kusema tuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuu NO ACTION na mtu akijaribu kufanya chochote anaonekana kama kichaa fulani vile. What I am trying to say is either stop complaining and act or just shut up and mind your own business.
NINACHOONA NI KUWA HAKUNA WATU WENYE UCHUNGU NA HII NCHI. Unapomwajiri mgeni na wenyeji wapo, wenye sifa zote, mimi sipati picha, inamaana wabongo hawaaminiki, yaani ni matapeli au. Waangalie wachina walivyojaa, hata watoto wa kichina + kitanzania wapo sasa hivi mitaa ya buguruni etc. TUANDMANE!!!!!!!
Wageni wanaoletwa nchini kufanya kazi kama expatriates ni mbumbumbu wa kutupwa. Eti utamwona mhasibu katoka india hajui hata kazi ya uhasibu huku Cv yake inaonesha ana masters. Kunani huku!! Ninavyoona hata baadaye wauza vitumbua watatoka nje km expats!!!!!!! :mad2:
Mimi naunga mkono yote yalosemwa hapo juu, ila nakumbusha kuwa "SIO SIFA ZINAZOFANYA KAZI". Na hili ndilo tatizo letu, tunataka nafasi kwa sababu tuna "sifa", wakati kazi zenyewe kufanya kila siku ni "excuses tu". Hivi unadhani nani yuko tayari kumlipa mtu mwenye sifa asiyefanya kazi? Tubadilike, halafu utaona kama ataagizwa mtu nje !!!!