samweli mbise
Senior Member
- May 13, 2015
- 102
- 11
mtoa mada n changamoto tu anataka ila ukweli anao josh yuko poa na kesho utamwona htimisho la kampen
nitajie faida 3 tu ulizopata tangu uanze kufanya uongo .Hakukubaliana na ujio wa Lowassa CHADEMA alikuwa anawaunga mkono kinafiki ili ashinde ubunge tu. Sasa ameonyesha his true colour.
acheni kuwagombanisha watu
Kwani urongo?Alinichefua sana alipowasifia polisi na kudai uchaguzi ulikuwa huru na haki kisa kashinda ubunge,,stupid bogus atimuliwe kwenye chama
Kwani urongo?Alinichefua sana alipowasifia polisi na kudai uchaguzi ulikuwa huru na haki kisa kashinda ubunge,,stupid bogus atimuliwe kwenye chama
Ukiona matusi kama haya yanatoka kwa watu kama nyie hakika Chadema imeuzwa ....
Nakuvutia kasi tu! Mnafiki sana wewe! Soon utaikimbia JF!