Ex amerudi kwangu

Ex amerudi kwangu

Amsaidie Nini ..huyo mwanaume angekuwa mzima Wala asingemkumbuka huyo Dada..kwanini abebe mizigo ya huyo mpuuzi...Uangaike na madawa apone na bado akuache kwakua hakuwai kukupenda Tangu mwanzo.
Kumsaidia mtu katika matatizo yake especially male Sio guarantee kuwa eti atakujali nakukupenda...No
Ndio maana unakosa furaha ya roho,punguza visasi...na hasira kwa waliokuuudhi....

Sometimes destiny finds itself...
 
Oya, hivi wewe mwenzetu tunajadili uzi huu huu au wewe unachati na mleta mada private? Maana naona una information nyingi ambazo sisi wengine hatuna.....! We hizo taarifa unazitoa wapi?
Mkuuu....nimesoma Sana wanaume wanaopata matatizo ya namna hiii..wengi huamini mwanamke ndo chanzo..wataanza kumbia ananuka ndonmaana hasimamishi..wengine huwatukana Sana wanawake wao...ili wanawake wajione ndo sababu ya mwanaume kuwa hivyo..

Hawa wanaume hujua shida yao..hivyo huangaika Kutafuta tiba na kitu Cha kwanza Ni kwenda kwa mwanamke mwingine ili ajue shida Ni Yake au mwanamke...Kama ambavyo huyo mwanaume kafanya...Sio Kwamba kamkumbuka papachi yake anamfinyia kwa ndani au eti amemkumbuka kwa kuwa anampenda.

Huyo karudi kuaangalia TU Kama shida Yake Ni mkewe au yeye ndo mwenye shida.
Na chozi linamtoka kwakua keshajua Shida niyake so hajui AFANYAJE.
 
Ndio maana unakosa furaha ya roho,punguza visasi...na hasira kwa waliokuuudhi....

Sometimes destiny finds itself...
Mkuuu...Sina kisasi Wala hasira na mtu yoyoyete alioniuzi Wala kunifanyia mabaya...Mimi Sijawai hata kulipiza kisasi katika maisha Yangu...Naongea kwa mujibu wa experience ya.mambo nliosoma na Mambo nlioshuhudia..
 
Ameathirika kisaikolojia kupitia mateso ya hisia za kimapenzi. Huenda imesababishwa na ile hali ya kukupenda wewe ilhali ndugu zake wakimtaka aachane na wewe, matokeo yake amelikubali hilo kwa kulazimishwa na amekaa na mfadhaiko kwa muda mrefu sana akinung'unikia moyoni.

Wanaume kuna wakati huwa tunakumbana na kadhia za namna hiyo kwa kulazimishwa tu. Unajikuta unamtouππba mwanamke fulani lakini unajilazimisha kihisia kwa kufumba macho na kuivuta taswira ya mwanamke mwingine kabisa tofauti na yule unayempiga miti kwa wakati ule.

Sina hakika sana kwa upande wa wanawake lakini nadhani nao pia hukumbwa na kadhia kama hii, ndio sababu unakuta mwanamke anakuwa na boyfriend wake ambaye kwa bahati mbaya hawaoani anaenda kuolewa na mwanaume mwingine tu lakini tukio zima la kutouππbwa kwa kufuhia linabakia kule alipotoka matokeo yake akiwa kwenye mazingira yanayompa nafasi ya kukutana na mtu wake wa zamani anamvulia chuppi anatouππbesha nje na mumewe aliyemuoa.

Unaweza kumsaidia kwa kumpa mawazo chanya ya kumfanya aweze kujiamini akaona anaweza kama ilivyokuwa zamani wakati unadate naye. Aina ya vyakula anavyokula pia ni lazima viwe vya kumpa nguvu mwilini na azingatie sana sana sana kula kwa wakati maana kutouππber si kazi ya lelemama lazima uwe na nguvu ya kutosha mwilini la sivyo ππboul0 haiwezi kusimama imara barabara ikadinda kama kisiki hadi ikanesanesa ova inang'oka pahala pake
 
Ndio maana unakosa furaha ya roho,punguza visasi...na hasira kwa waliokuuudhi....

