pirates lil
JF-Expert Member
- Jun 14, 2016
- 960
- 911
anatka kuriwand tena kama bado utamu upoHabari za masiku wakuuu
Umeachwa na mpenzi wako tena anakuringia wewe sio mzuri Sana ni wa kawaida kuna watoto grade one wanaomba nafasi kila siku kazi kwangu kuwachagua ..
Anakuonyesha wazi akiwa na mwanamke...... Then anakuambia ... Naomba turudiane tuwe Kama zamani.... Hivi uyo atakuwa anataka nini.....?
Anakusistiza ukiwa na Mimi maisha yako yatakuwa mazuri..."hawa wanawake siwapendi nakupenda wewe tu " ..... Is this man serious of is saying.......? Wadau niambieni huyu mtu ni wa aina gani??