Petro Oswald
JF-Expert Member
- Aug 17, 2015
- 2,389
- 1,909
Utatoa hutoi? Utatoa hutoi? Nasema utatoa hutoi? Utatoa hutoi?
Kwan ww haumtumii, mnatumiana! Na ww unamchakaza mwenzio wakti wa tendo usiwe selfish kwamba yeye ndo mfaidikaji ilihal ww ndio unagain 75% watalaam wanasemaKwa hiyo hata yeye kitaka urafiki nami ni kwa ajili ya kunitumia?
Wewe ungekuwa mwanaume ungeuweza huu mtihanii wa kutoa bila kupokea?Hapana mkuu, tulitoka nae mbali, akanikosea sana ndipo tukaachana, lakini aliniomba msamaha na kutaka tuwe marafiki, nilifurahia urafiki wa kawaida kuliko kua mpenzi wake. Ninachotaka ni yeye kua kaka yangu kabisa na asinione kama demu anayeweza kumtafuna.

Maelezo meeeeengiHabari wana jamii?
Naombeni ushauri wakuu. Mwaka juzi niliwahi kudate na mwanaume tuliyekaribiana umri sana. Baada ya miezi sita tuliachana na kila mtu akashika hamsini zake.
Mwaka huu mwezi wa sita tulikutana naye, akafurahia kukutana nami. Tukaanza kuwasiliana. Akaniomba urafiki. Nikaona si mbaya.
Tumekuwa marafiki kwa miezi miwili sasa. Nikipata shida hata usiku wa manane anakuja na kunisaidia.
Pia kwa mahusiano yake ana-date wadada watatu kwa mpigo. Nilipomwuliza kwanini anachezea wasichana wa watu alinijibu kuwa bado hajapata mtu sahihi wa kutulia naye.
Jumamosi iliyopita yameibuka ya ajabu. Ex anataka kupasha kiporo nami, nikamkatalia na kumwelewesha kuwa lazima kuwa na msimamo. Kama ameniacha tupashe viporo hili iweje?
Toka Jumamosi mwenzangu urafiki ni wa kusua sua. Nami nampenda kama rafiki yangu. Wakuu nipeni ushauri wapi nakosea.
HahahaaaaaaMpe kitumbua ale hivi vitu tulipewa bure
Unampenda yeye kama rafiki au unapenda misaada yake ya hapa na paleHabari wana jamii?
Naombeni ushauri wakuu. Mwaka juzi niliwahi kudate na mwanaume tuliyekaribiana umri sana. Baada ya miezi sita tuliachana na kila mtu akashika hamsini zake.
Mwaka huu mwezi wa sita tulikutana naye, akafurahia kukutana nami. Tukaanza kuwasiliana. Akaniomba urafiki. Nikaona si mbaya.
Tumekuwa marafiki kwa miezi miwili sasa. Nikipata shida hata usiku wa manane anakuja na kunisaidia.
Pia kwa mahusiano yake ana-date wadada watatu kwa mpigo. Nilipomwuliza kwanini anachezea wasichana wa watu alinijibu kuwa bado hajapata mtu sahihi wa kutulia naye.
Jumamosi iliyopita yameibuka ya ajabu. Ex anataka kupasha kiporo nami, nikamkatalia na kumwelewesha kuwa lazima kuwa na msimamo. Kama ameniacha tupashe viporo hili iweje?
Toka Jumamosi mwenzangu urafiki ni wa kusua sua. Nami nampenda kama rafiki yangu. Wakuu nipeni ushauri wapi nakosea.
Huna future naye sababu umri umekaribiana?Namjua, naweza kurudiana naye muda wowote nitakaotaka na akawaacha hao wengine lakini sina future nae.
Kumbe wewe ni ke.??Mpe kitumbua ale hivi vitu tulipewa bure
Hapana mkuu, nipo kwenye posn ya kuweza kurudiana nae but sitaki, nataka tuwe ndugu.