Ewe Joshua Nassary, Godbless Lema amekukosea nini?

Ewe Joshua Nassary, Godbless Lema amekukosea nini?

Nimeongea na Nassary... wala hakuna tofauti yoyote na Lema au CHADEMA... na Aliongea na Lema kama siku 2 hivi zilizopita, na Lema kamwambia kwa uhakika kabisa atashinda kwa kishindo... hivyo hakuna haja ya kupiga sanaaaaa kampeni...

So, hakuna chochote baya au tofauti...
So, tuwe tunaandika vitu kwa ushahihi...

...
Acha kupotosha wewe! Hakuna haja ya kampeni? are you sure? LOWASSA ametoka Dar es salaam, sasa anampigia kampeni LEMA hapa Arusha itakuwa NASSARY?
 
Nassary na LEMA walikuwa ni marafiki wa karibu sana! LEMA ndiye aliyemsapoti Nassary kugombea Ubunge!

Acheni Fitna. Mnaanza siasa za kujipendekeza kwa Fisadi kwa kuchongeana I'll mtafune vizuri pesa yake
 
Acheni Fitna. Mnaanza siasa za kujipendekeza kwa Fisadi kwa kuchongeana I'll mtafune vizuri pesa yake
Acha Ngebe wewe kiroboto! Mafisadi wanapatikana huko CCM, ndio maana akina Muhongo wa ESCROW wanateuliwa kuwa mawaziri! Kunguni wewe!
 
Fedha gani? unajuwa wenye pesa wewe.mna mambo yenu wenyewe.kama hapokei mnapotezea tu kwani lazimaa?
Hata wewe ukipata vijisenti, tutaifahamu tabia yako halisi! Sasa hivi unapiga jeramba tu! kiroboto wewe!
 
Anafuata nyayo za Zitto huyu. Anyway akizira yeye wenzie walk. Arusha imeshaamua ni Lema Ubunge.
Unajua sie vijana tukiendeleza siasa za kinafiki hivi itafika mahali watz wasindwe kutoa mini. Vijana lazima tuwe na umoja hivi vishilingi mia visifanye tujisahau kabisa. Lazima tujue kwamba bado tunasafari ndefu na kwenye siasa zaidi ya hawa wazee wanaotuyumbisha.
Siasa ni upepo mwache Nasarry acheze nao ila ukimwacha atajuta kuingia kwenye kwenye siasa
 
Kama leo wewe ni moja wa marafiki wa Lema basi Chadema inaelekea kibra ....wewe Msalani? Kisa EL ? Huu ndio unafiki wa kisiasa ....
Toka muanze kusema hivi ni miaka mingapi imepita? Mzee Wassira alitabiri pia, unajua ni nini kilichomkuta!

Sioni ajabu mimi kumsapoti LEMA, ni suala la kutambua tu! JEMA na BAYA!
 
Sikuwahi kumfukunyu Nassari kwenye uchaguzi mkuu uliopita kwa kuwa alikuwa ni mbunge kijana anayejitambua.

Nassari alianza kuiga mihemko ya Lema lakini kwa ushauri wa washili alijituliza.

Nassari ametumia muda mwingi jimboni kwake na kufanya maendeleo badala ya maandamano.

lema anapigwa chini Arusha!

Kweli kuna tatzo yani ww fisi unamsifia nasar
 
Leo Joshua Nassary amepigiwa simu mara kadhaa na LEMA mbele ya macho yangu pale SAFARI HOTEL wala hakupokea!

kwanini usimuulize LEMA tatizo nini?
...na kama Lowassa yupo Arusha kumpigia kampeni Lema,ya nini kuhangaika na Nassary?
 
kwanini usimuulize LEMA tatizo nini?
...na kama Lowassa yupo Arusha kumpigia kampeni Lema,ya nini kuhangaika na Nassary?
Inaonekana hata hujaelewa kinachojadiliwa, ushabiki wa magamba umekufunika akili!
 
Acha Ngebe wewe kiroboto! Mafisadi wanapatikana huko CCM, ndio maana akina Muhongo wa ESCROW wanateuliwa kuwa mawaziri! Kunguni wewe!

2005-2010 Chadema ilitoka menu wabunge 5 mpaka 49 mlipoingia nyie wameongezeka 19 wakati Slaa aliongeza 44. Halafu Bwana wako Lowassa alishasema kama una ushahidi unaenda kortini ukishindwa shut up sasa we nani usaliti kauli ya bwana wako Nyamimavi?
 
2005-2010 Chadema ilitoka menu wabunge 5 mpaka 49 mlipoingia nyie wameongezeka 19 wakati Slaa aliongeza 44. Halafu Bwana wako Lowassa alishasema kama una ushahidi unaenda kortini ukishindwa shut up sasa we nani usaliti kauli ya bwana wako Nyamimavi?
Itakuwa hujaelewa somo!
 
Back
Top Bottom