Sometimes destiny finds itself...
Mkuuu..Huyu angekuwa mwanaume.. mwanamke.karudi baada ya Miaka.miwili.anagono sogu na mtoto juu...

Ungemshaurije...Naona ikiwa shida Ni mwanaume..wanaume mnajifanya kuwa na huruma Sana...

Huko aliko kaa Miaka miwili ndo huyo wakazunguke nae kwa Mwamposa kupata suluhu...Huyu yeye alishaachwa na hapendwi na hata Akipona huyo bado SI changuo lake..

Watu wametoa Figo na wameachwa..ije kuwa Huyu wakumsindikiza kwa Mwamposa
 
Mkuuu...Sina kisasi Wala hasira na mtu yoyoyete alioniuzi Wala kunifanyia mabaya...Mimi Sijawai hata kulipiza kisasi katika maisha Yangu...Naongea kwa mujibu wa experience ya.mambo nliosoma na Mambo nlioshuhudia..
Visasi vinatanguliwa na nia(+maneno) kabla ya vitendea kazi
 
Mkuuu..Huyu angekuwa mwanaume.. mwanamke.karudi baada ya Miaka.miwili.anagono sogu na mtoto juu...

Ungemshaurije...Naona ikiwa shida Ni mwanaume..wanaume mnajifanya kuwa na huruma Sana...

Huko aliko kaa Miaka miwili ndo huyo wakazunguke nae kwa Mwamposa kupata suluhu...Huyu yeye alishaachwa na hapendwi na hata Akipona huyo bado SI changuo lake..

Watu wametoa Figo na wameachwa..ije kuwa Huyu wakumsindikiza kwa Mwamposa
Pole umeumizwa sana ktk mahusiano yako ndio maana unaona upande mbaya tu wa Me,.... Mwanamke hajataka aolewe ,AMESEMA HURUMA YA KIBINADAMU IMEMUINGIA AMSAIDIE....acha Mara moja kumshauri vibaya.....kwani alikuambia waligombana au ndugu ndio waliiingia kati penz likavunjika???? Hao hawakuachana kwa ubaya kama ulivyo experience...ndio maana ubinadam bado upo...



THIS CALLED LIFE AFTER MOVE ON...
 
Basi Mimi Sina hata Nia ya kuwafanyia baya Watu walionifanyia mabaya. Mimi naishi very peaceful, ila SIWEZI ku entertain upuuzi Kama huuu...

kumsaidia mwenye shida is one thing but kumsaidia ukitarajia akupende Tena that's another thing.
1st option,is what she need....2nd is yours,not her choice.
 
Jaman nilichokiona Mungu ndo anaejua maana sijawahi kuona kuanzia nazaliwa maumbile ya mtu mzima yasinyae yawe kama ya mtoto mchanga tena yamelegea haswa
Chumbani na ex!
kukubali kusex!
mbooh yake imelegea na hujawahi kuona!

maneno yako' yanaonyesha we ni malaya mkuu

Nb. kwani tangu umezaliwa' umeziona mboo ngapi mh. spika
 
Pole umeumizwa sana ktk mahusiano yako ndio maana unaona upande mbaya tu wa Me,.... Mwanamke hajataka aolewe ,AMESEMA HURUMA YA KIBINADAMU IMEMUINGIA AMSAIDIE....acha Mara moja kumshauri vibaya.....kwani alikuambia waligombana au ndugu ndio waliiingia kati penz likavunjika???? Hao hawakuachana kwa ubaya kama ulivyo experience...ndio maana ubinadam bado upo...



THIS CALLED LIFE AFTER MOVE ON...
Mkuu...hata mwanaume akimsaidia mwanamke wengi hutaka kumlalal..Sio wote..
.huyu Dada kumsaidia apone...lazima kutafungua mlango wawao kurudiana ambao hautakua endelevu..

Mahusiano Yangu sijui hata unayaleta hapa kwa ajili gani...unafanya Kama personal attack ...umeanza na sijui ndo maana Sina Amani umehamia kwenye mahusiano.... Mahusiano Yangu ya nyuma yamenifundisha vitu vingi..Wala hayajanifanya niwachukie wanaume au niwe bitter...Amini nakwambia..

