EWURA yasitisha bei mpya za mafuta

EWURA yasitisha bei mpya za mafuta

Hatuna serikali aisee, ni bora tuongozwe na Taliban kuliko hii serikali tuliyonayo
Mnahangaika na mlipo angukia! Si mlipojikwaa? Kwa taarifa yako hayo ni matokeo ya madaraja na mindege isiyofuata taratibu. Bahati yetu tumemkuta mama anapangua kimya kimya bila kumtaja aliyesababisha. Ila maumivu lazima tuyapate wote.
 
Tengeneza tatizo, tatua tatizo halafu pata ujiko...makofi tafadhali
 
Ipo shida kwa mamlaka za usimamizi.hivi sisi tumefikia " level" za mataifa makubwa kutangaziwa mabadiliko ya bei kila siku?!
Mbona bei za huko duniani zikishuka huwa mñakaa kimya.?!
 
Mnahangaika na mlipo angukia! Si mlipojikwaa? Kwa taarifa yako hayo ni matokeo ya madaraja na mindege isiyofuata taratibu. Bahati yetu tumemkuta mama anapangua kimya kimya bila kumtaja aliyesababisha. Ila maumivu lazima tuyapate wote.
Akili ya "floats' za tigo, remba tu mda utawadia
 
Mamlaka ya Udhibiti wa Huduma za Nishati na Maji (EWURA) imetangaza kusitishwa kwa bei mpya za mafuta zilizotangazwa jana ambazo zilipaswa kuanza kutumika leo tarehe 1 Septemba.
Serikali imeelekeza bei za mafuta za mwezi uliopita kuendelea kutumika.
Hata hizo ziko juu. Wangalie Zambia, Rwanda Malawi bei zikoje? Na mafuta yao hupita Tanzania. Hawa ni wezi!! Ewura ni yakuvunja. Yaani mafuta hupanda kwa Tanzania tuu kwenye soko la dunia??
 
Mamlaka ya Udhibiti wa Huduma za Nishati na Maji (EWURA) imetangaza kusitishwa kwa bei mpya za mafuta zilizotangazwa jana ambazo zilipaswa kuanza kutumika leo tarehe 1 Septemba.
Serikali imeelekeza bei za mafuta za mwezi uliopita kuendelea kutumika.
Tapanyatapanya ya Mwendachato inawasukuma kukurupuka kutafuta pesa hovyohovyo!
 
Hapo ndio anaanza kuwaamsha waliolala wajue yupo, asiwaache kunguru wajiamulie tu watakavyo, haya mambo hakuna cha soko la dunia, ni wao ndio hupandisha na kushusha wakipenda.
 
Back
Top Bottom