Shadow7
JF-Expert Member
- Sep 28, 2020
- 33,795
- 55,571
Are you defending them?The Talibans are just mujahideen, there's nothing wrong by being mujahideen
Are you defending them?The Talibans are just mujahideen, there's nothing wrong by being mujahideen
Sasa tutapataje maendeleo tena jamani?...Mamlaka ya Udhibiti wa Huduma za Nishati na Maji (EWURA) imetangaza kusitishwa kwa bei mpya za mafuta zilizotangazwa jana ambazo zilipaswa kuanza kutumika leo tarehe 1 Septemba.
Serikali imeelekeza bei za mafuta za mwezi uliopita kuendelea kutumika.
======
Serikali imeelekeza EWURA kusitisha bei mpya za mafuta zilizopaswa kuanza kutumika leo Septemba 01, 2021 na zile ambazo zilikuwa zinatumika mwezi Agosti ziendelee kutumika
Kaimu Mkurugenzi Mkuu wa EWURA, Godfrey Chibulunje amesema, "Serikali imeunda Timu Maalum kwa ajili ya kuangalia bei zinavyopangwa na viashiria mbalimbali vinavyosababisha bei iendelee kwenda
Ameongeza, "Bei za zamani zitaendelea kutumika mpaka pale Timu Maalum ambayo imeundwa na Serikali kupitia na kutoa majibu"
Serious?Mnahangaika na mlipo angukia! Si mlipojikwaa? Kwa taarifa yako hayo ni matokeo ya madaraja na mindege isiyofuata taratibu. Bahati yetu tumemkuta mama anapangua kimya kimya bila kumtaja aliyesababisha. Ila maumivu lazima tuyapate wote.
Kwa mtindo huu ndiyo naanza kumuelewa marehemu kwa nini alikuwa anashikilia shoo zote mwenyewe.Mawaziri wetu hasa wa mambo ya uchumi ni zero brain. kila pendekezo linakuwa la majaribio,Tozo zimekuwa reversed,na bei mpya za mafuta zimekuwa reversed.Hii maana yake ni kwamba maamuzi mengi ni ya kukurupuka.Mamlaka ya Udhibiti wa Huduma za Nishati na Maji (EWURA) imetangaza kusitishwa kwa bei mpya za mafuta zilizotangazwa jana ambazo zilipaswa kuanza kutumika leo tarehe 1 Septemba.
Serikali imeelekeza bei za mafuta za mwezi uliopita kuendelea kutumika.
======
Serikali imeelekeza EWURA kusitisha bei mpya za mafuta zilizopaswa kuanza kutumika leo Septemba 01, 2021 na zile ambazo zilikuwa zinatumika mwezi Agosti ziendelee kutumika
Kaimu Mkurugenzi Mkuu wa EWURA, Godfrey Chibulunje amesema, "Serikali imeunda Timu Maalum kwa ajili ya kuangalia bei zinavyopangwa na viashiria mbalimbali vinavyosababisha bei iendelee kwenda
Ameongeza, "Bei za zamani zitaendelea kutumika mpaka pale Timu Maalum ambayo imeundwa na Serikali kupitia na kutoa majibu"
Wewe unakula na kulala kwa mume wa dada ako huwezi kuelewa haya.Changia maendeleo ya taifa lako
🤣🤣🤣🤣Watamgomea kama polisi walivyomgomea ktk suala la kuwabambikia watu kesi.
Huyu bibi ni kibogoyo.