Ila Naona UNAKATA wote tushauri Kama unavyotaka wewe..

Mimi namshauri Huyu Dada Kama anamahusiano awekeze huko..Atapoteza mahusiano Yake ya maana kisa huyo HANITHI...leo mzima kesho sio.mzima
 
Chumbani na ex!
kukubali kusex!
mbooh yake imelegea na hujawahi kuona!

maneno yako' yanaonyesha we ni malaya mkuu

Nb. kwani tangu umezaliwa' umeziona mboo ngapi mh. spika
Kaona nyingi...nakaona ya mtoto pia ndo maana kafikia hiyo conclusion...Kama Ni umalaya ...msimuhukumu..wewe huna usafi wowote hapo.ulipo.
 
1st option,is what she need....2nd is yours,not her choice.
Aliomba ushauri..maamuzi Ni Yake..

Lakini wengi hua washafanya maamuzi wanaomba ushauri Basi tu.

KUSIKIA KWA KENGE...mpaka masiko yatike damu.
 
Nani Yangu ikitoa harufu...nikaja kwako nikawambia nanii Yangu inatoa harufu ukaniambia nenda kwa Gynacologist mmoja mtaalamu atakusaidia ..sawa..Sio useme hebu nihakikishe then ntakusaidia.

Sasa huyo mwanaume hakuja kutaka kusaidiwa Mbona hakumwmbai bidada shida Yake kabla na Nia Yake ilikua kumlala...Sasa unataka huyo Dada amsaidie na atajuaje Kama kapona?

SI itabidi wakitumia dawa..wanajaribu kujua Kama kapona...na huyo Dada atakavyozidi kuwa karibu nae atampenda kwa huruma Yake..kwasababu bado kunachembechembe za upendo kwa huyo mwanaume.

Mwishi wa siku kama anamwanume mwingine atampoteza abaki na huyo HANITHI.
Suala la huyo dada kutoa penzi ni moja na kumsaidia ni jingine.
 
Huko aliko kaa Miaka miwili ndo huyo wakazunguke nae kwa Mwamposa kupata suluhu...Huyu yeye alishaachwa na hapendwi na hata Akipona huyo bado SI changuo lake..

Kwa maneno mengine unataka kusema huyu dada ana KIHEREHERE? 🤣
 
Kwa maneno mengine unataka kusema huyu dada ana KIHEREHERE?
Kabisa...kujitwisha mizigo isiyo lazima kisa huruma...

Ndo Kama wale wanaume wanaondoka kwenye familia Miaka 20 wametelekeA watoto..alafu anarudi na kisukari, pressure na Stroke anavaa pampas... Anasema nisamehe mke Wangu ndoa yetu ya kanisani kutengana Hadi kifo..Ni shetani

Huyo aliekuwa na Miaka 20 yupo wapi.
 
Amsaidie Nini ..huyo mwanaume angekuwa mzima Wala asingemkumbuka huyo Dada..kwanini abebe mizigo ya huyo mpuuzi...Uangaike na madawa apone na bado akuache kwakua hakuwai kukupenda Tangu mwanzo.
Kumsaidia mtu katika matatizo yake especially male Sio guarantee kuwa eti atakujali nakukupenda...No
Huyo Kaka anahitaji msaada mkubwa.. Msiwe wenye kuweka hila na chuki mioyoni...

Yeye kama iko namna amsaidie tu... Sasa unadhani itakuwaje!?

Sent from my Infinix X650 using JamiiForums mobile app
 
Kabisa...kujitwisha mizigo isiyo lazima kisa huruma...

Ndo Kama wale wanaume wanaondoka kwenye familia Miaka 20 wametelekeA watoto..alafu anarudi na kisukari, pressure na Stroke anavaa pampas... Anasema nisamehe mke Wangu ndoa yetu ya kanisani kutengana Hadi kifo..Ni shetani

Huyo aliekuwa na Miaka 20 yupo wapi.
🙂 hivi na Adamu angefanya nginjanginja.. tunda hali.. na anamuita Mungu ajionee Hawa alichofanya... Ingekuwaje!?

😀 tusameheane tu jmn.

Sent from my Infinix X650 using JamiiForums mobile app
 
Back
Top Bottom