Ex-girlfriend wangu anahisi tumerudiana.

Ex-girlfriend wangu anahisi tumerudiana.

Niliachana nae kitambo kidogo ila sikuhizi simuelewi kwani akipiga simu au akituma sms naona mahaba mengi.Imedumu kwa wiki 3 sasa....nikiwa kazini anapga simu...usiku kabla ya kulala lazime apige...huwa simpi ushirikiano 100% coz sina mpango nae ila yeye ha-notice hilo...juzi nikiwa kazini aliniambia anataka aje nyumban kesho yake ambayo ni ijumaa nikamwambia nitakuwa kazini.....akaniuliza kama nampenda nikamjibu kuwa sikuwahi kumchukia ila akasema nijbu NDIO AU HAPANA....ikabidi nimjibu ndio...sipo kwenye uhusiano wowote kwa sasa ila ctaki kuwa nae na KUMWAMBIA STOP NDIO NASHINDWA....kaniambia nimuelekeze nilipohamia ili leo aje.....hofu yangu ni kwamba cna girlfrnd kwasasa so anaweza akani-seduce nikasex nae halaf nikajuta.....NAOMBENI USHAURI NINI CHA KUFANYA KABLA SIJAMUELEKEZA KWANGU.
mkuu hii huwa inatokea sana, hasa kama ulimpenda sana na bado hujapata replacement! najua upo kwenye dilema ile mbaya.., kuiacha kuichapa papuchi hutaki na bado unaona noumer kumkubalia kirahisi. we fanya hivi, papuchi gonga ila usithubutu kumleta kwako. mkamalizane gest basi.

ukishagonga, then fikiria upya kama mnarudiana ndo utampeleka kwako, kama hujaridhika kurudiana nae basi uwe unamalizana nae gest akichoka atasepa..
 
quote_icon.png
By Jogoolakiume
Niliachana nae kitambo kidogo ila sikuhizi simuelewi kwani akipiga simu au akituma sms naona mahaba mengi.Imedumu kwa wiki 3 sasa....nikiwa kazini anapga simu...usiku kabla ya kulala lazime apige...huwa simpi ushirikiano 100% coz sina mpango nae ila yeye ha-notice hilo...juzi nikiwa kazini aliniambia anataka aje nyumban kesho yake ambayo ni ijumaa nikamwambia nitakuwa kazini.....akaniuliza kama nampenda nikamjibu kuwa sikuwahi kumchukia ila akasema nijbu NDIO AU HAPANA....ikabidi nimjibu ndio?????...sipo kwenye uhusiano wowote kwa sasa ila ctaki kuwa nae na KUMWAMBIA STOP NDIO NASHINDWA....kaniambia nimuelekeze nilipohamia ili leo aje.....hofu yangu ni kwamba cna girlfrnd kwasasa so anaweza akani-seduce nikasex nae halaf nikajuta.....NAOMBENI USHAURI NINI CHA KUFANYA KABLA SIJAMUELEKEZA KWANGU.

Eleza chanzo cha wewe kugombana nae bt kwenye red inaonyesha mwanamke alkufanyia uhuni mfano ulimfumania na unampenda na anajua huwez muacha sasa kama unaweza mpotezee akpga au kutuma sms usjibu wala kupokea smple lyk dat ila usjlambelambe mtoto wa kiume wewe komaa hamkuzaliwa wote
 
mkuu hii huwa inatokea sana, hasa kama ulimpenda sana na bado hujapata replacement! najua upo kwenye dilema ile mbaya.., kuiacha kuichapa papuchi hutaki na bado unaona noumer kumkubalia kirahisi. we fanya hivi, papuchi gonga ila usithubutu kumleta kwako. mkamalizane gest basi.

ukishagonga, then fikiria upya kama mnarudiana ndo utampeleka kwako, kama hujaridhika kurudiana nae basi uwe unamalizana nae gest akichoka atasepa..

Unataka kusema hawezi fanya Maamuzi bila kuichapa Hiyo papuchi kwanza, kweli kuna watu wanajua kutoa ushauri wa giza Nimeamini
 
Hivi kweli Mpenzi wako ukimfumania lets say na Mtu mwingine kumsamehe ni makosa makubwa?, au yeye hawezi jirekebisha baadaya hapo?

