Exclusive. Hatimaye Nabii Frank afichua Kiini cha Mauaji ya Kibiti na Rufiji

GENTAMYCINE

JF-Expert Member
Jul 13, 2013
56,544
108,871
Akizungumza mapema asubuhi ya leo na Kituo cha Luninga cha Channel Ten na Magic fm Radio Nabii anayekuja kwa Kasi nchini Nabii Frank leo amefunguka na kueleza mambo makuu mawili ambayo ndiyo chanzo cha mauaji yanayoendelea Kibiti na Rufiji na amezitaka Mamlaka husika kuyafanyia Kazi ili kumaliza mauaji.

Amesema kwamba mauaji hayo yanatokana na sababu za Harakati za Kidini ( yaani kuna dini moja inataka kuwa ndiyo inayoaminika na kukubalika katika huo Ukanda ) na sababu ya pili kasema kwamba Mfumo wa Kiuchumi wa Watu wa hayo maeneo umeharibiwa hivyo Wauwaji wameamua sasa kuwauwa wale wote ambao wanahisi ndiyo chanzo cha mfumo wao huu kuharibiwa.

Nawasilisha.
 
Ni mpiga ramli tu huyo na kusoma upepo wa watu wanavyosema na kuamini kitaaa.


Hii ramli yake, haina tofauti na ya TB Joshua, kuwa Mama Hillary Clinton atashinda kiti cha urais badala yake Donald Trump, akaibuka kidedea.

Hizi Dini uchwara, hizi za kigeni Pumba.fu sana.

Wapuuzi Kama huyu , wangeondolewa kibali cha kupiga ramli, shenzitype kabisa hicho kinabii uchwara.
 
fala tu huyo
dc62389d416fe466fd88d3c29c31f8c6.gif
 
NCHI HII INA MANABII WENGI KULIKO WAUMINI ASEEE.AFU MBONA MWEZI MTUKUFU HUU WENGINE WAMEFUNGA SASA NANI ANAEUA HAO WA UPANDE WA PILI!!!!!
 
Back
Top Bottom