Kazi ya serikali ni nini? Kama mtu mmoja anaweza kuisimamisha biashara ya utalii?
Acheni kujidanganya.
Dhambi ya ubaguzi ishaanza kuitafuna chaggadema, baada ya kumaliza kutubagua sisi watu wa kanda nyingine sasa imefika zamu ya kubaguana wenyewe kwa wenyewe!! hakika Mungu ni mkuu!
Ukiona matusi kama haya yanatoka kwa watu kama nyie hakika Chadema imeuzwa ....
Wenyewe kwa wenyewe.....ha ha haaaa....
Si mkajadili kwa vikao vyenu huko, do we need to know khs upuuzi wenu wote????
Hakukubaliana na ujio wa Lowassa CHADEMA alikuwa anawaunga mkono kinafiki ili ashinde ubunge tu. Sasa ameonyesha his true colour.
nathari yuko makini..hawezi kupelekeshwa na mtu bogus kama lema
kilichokuleta mbiombio kuchangia ni nini?
Ungeanza kumshangaa msalani kwanza....kwa nn akimbilie JF kuleta upuuzi wenu hukoo...
huo umakini anaujua mke wake, kwani wewe ni nani wake eti?
Upeo wako mdogo ndio unakuonyesha kuwa huu ni upuuzi!
Kama leo wewe ni moja wa marafiki wa Lema basi Chadema inaelekea kibra ....wewe Msalani? Kisa EL ? Huu ndio unafiki wa kisiasa ....
Kipindi cha kampeni za Ubunge Arusha, ndio kinafikia ukingoni, toka uliposhinda ubunge Arumeru hukuwahi kukanyaga Arusha Mjini!
Sasa hivi hutembei na gari lililo na bendera wala rangi yeyote ya CHADEMA, Unaingia mjini Privately na kuondoka Privately! Kila mtu anashangaa! Je? Huyu ndio yule Nassary aliyesapotiwa na LEMA kuingia madarakani au? Butwaa limempata kila mtu!
Ukipigiwa simu na LEMA au timu yake hupokei! Watu wanajiuliza, Nassary umepatwa na nini?
Je ni fedha, Je umerubuniwa? Je CHADEMA imekuudhi? au ni LEMA? Joshua Nassary Jirudi uendeleze mapambano, fedha sio kila kitu!
Hebu tuweke wazi! Wana Arusha mjini tumekwazwa sana na hili! Japo bado tutamchagua LEMA awe Mbunge wetu!
VIVA LEMA, VIVA CHADEMA, VIVA ARUSHA MJINI!
Lazima kieleweke!!!!!
Leo Joshua Nassary amepigiwa simu mara kadhaa na LEMA mbele ya macho yangu pale SAFARI HOTEL wala hakupokea!
Je wakati wa kampeni Lema alitia mguu Arumeru kupiga kolabo na dogo janja?
Lema alilalamikiwa sana kutoshiriki kikamilifu kampeni za wenzie haki yeye kwakw hali iko shwari.
Lema alikuwa na swagger za Lowassa atosha, na alijikoki hadi dhidi ya kauli zake mwenyewe za heshima kubwa kwa Mungu kumzomea Lowassa.
Kwa taarifa yako ndo ulikuwa uchaguzi uliomwingiza Nassary madarakani.
Sasa Wameru wengi hawapendi vigeugeu. Leo umemtukana mwizi, tumemzomea na viapo kwa Mungu, kesho unamleta mtu yuleyule awe mfalme.
Ngumu kumeza.
Mpaka Mussa kaleta huu uzi hapa, ni dhahiri hali ya Lema ni tete