Kama unashindwa kufanya maamuzi yawezekana ni kwa sababu bado unampenda, Ufungue Moyo wako kwa mara nyingine mpe nafasi tena nadhani kama ni majuto ameshajuta na amejifunza kitu
 
Niliachana nae kitambo kidogo ila sikuhizi simuelewi kwani akipiga simu au akituma sms naona mahaba mengi.Imedumu kwa wiki 3 sasa....nikiwa kazini anapga simu...usiku kabla ya kulala lazime apige...huwa simpi ushirikiano 100% coz sina mpango nae ila yeye ha-notice hilo...juzi nikiwa kazini aliniambia anataka aje nyumban kesho yake ambayo ni ijumaa nikamwambia nitakuwa kazini.....akaniuliza kama nampenda nikamjibu kuwa sikuwahi kumchukia ila akasema nijbu NDIO AU HAPANA....ikabidi nimjibu ndio...sipo kwenye uhusiano wowote kwa sasa ila ctaki kuwa nae na KUMWAMBIA STOP NDIO NASHINDWA....kaniambia nimuelekeze nilipohamia ili leo aje.....hofu yangu ni kwamba cna girlfrnd kwasasa so anaweza akani-seduce nikasex nae halaf nikajuta.....NAOMBENI USHAURI NINI CHA KUFANYA KABLA SIJAMUELEKEZA KWANGU.

kakaa kama huna intention za kurudiana nae usimuencourage kwa chochote..kua wazi plz mwambie ukweli aumie Mara moja then apone for good
 
U have the same situation like mine brotha..ila tumetofautiana kdogo mm nilishapata girlfriend mwingine. We mwambie ukweli tu ndio itakuuma na yeye itamuuma ila that is the only way out..i
 
mmmmmh sasa kama mtoto wa kiume unakosa maamuzi kiasi hicho kumbe ndo maana alikuacha na tena anarudi muda wowote anaotaka..we acha kutudanganya unampenda sema haujiamini,unachoshindwa kumwambia ukweli ni nini..mwambie mimi mapenzi nawe yalishaisha chukua ustaarabu wako kwangu kuna mwenzio so sipendi kumuudhi..full stop!

Mi mwenyewe namshangaa...TRUTH SHALL KEEP YOU FREE!
 
Niliachana nae kitambo kidogo ila sikuhizi simuelewi kwani akipiga simu au akituma sms naona mahaba mengi.Imedumu kwa wiki 3 sasa....nikiwa kazini anapga simu...usiku kabla ya kulala lazime apige...huwa simpi ushirikiano 100% coz sina mpango nae ila yeye ha-notice hilo...juzi nikiwa kazini aliniambia anataka aje nyumban kesho yake ambayo ni ijumaa nikamwambia nitakuwa kazini.....akaniuliza kama nampenda nikamjibu kuwa sikuwahi kumchukia ila akasema nijbu NDIO AU HAPANA....ikabidi nimjibu ndio...sipo kwenye uhusiano wowote kwa sasa ila ctaki kuwa nae na KUMWAMBIA STOP NDIO NASHINDWA....kaniambia nimuelekeze nilipohamia ili leo aje.....hofu yangu ni kwamba cna girlfrnd kwasasa so anaweza akani-seduce nikasex nae halaf nikajuta.....NAOMBENI USHAURI NINI CHA KUFANYA KABLA SIJAMUELEKEZA KWANGU.
Wewe ndio wale sitaki nataka mtu humtaki halafu unampa mixed signals maana yake nini ehhh?mtu kakuuliza kama unampenda unamjibu NDIO!Ni lazima atafikiria mmerudiana kwasababu umeshamwambia UNAMPENDA!Hujui unachokitaka au?Wewe huyo mpoteze tu au unajichimbia shimo la kujifukia!
 
Nimeona ni bora nikutane nae ila co home then nimpe ukweli......
kama bado unahisia nae!!!!,na kama ni kimwana kwa kwelikumpa makavu itakuwa shuguli ushauri wangu kama humtaki huna haja ya kukutana nae!!!,huko ni kujitia majaribuni tu!!
 
Mndengereko nimeshakutana nae na thanx God nimemwambia ila kaondoka akiwa amenuna kinoma.....
 
Last edited by a moderator:
Mapenzi ya aina hiyo yanaghalimu sanaaaaa.......!Hujui wapi mtu kapuyangia huko alafu anajileta tu,ushinde moyo au kama unarudiana nae bas kwa tahadhar sana.
Ila waonekana bado wampenda!
 
Back
Top Bottom