Ewe Joshua Nassary, Godbless Lema amekukosea nini?

Ewe Joshua Nassary, Godbless Lema amekukosea nini?

.......nasari yupo bize na kutekeleza ahadi kwa wana arumeru waliomchagua kwa kura nyingi ikumbukwe huyo dogo ndo mbunge aliyekimbiza mpinzani wake kwa tofauti kubwa nchi nzima zaidi ya elfu 50......sasa nyie mnatafuta pa kusemea eti hampigii lema kampeini unajua alichokizungumza lema kuhusu nasari au unakurupuka!

Acha uongo..
Aliekimbiza ni JOSEPH OSMUND MBILINYI..
 
Wenyewe kwa wenyewe.....ha ha haaaa....

Si mkajadili kwa vikao vyenu huko, do we need to know khs upuuzi wenu wote????
 
Kipindi cha kampeni za Ubunge Arusha, ndio kinafikia ukingoni, toka uliposhinda ubunge Arumeru hukuwahi kukanyaga Arusha Mjini!

Sasa hivi hutembei na gari lililo na bendera wala rangi yeyote ya CHADEMA, Unaingia mjini Privately na kuondoka Privately! Kila mtu anashangaa! Je? Huyu ndio yule Nassary aliyesapotiwa na LEMA kuingia madarakani au? Butwaa limempata kila mtu!

Ukipigiwa simu na LEMA au timu yake hupokei! Watu wanajiuliza, Nassary umepatwa na nini?

Je ni fedha, Je umerubuniwa? Je CHADEMA imekuudhi? au ni LEMA? Joshua Nassary Jirudi uendeleze mapambano, fedha sio kila kitu!

Hebu tuweke wazi! Wana Arusha mjini tumekwazwa sana na hili! Japo bado tutamchagua LEMA awe Mbunge wetu!

VIVA LEMA, VIVA CHADEMA, VIVA ARUSHA MJINI!

Lazima kieleweke!!!!!

Kumbe na huyu jamaa ni mtu wa kaskazini!!dah asantr mungu kwakutuepushia watu wa aina hii kuitawala nchi yetu,wakabila wakubwa.
 
Kipindi cha kampeni za Ubunge Arusha, ndio kinafikia ukingoni, toka uliposhinda ubunge Arumeru hukuwahi kukanyaga Arusha Mjini!

Sasa hivi hutembei na gari lililo na bendera wala rangi yeyote ya CHADEMA, Unaingia mjini Privately na kuondoka Privately! Kila mtu anashangaa! Je? Huyu ndio yule Nassary aliyesapotiwa na LEMA kuingia madarakani au? Butwaa limempata kila mtu!

Ukipigiwa simu na LEMA au timu yake hupokei! Watu wanajiuliza, Nassary umepatwa na nini?

Je ni fedha, Je umerubuniwa? Je CHADEMA imekuudhi? au ni LEMA? Joshua Nassary Jirudi uendeleze mapambano, fedha sio kila kitu!

Hebu tuweke wazi! Wana Arusha mjini tumekwazwa sana na hili! Japo bado tutamchagua LEMA awe Mbunge wetu!

VIVA LEMA, VIVA CHADEMA, VIVA ARUSHA MJINI!

Lazima kieleweke!!!!!

Mmesahau jinsi lowasa alivyotaka kumrestisha in peace hadi akalazwa?
 
Dhambi ya ubaguzi ishaanza kuitafuna chaggadema, baada ya kumaliza kutubagua sisi watu wa kanda nyingine sasa imefika zamu ya kubaguana wenyewe kwa wenyewe!! hakika Mungu ni mkuu!
 
Nassari tafadhali kama unasoma hapa usiwaangushe chadema hata kama mtu kakukosea mbebeane mizigo samehe songa mbele

Hii habari ya kubebana na kubebeana mizigo si ndo iliwauwa ccm hadi wote wakageuka mizigo a.k.a majipu?
Au kwa kuwa ni makamanda basi kubebana poa tu?
 
Mnalaumu bure tu, si Arusha ni Ukawa sasa wa nini Nassary kufanya kampeni

Ukawa ishaporomoka kimtindo.
Kiki ya Lowassa ishazima
Ukawa imebaki chadema peke yao.
'Mama Tanzania' baada ya kupata ubunge kasepa.
Maalim na Jussa washaanza kumsifu Magufuli na kasi yake. Na tena wanamwomba awategulie Zanzibar.
Hali si nzuri kwa kweli
 
Kipindi cha kampeni za Ubunge Arusha, ndio kinafikia ukingoni, toka uliposhinda ubunge Arumeru hukuwahi kukanyaga Arusha Mjini!

Sasa hivi hutembei na gari lililo na bendera wala rangi yeyote ya CHADEMA, Unaingia mjini Privately na kuondoka Privately! Kila mtu anashangaa! Je? Huyu ndio yule Nassary aliyesapotiwa na LEMA kuingia madarakani au? Butwaa limempata kila mtu!

Ukipigiwa simu na LEMA au timu yake hupokei! Watu wanajiuliza, Nassary umepatwa na nini?

Je ni fedha, Je umerubuniwa? Je CHADEMA imekuudhi? au ni LEMA? Joshua Nassary Jirudi uendeleze mapambano, fedha sio kila kitu!

Hebu tuweke wazi! Wana Arusha mjini tumekwazwa sana na hili! Japo bado tutamchagua LEMA awe Mbunge wetu!

VIVA LEMA, VIVA CHADEMA, VIVA ARUSHA MJINI!

Lazima kieleweke!!!!!

Je wakati wa kampeni Lema alitia mguu Arumeru kupiga kolabo na dogo janja?
Lema alilalamikiwa sana kutoshiriki kikamilifu kampeni za wenzie haki yeye kwakw hali iko shwari.
Lema alikuwa na swagger za Lowassa atosha, na alijikoki hadi dhidi ya kauli zake mwenyewe za heshima kubwa kwa Mungu kumzomea Lowassa.
Kwa taarifa yako ndo ulikuwa uchaguzi uliomwingiza Nassary madarakani.
Sasa Wameru wengi hawapendi vigeugeu. Leo umemtukana mwizi, tumemzomea na viapo kwa Mungu, kesho unamleta mtu yuleyule awe mfalme.
Ngumu kumeza.
Mpaka Mussa kaleta huu uzi hapa, ni dhahiri hali ya Lema ni tete 😅
 
nathari yuko makini..hawezi kupelekeshwa na mtu bogus kama lema
 
Toka muanze kusema hivi ni miaka mingapi imepita? Mzee Wassira alitabiri pia, unajua ni nini kilichomkuta!

Sioni ajabu mimi kumsapoti LEMA, ni suala la kutambua tu! JEMA na BAYA!

Kwani wewe si ndio mwezi wa pili huu tangu uhamie chadema? Kwanini unajifanya mjuaji na kuanza kufitinisha watu waliokaa kwenye Chama zaidi ya miaka 10? au umetumwa? Chadema angalieni sana hawa jamaa waliokosa vyeo ccm ni hatari zaidi ya virusi vya ukimwi
 
Halafu nikuulize wewe.unalalamika nassari hamsaidii lema kwenye kampeni je lema alimsaidia nassari? Msiwe na akili kama kiroboto
 
Back
Top Bottom