Triple G
JF-Expert Member
- Aug 12, 2011
- 3,105
- 4,583
Ushaur wang kwako ni tafta kila njia umforwadie hii thread ulioituma then uone reaction yake,thanx kama utafanya hivyo
hahahahah,
Ushaur wang kwako ni tafta kila njia umforwadie hii thread ulioituma then uone reaction yake,thanx kama utafanya hivyo
Wanaume kama wewe ni Re bound...kaenda huko alikokwenda anatafuta pa kupumzikia..kidume hauna maamuzi..hahahahaha...!!!!Niliachana nae kitambo kidogo ila sikuhizi simuelewi kwani akipiga simu au akituma sms naona mahaba mengi.Imedumu kwa wiki 3 sasa....nikiwa kazini anapga simu...usiku kabla ya kulala lazime apige...huwa simpi ushirikiano 100% coz sina mpango nae ila yeye ha-notice hilo...juzi nikiwa kazini aliniambia anataka aje nyumban kesho yake ambayo ni ijumaa nikamwambia nitakuwa kazini.....akaniuliza kama nampenda nikamjibu kuwa sikuwahi kumchukia ila akasema nijbu NDIO AU HAPANA....ikabidi nimjibu ndio...sipo kwenye uhusiano wowote kwa sasa ila ctaki kuwa nae na KUMWAMBIA STOP NDIO NASHINDWA....kaniambia nimuelekeze nilipohamia ili leo aje.....hofu yangu ni kwamba cna girlfrnd kwasasa so anaweza akani-seduce nikasex nae halaf nikajuta.....NAOMBENI USHAURI NINI CHA KUFANYA KABLA SIJAMUELEKEZA KWANGU.
Mapenzi ya aina hiyo yanaghalimu sanaaaaa.......!Hujui wapi mtu kapuyangia huko alafu anajileta tu,ushinde moyo au kama unarudiana nae bas kwa tahadhar sana.
Ila waonekana bado wampenda!
Ushaur wang kwako ni tafta kila njia umforwadie hii thread ulioituma then uone reaction yake,thanx kama utafanya hivyo
....Anamuogopa!!!!! 😀 hahahahaha....
Heeeee kumbe,bas aendelee kumuogopa vizuri mkuu Mbu.
Ila sidhani,zaidi naona anampenda swtito wake.
.....akaniuliza kama nampenda nikamjibu kuwa sikuwahi kumchukia ila akasema nijbu NDIO AU HAPANA....ikabidi nimjibu ndio...
....sipo kwenye uhusiano wowote kwa sasa ila ctaki kuwa nae na KUMWAMBIA STOP NDIO NASHINDWA....kaniambia nimuelekeze nilipohamia ili leo aje.....hofu yangu ni kwamba cna girlfrnd kwasasa so anaweza akani-seduce nikasex nae halaf nikajuta.....NAOMBENI USHAURI NINI CHA KUFANYA KABLA SIJAMUELEKEZA KWANGU.
.....😉 inawezekana kweli? Hebu msome hapa....;
"Her" Requests are "His" Commands! halafu anaendeleaje?.....
Sultani 'hofu!' 😉
Niliachana nae kitambo kidogo ila sikuhizi simuelewi kwani akipiga simu au akituma sms naona mahaba mengi.Imedumu kwa wiki 3 sasa....nikiwa kazini anapga simu...usiku kabla ya kulala lazime apige...huwa simpi ushirikiano 100% coz sina mpango nae ila yeye ha-notice hilo...juzi nikiwa kazini aliniambia anataka aje nyumban kesho yake ambayo ni ijumaa nikamwambia nitakuwa kazini.....akaniuliza kama nampenda nikamjibu kuwa sikuwahi kumchukia ila akasema nijbu NDIO AU HAPANA....ikabidi nimjibu ndio...sipo kwenye uhusiano wowote kwa sasa ila ctaki kuwa nae na KUMWAMBIA STOP NDIO NASHINDWA....kaniambia nimuelekeze nilipohamia ili leo aje.....hofu yangu ni kwamba cna girlfrnd kwasasa so anaweza akani-seduce nikasex nae halaf nikajuta.....NAOMBENI USHAURI NINI CHA KUFANYA KABLA SIJAMUELEKEZA KWANGU.
usinichukulie hivo dadaa, nimempa ushauri kulingana na hali aliyonayo, angekuwa ni wa kuiacha kuichapa wala asingeomba ushauri.. ila sasa kuichapa anataka. anachotaka kujua ni baada ya kuichapa afanyeje!!Unataka kusema hawezi fanya Maamuzi bila kuichapa Hiyo papuchi kwanza, kweli kuna watu wanajua kutoa ushauri wa giza Nimeamini