HesabuKali
JF-Expert Member
- Jan 4, 2016
- 2,733
- 5,553
Uncivilized CadreHopelessness!!
Uncivilized CadreHopelessness!!
Mpaka sasa hatujaona faida yoyote ya jiji la Dar kuwa chini ya UKAWA, hamna ahadi yoyote waliyotimiza mpaka sasa.
Kila siku wanaendesha propaganda mitandaoni na kuongelea mambo yasiyo na tija kwa wananchi, ikiwemo hili lá bashite.
Chadema hakuna wanachofanya alafu wakishindwa uchaguzi wanakuja kulialia hapa eti wameonewa. !!
Hivi matatizo ya wananchi kama maji, barabara, afya, ajira mngeyashikia bango kama mlivyoshikia bango vyeti vya bashite, ingekuwaje??
Si Dar ingegeuka pretoria ndani ya mwaka mmoja??
Hivi ahadi za chadema kwa wananchi ni vyeti vya Bashite??
Au ndio ngada za mwenyekiti zimeharibu bongo zenu??
Ni hayo tu, tukutane 2020
Umesoma juz.wewe?
Picha zimeanza kutolewa kwenye vyeti na result slip mwaka 2008 kama sijakosea.
Saa nyingine ingekuwa inaruhusiwa watu kama wewe mlitakiwa msiruhusiwe hata kuzaa kwani mtajaza mazombi mtaani, una akili ndogo sana kujadili kitu kikubwa kama hiki.Hivi una mme kweli wewe??
Unayo akili hata ndogo tu ya kupanua miguu kweli?
Wakati mnawaahidi wananchi kuwa ipeni ukawa jiji la Dar ipae kimaendeleo kumbe mlikuwa mnasema uongo??
Tema mate chini.... Kidole hakiwezi kujidhuruNa asipotumbuliwa ndani ya masaa 24 nakana uraia wa Tanganyika
Halafu ni female sasa huyo! tujuzeni kuhusu hizi namba zinajirudia ama vipi?Jaamanii ehh Uki enda google uki andika S0546/0016 matokeo yana kuja shule pamba Secondary Lakini hii number 0016 ina onyesha ime hitimu 2015, Huwa zina jirudia hizi number kuacha ya shule!? Link hii hapa http://tanzania.go.tz/matokeo_2015/CSEE2015/results/s0546.htm
ata waandishi wana haki ya kuwa waumini. nao c wana mungu?Aaache siasa nae, cheti akitoe wapi.
Kageuza kanisa kijiwe cha umbea
Kanisa linajaa waandishi sio waumini tena
Tumeshajua kuwa mlitudanganya mwaka 2020 tunafuta chadema Dar.Saa nyingine ingekuwa inaruhusiwa watu kama wewe mlitakiwa msiruhusiwe hata kuzaa kwani mtajaza mazombi mtaani, una akili ndogo sana kujadili kitu kikubwa kama hiki.
Unajua kazi za Meya wa jiji na mkuu wa mkoa? Umejaribu hata kujiuliza mipango ya jiji la Dar kupitia hao chadema? Kama serikali yako inakimbizana nao mahakamani kila siku na ushirikiano nao ni sifuri hiyo tija utaiona wapi?
Zuzu kama wewe ndio mnaosababisha Rais ashambuliwe huku, sasa kama wewe ni mwanachama kweli wa ccm kwanini tusimuunge Rais mkono kuounguza idadi ya wajumbe wa mkutano mkuu na viongozi mizigo kama wewe.
Hiyo ni transcrpt Au results notificationsMtu wa NECTA atajibu
Ha ha ha ha ha ha ha ha ha ha ha ha ha!!!Fa Fa Fa Fa Fa Fa .....
Na asipotumbuliwa ndani ya masaa 24 nakana uraia wa Tanganyika