TheChoji
JF-Expert Member
- Apr 14, 2009
- 6,551
- 20,260
Sijashadadia matatizo yake ndo maana nimekuja kuomba msaada nimsaidie vipi ili awe sawa
Cha kumsaida we mshauri atulize mawazo. Infact wala asihangaike kwenda hospitali wala kwa waganga unless kama ana dalili zingine za magonjwa. Pia wewe wala usionyeshe kama umekwazika maana ndio utazidi kumpanikisha we kua kawaida tu. Muda si mrefu atarudi kwenye hali ya kawaida.

