Ex anasumbua sana...

Ex anasumbua sana...

Nilichokiona hapa,huyu mwanamke bado anampenda jamaa yake,(MAGNETIC MODE IS ACTIVATED)ila anapata wivu kwanini ana wanawake wengine?sema ukweli unatamani jamaa awaache wanawake wote abakie na wewe pekee...mwambie atakuelewa kuliko kukaa unajiumiza moyo wako bure hapa kwa jambo rahisi kama hilo..duniani hatuishi mara mbili!
Namjua, naweza kurudiana naye muda wowote nitakaotaka na akawaacha hao wengine lakini sina future nae.
 
Hakuna urafiki kati ya mwanaume na mwanamke. Kama hutaki kumpa, rara mbere acha kumpotezea muda kaka wa watu.
 
We binti kazania kusoma mapenzi yapo tu! We kiri tu jamaa alikugegeda kwa kutumia ukaribu uliokuwepo bila ya kukutongoza
No...
Tulikua na fikira za kua mke na mume lakini haijawezekana na sijutii tena. Sasa siwezi rudiana nae au kumuacha anitumie anavyotaka yeye, l respect myself.
 
Hapana mkuu, tulitoka nae mbali, akanikosea sana ndipo tukaachana, lakini aliniomba msamaha na kutaka tuwe marafiki, nilifurahia urafiki wa kawaida kuliko kua mpenzi wake. Ninachotaka ni yeye kua kaka yangu kabisa na asinione kama demu anayeweza kumtafuna.
Nnachokiona hp yawezekana kweli humtaki tena kimapenzi ila vimisaada vyake kwako ndio vitakavyosababisha akukaze naona unashindwa kabsaaa kumwambia kwa herufi kubwa kwamba "NO" unaogopa kumuudhi wanawake mnapenda sana kitonga ndio tatzo urafiki na maex wa kazi gani?
 
Niliumwa mkuu, sikua na mtu mwingine wa kunisaidia zaidi yake. Alinipeleka hospitali usiku wa saa sita.
Haaaaaahaaaaa yaani nlijua tu jamaa itakuwa ana take care baadhi ya bills unataka kusema kwa mfano usingekutana nae tena ungefia ndani?
 
Habari wana jamii?
Naombeni ushauri wakuu. Mwaka juzi niliwahi kudate na mwanaume tuliyekaribiana umri sana. Baada ya miezi sita tuliachana na kila mtu akashika hamsini zake.

Mwaka huu mwezi wa sita tulikutana naye, akafurahia kukutana nami. Tukaanza kuwasiliana. Akaniomba urafiki. Nikaona si mbaya.

Tumekuwa marafiki kwa miezi miwili sasa. Nikipata shida hata usiku wa manane anakuja na kunisaidia.

Pia kwa mahusiano yake ana-date wadada watatu kwa mpigo. Nilipomwuliza kwanini anachezea wasichana wa watu alinijibu kuwa bado hajapata mtu sahihi wa kutulia naye.

Jumamosi iliyopita yameibuka ya ajabu. Ex anataka kupasha kiporo nami, nikamkatalia na kumwelewesha kuwa lazima kuwa na msimamo. Kama ameniacha tupashe viporo hili iweje?

Toka Jumamosi mwenzangu urafiki ni wa kusua sua. Nami nampenda kama rafiki yangu. Wakuu nipeni ushauri wapi nakosea.
Muwa umeufanya mkongojo? Subiri upate kiu
 
Nnachokiona hp yawezekana kweli humtaki tena kimapenzi ila vimisaada vyake kwako ndio vitakavyosababisha akukaze naona unashindwa kabsaaa kumwambia kwa herufi kubwa kwamba "NO" unaogopa kumuudhi wanawake mnapenda sana kitonga ndio tatzo urafiki na maex wa kazi gani?
Nimemuweka wazi mkuu na kumwambia msimamo wangu, tulishirikiana vitu vingi kwa pamoja ndio maana uwa ananijali kuliko demu wake. Tunaweza kukaa pamoja grocery, mademu zake wakipiga simu au text atawaignore na ananiweka wazi mtu fulani ananipigia.
 
Nimemuweka wazi mkuu na kumwambia msimamo wangu, tulishirikiana vitu vingi kwa pamoja ndio maana uwa ananijali kuliko demu wake. Tunaweza kukaa pamoja grocery, mademu zake wakipiga simu au text atawaignore na ananiweka wazi mtu fulani ananipigia.
Narudi tena chunga sana misaada kampani kampani na ukaribu wa kindezi ndezi km kweli humtaki c ukate tu line ufanye km mlivyoachana hamjakutana tena!
 
Hapana mkuu, tulitoka nae mbali, akanikosea sana ndipo tukaachana, lakini aliniomba msamaha na kutaka tuwe marafiki, nilifurahia urafiki wa kawaida kuliko kua mpenzi wake. Ninachotaka ni yeye kua kaka yangu kabisa na asinione kama demu anayeweza kumtafuna.
Na sio lazima yeye akuone dada yake, kama hutaki kumpa kaa mbali nae sababu najua mwishowe atakugonga tu , ondoka wakati bado una uwezo wa kufanya hivyo
 
Nilicho gundua huyo ex wako unampenda sana sema unaamua kujificha. Lkn kimsingi huyo jamaa hata wewe unampenda sana. Maana siyo kwa kumuanzishia nyuzi nyingi hivyo.
 
Habari wana jamii?
Naombeni ushauri wakuu. Mwaka juzi niliwahi kudate na mwanaume tuliyekaribiana umri sana. Baada ya miezi sita tuliachana na kila mtu akashika hamsini zake.

Mwaka huu mwezi wa sita tulikutana naye, akafurahia kukutana nami. Tukaanza kuwasiliana. Akaniomba urafiki. Nikaona si mbaya.

Tumekuwa marafiki kwa miezi miwili sasa. Nikipata shida hata usiku wa manane anakuja na kunisaidia.

Pia kwa mahusiano yake ana-date wadada watatu kwa mpigo. Nilipomwuliza kwanini anachezea wasichana wa watu alinijibu kuwa bado hajapata mtu sahihi wa kutulia naye.

Jumamosi iliyopita yameibuka ya ajabu. Ex anataka kupasha kiporo nami, nikamkatalia na kumwelewesha kuwa lazima kuwa na msimamo. Kama ameniacha tupashe viporo hili iweje?

Toka Jumamosi mwenzangu urafiki ni wa kusua sua. Nami nampenda kama rafiki yangu. Wakuu nipeni ushauri wapi nakosea.
Mpe kwani anaondoka nayo hiyo k'si utabaki nayo mwenyewe ikiwa vilevile
 
Hapana mkuu, tulitoka nae mbali, akanikosea sana ndipo tukaachana, lakini aliniomba msamaha na kutaka tuwe marafiki, nilifurahia urafiki wa kawaida kuliko kua mpenzi wake. Ninachotaka ni yeye kua kaka yangu kabisa na asinione kama demu anayeweza kumtafuna.
Awe kaka ako umezaliwa nae tumbo moja acha hizo wewe mpe .
 
Back
Top Bottom