Na anachochea kila siku kuhisu kupanda kwa bidhaaUbaya mmoja wafanyabiashara wameshapewa go ahead na security kutoka kwa mkuu wa nchi.
Mafuta yakipanda , kila kitu kitapanda, na hakuna kiongozi anayejali
Jiwe angefanyaje? Aliikuta sukari 1800 akaipaisha hadi 3000Na tuna Rais.
Sasa kama Rais kesha sema kila kitu kita panda bei EWURA wao ni nani wasi igize maneno ya Rais??Mamlaka ya Udhibiti wa Nishati na Maji (EWURA) imesema kuwa kutokana na uhitaji mkubwa wa mafuta, bei ya yake inatarajiwa kuendelea kupanda zaidi hali inayochangiwa na vita inayoendelea kati ya Urusi na Ukraine, huku usafirishaji na upokeaji wake nchini kuwa hafifu.
Akizungumza Kaimu Mkurugenzi Mkuu wa mamlaka hiyo, Godfrey Chibulunje alipokuwa katika mdahalo uliohusisha Wahariri na waandishi wa habari hapo alisema kuwa, mfumuko wa bei unasababishwa na changamoto mbalimbali inayoikumbuka miundombinu ya usafirishaji kutoka na sababu za kivita.
Alibainisha kuwa katika soko la dunia bei ya mafuta imepanda kwa kiasi kikubwa, huku akieleza kuwa mwezi Desemba 2021 tani moja ya mafuta ya petroli ilikuwa inauzwa dola 717, na hadi kufikia Machi, 2022 ilipanda hadi kufikia dola 1,106 kwa tani moja.
"Bei za mafuta zinatofautiana sana katika maeneo mbalimbali duniani, barani Afrika, Ulaya na Amerika, wakati Tanzania lita moja ya dizeli ikiwa inauzwa TZS 2,403, Kenya ni 2,331 na Uganda 2,830, hivyo ukiangalia nchini kulikuwa na unafuu kwa kiasi fulani,” amesema.
Aidha, aliongeza kuwa kesho watatangaza bei mpya ya mafuta na mara baada ya vita kuisha hali itarudi kuwa shwari.
Chanzo: Swahili
Soma---
EWURA: Hifadhi ya Petrol ya iliyopo Tanzania ni ya siku 27, jiandaeni kwa bei mpya Jumanne Aprili 5, 2022
Ongezeko la 1,800 tu...Jiwe angefanyaje? Aliikuta sukari 1800 akaipaisha hadi 3000
Haya majinga yana kera snMamlaka ya Udhibiti wa Nishati na Maji (EWURA) imesema kuwa kutokana na uhitaji mkubwa wa mafuta, bei ya yake inatarajiwa kuendelea kupanda zaidi hali inayochangiwa na vita inayoendelea kati ya Urusi na Ukraine, huku usafirishaji na upokeaji wake nchini kuwa hafifu.
Akizungumza Kaimu Mkurugenzi Mkuu wa mamlaka hiyo, Godfrey Chibulunje alipokuwa katika mdahalo uliohusisha Wahariri na waandishi wa habari hapo alisema kuwa, mfumuko wa bei unasababishwa na changamoto mbalimbali inayoikumbuka miundombinu ya usafirishaji kutoka na sababu za kivita.
Alibainisha kuwa katika soko la dunia bei ya mafuta imepanda kwa kiasi kikubwa, huku akieleza kuwa mwezi Desemba 2021 tani moja ya mafuta ya petroli ilikuwa inauzwa dola 717, na hadi kufikia Machi, 2022 ilipanda hadi kufikia dola 1,106 kwa tani moja.
"Bei za mafuta zinatofautiana sana katika maeneo mbalimbali duniani, barani Afrika, Ulaya na Amerika, wakati Tanzania lita moja ya dizeli ikiwa inauzwa TZS 2,403, Kenya ni 2,331 na Uganda 2,830, hivyo ukiangalia nchini kulikuwa na unafuu kwa kiasi fulani,” amesema.
Aidha, aliongeza kuwa kesho watatangaza bei mpya ya mafuta na mara baada ya vita kuisha hali itarudi kuwa shwari.
Chanzo: Swahili
Soma---
EWURA: Hifadhi ya Petrol ya iliyopo Tanzania ni ya siku 27, jiandaeni kwa bei mpya Jumanne Aprili 5, 2022
Kinana ana zaidi ya shely 15Wafanyabiashara wameshika nchi tutakoma.
Kweli tupu mkuuEWURA wao wanatekeleza maagizo ya mwenye nchi keshasema lazima mafuta yapande bei na bidhaa zingine.
Waongo tu hao hizo ni sababu zisizo na mashiko.Wahurumie hata kwa kutoa sbb kwann hii vita imefanya hii bidhaa ipande ukizingatia urusi sio supplier pekee mkubwa wa mafuta nchini
Ajabu hata gas nayo itapanda bei wakati tunayo hapa nchini.Wahurumie hata kwa kutoa sbb kwann hii vita imefanya hii bidhaa ipande ukizingatia urusi sio supplier pekee mkubwa wa mafuta nchini
Gas hii 10% matumiz ya ndan 90% nje lazima ipande maradufuAjabu hata gas nayo itapanda bei wakati tunayo hapa nchini.
Dah,kazi ipoAjabu hata gas nayo itapanda bei wakati tunayo hapa nchini.
Vipi mapacha leo wanataka malimao mangapiMtoto mdogo na mshamba Naby Keita endelea kushabikia vita. Ikiwezekana amka hapo sebuleni kwa shemeji yako ukatafute kipaza sauti umsifu putin
Tema mate niteleze kama nyoka pangoniNi wepi hao mkuu