Mleta picha yaani ulivyonitamanisha!!!!! Wkiendi hii lazima nitie timu Kwa-Maangulwa nikabugie wari kwenye shori.Shori kwa lahaja ya kichaga cha rombo-mkuu maanayake ni kata ya kunywea pombe ambapo kwa lahaja ya vunjo ni kipata.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.