Ex amerudi kwangu

Ex amerudi kwangu

Mitano tena iligoma πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚
Ndiyo Mr Kuku Akazoa Cash, Yaani Mpaka Sasa Hivi
Anatakiwa Akae Naye Mbali. Atamharibia Mipango


Aliitikia Wito. πŸ˜€πŸ˜πŸ˜…πŸ˜„πŸ˜ƒπŸ˜ƒπŸ˜ƒπŸ˜‚πŸ˜ Na Kila Alichoambiwa Yaani Hii Kali

Once Upon The Time.........πŸ˜‹πŸ€©πŸ˜
 
Siri ya mapenzi ni kwa yule anayependa tu na si ya wanaopendana.
Yawezekana unajidanganya kuwa mwenzako anakupenda kama unamvyompenda yeye kumbe sivyo.

Bidada kama uliweza kumhurumia na kuyateketeza maisha yako kwa kumpa asichostahili tena akiwa katoka kwenye tego la mke wa mtu huko na hukujali, basi sisi ni nani wa kukuzuia wewe kwa mtu ambae umeingia special room, umemtanulia mapaja, yote hayo kishingo upande!
 
Kweli Haa
Tanzania Ni Tajiri
Umeachana Naye Miaka Miwili Akakuita Ukaitikia Wito
Akachukua Room Nawe Ulikuwa Unakwenda Kutekeleza Mitano Tena!!! Bahati Mbaya Ukakutana Na Dead Penis


Jiongeze Kidogo Fanya Maisha Kuwa Rahisi
Umemuuliza Hakujibu Analia Tu. Achana Naye Huo Ni Mzigo, Kuendelea Naye Unapoteza Muda





Cha Kufia Nini? Achana Naye Usihangaike
Njoo PM
Eti Dead penis...Duuuh

Mkuu huna huruma kwa mwanaume mwenzio..kafikwa na mtihani.

Ila naunga mkono hoja...Angekuwa nae mda wote huo na akapatwa na hii shida..angevumilia wakitafuta suluhu...Ila mtu katokomea karudi Na Tatizo...nawewe unalibeba..Nop
 
Nasoma komenti


Jamaa bana akaona kuna mbuzi wake ngoja ajaribishe aone kama mbooo inafanya kazi au lah
... kweli kabisa na hata ishia hapo atahangaika Sana kwa wanawake Tofauti akiamini Kuna mmoja itafanya kazi.

Huyo atulie atafute suluhu Kama lipo Kama halipo..AKUBALI Hali afanye mishe Nyingine TU...maisha Sio kugegeda TU.
 
Eti Dead penis...Duuuh

Mkuu huna huruma kwa mwanaume mwenzio..kafikwa na mtihani.

Ila naunga mkono hoja...Angekuwa nae mda wote huo na akapatwa na hii shida..angevumilia wakitafuta suluhu...Ila mtu katokomea karudi Na Tatizo...nawewe unalibeba..Nop
Hapo Kama Noma Na Ile Noma!!!
Huyo Ameulizwa Tatizo Limeanza Lini? Analia
Hapo Aangalie Mbele Tu

Mchuma Janga Hula Na Wa Kwao.
Kosea Kuoa Lakini Siyo Kuchagua Ukikosea Kuchagua Ni Mpaka Baada Ya Miaka Mitano.
 
"Mkuu toka nilivyolazimishwa kutafuta mwanamke mwingine sikufanikiwa maana nilikuw nakupenda sana wewe.

Hivyo picha zako sikuwahi kufuta hata moja basi nikawa mpiga punyeto hadi hali hii imenikuta.

Haya yote ni upigaji wa punyeto kupitiliza nivumilie nirudi katika hali yangu ya zamani."

Mwisho wa kunukuu!
 
Hapo Kama Noma Na Ile Noma!!!
Huyo Ameulizwa Tatizo Limeanza Lini? Analia
Hapo Aangalie Mbele Tu

Mchuma Janga Hula Na Wa Kwao.
Kosea Kuoa Lakini Siyo Kuchagua Ukikosea Kuchagua Ni Mpaka Baada Ya Miaka Mitano.
Mkuu..uchaguzi Huuu Sina lakusema ila...Umeniuma Kama uchungu.
 
Watu naona mnakomenti kwa hasira za mwali kutoswa na jamaa akaoa mwingine, lakini hamuangalii kwamba bibie anaonekana wazi bado anampenda sana jamaa, ingawa kwakumsoma binti bado hajitambui kwamba anampenda mshkaji ndio sababu anakosa maamuzi.
 
Atakubali kuolewa nae..alafu mwanaume anaamka usiku anakutandika mkanda balaa anadai mtoto...Unajiuliza mtoto nampataje..hajali...kumbe masikini stress zake Anaamua kumalizia kwa bidada
Ninakiona Kwa Mleta Mada Ni Hiki Hapa Chini:-
Mwenye Kupenda Haoni Chongo Atasema Kengeza
 
Watu naona mnakomenti kwa hasira za mwali kutoswa na jamaa akaoa mwingine, lakini hamuangalii kwamba bibie anaonekana wazi bado anampenda sana jamaa, ingawa kwakumsoma binti bado hajitambui kwamba anampenda mshkaji ndio sababu anakosa maamuzi.
Yuko tayari kwa mitano tena
 
Ninakiona Kwa Mleta Mada Ni Hiki Hapa Chini:-
Mwenye Kupenda Haoni Chongo Atasema Kengeza
Mkuu ..chongo kweli anaweza akawa Hana jicho moja..hasikii au nikipofu au Hana mguu..au au au..lakini Sijawai sikia chongo la mtu Hana papuchi akaolewa..

Lakini wanaume wasio simamisha wanaoa kabisa kwa kujifanya wacha Mungu kuwa hataki Hadi ndoa...Kumbe lahaula wanataka TU kuonekana Kwamba nao nividume...

Haimaanishi watu wote wanao mtii Mungu na mafundisho yake wanashida hii..
 
Back
Top Bottom