Hiyo 100 ni barabara vijijiniAtoe ile sh.100 aliyoongeza kwenye kila lita tunayonunua.
Changia maendeleo ya taifa lakoAtoe ile sh.100 aliyoongeza kwenye kila lita tunayonunua.
Tangu UHURU yanachangiwa tuChangia maendeleo ya taifa lako
Huu ni uthibitisho kuwa haya mambo hayana na uhusiano na sababu za soko bali ni typical hujuma za kisiasa tu kwa maumivu ya wananchi...!!Mamlaka ya Udhibiti wa Huduma za Nishati na Maji (EWURA) imetangaza kusitishwa kwa bei mpya za mafuta zilizotangazwa jana ambazo zilipaswa kuanza kutumika leo tarehe 1 Septemba.
Serikali imeelekeza bei za mafuta za mwezi uliopita kuendelea kutumika.
======
Serikali imeelekeza EWURA kusitisha bei mpya za mafuta zilizopaswa kuanza kutumika leo Septemba 01, 2021 na zile ambazo zilikuwa zinatumika mwezi Agosti ziendelee kutumika
Kaimu Mkurugenzi Mkuu wa EWURA, Godfrey Chibulunje amesema, "Serikali imeunda Timu Maalum kwa ajili ya kuangalia bei zinavyopangwa na viashiria mbalimbali vinavyosababisha bei iendelee kwenda
Ameongeza, "Bei za zamani zitaendelea kutumika mpaka pale Timu Maalum ambayo imeundwa na Serikali kupitia na kutoa majibu"
Wewe🤣🤣🤣🤣🤣Hatuna serikali aisee, ni bora tuongozwe na Taliban kuliko hii serikali tuliyonayo
Hakuna sababu ya kujipa muda, hapo hakuna cha soko la dunia wala la Kinondoni, kama jana walipandisha wao, na leo wameshusha wao, maana yake wao ndio walioamua yapande, nothing else.Ni siasa au uhalisia ndio umeazingatiwa?
Tujipe muda kujua nini kime-determine bei kama ni professionalism au ni siasa inahusika.
Bei inaweza kupanda au kushuka kutegemeana na bei katika soko la dunia au sera zetu za kikodi humu nchini.
Wacha tusubiri.
Nipe connection mkuu, nitafikaje huko?Kuna usafiri bure wa kwenda Kabul, vipi unahitaji kwenda huko?
Akikujibu nitag
Hii nchi ina sarakasi za kishamba sana !Mamlaka ya Udhibiti wa Huduma za Nishati na Maji (EWURA) imetangaza kusitishwa kwa bei mpya za mafuta zilizotangazwa jana ambazo zilipaswa kuanza kutumika leo tarehe 1 Septemba.
Serikali imeelekeza bei za mafuta za mwezi uliopita kuendelea kutumika.
======
Serikali imeelekeza EWURA kusitisha bei mpya za mafuta zilizopaswa kuanza kutumika leo Septemba 01, 2021 na zile ambazo zilikuwa zinatumika mwezi Agosti ziendelee kutumika
Kaimu Mkurugenzi Mkuu wa EWURA, Godfrey Chibulunje amesema, "Serikali imeunda Timu Maalum kwa ajili ya kuangalia bei zinavyopangwa na viashiria mbalimbali vinavyosababisha bei iendelee kwenda
Ameongeza, "Bei za zamani zitaendelea kutumika mpaka pale Timu Maalum ambayo imeundwa na Serikali kupitia na kutoa majibu"