Paprika
JF-Expert Member
- Feb 25, 2017
- 5,952
- 9,863
MPENZI wako wa zamani akikurudia kuna mawili,either anataka kukufilisi, au amezunguka-zunguka huku na kule akaokota UKIMWI ndo anataka akuletee mgawane. Kama kurudiana ni inshu ya maana,kwa nini Mungu hajawahi kumrudisha Shetani Mbinguni?. "Dear friend,you are supposed to be very careful". Copy & Paste from
Chastic Chastic FB