Ewe Joshua Nassary, Godbless Lema amekukosea nini?

Ewe Joshua Nassary, Godbless Lema amekukosea nini?

Leo Joshua Nassary amepigiwa simu mara kadhaa na LEMA mbele ya macho yangu pale SAFARI HOTEL wala hakupokea!
 
Lema mbona kijana wetu wanaarusha, anashinda kwa kura kibao.Labda u.k.bla
 
Sikuwahi kumfukunyu Nassari kwenye uchaguzi mkuu uliopita kwa kuwa alikuwa ni mbunge kijana anayejitambua.

Nassari alianza kuiga mihemko ya Lema lakini kwa ushauri wa washili alijituliza.

Nassari ametumia muda mwingi jimboni kwake na kufanya maendeleo badala ya maandamano.

lema anapigwa chini Arusha!

Wewe naona akili yako sawa na hiyo ID yako Arusha hatuwezi kuchagua wezi na vibaka wa ccm
 
Teh Teh atakuwa ni msaliti basi afukuzwe ...
 
Mbona mnashambuliana wenyewe kwa wenyewe kuna nini Chadema.

Arusha mjini hali ya maisha imekuwa ngumu sana biashara zimedoda sana mikutano yote imehamishwa Arusha.

Watalii wanakuja kiduchu sana nimepita mwezi uliopita hapo Arusha ukumbi wa AICC majengo matupu.
 
Hakukubaliana na ujio wa Lowassa CHADEMA alikuwa anawaunga mkono kinafiki ili ashinde ubunge tu. Sasa ameonyesha his true colour.

Ata Kama Ana ugomvi na Lema au lowasa,yeye Kama mtanzania mpenda mageuzi ni aibu Arusha mjini mbunge kutokea ccm
 
Kati wabunge zaid ya 70 wa Chadema ni Nassari pekee ndie hakufika kwny Kampeni? Acheni kuchochda Fit a imarisheni chama Chenu na kama mapungufu yamalizwe. High Mussa Allah mumtazame kwa Makini Alihama ccm baada ya ccm kuchinja Mafisadi Dodoma
 
Mbona mnashambuliana wenyewe kwa wenyewe kuna nini Chadema.

Arusha mjini hali ya maisha imekuwa ngumu sana biashara zimedoda sana mikutano yote imehamishwa Arusha.

Watalii wanakuja kiduchu sana nimepita mwezi uliopita hapo Arusha ukumbi wa AICC majengo matupu.
Kazi ya serikali ni nini? Kama mtu mmoja anaweza kuisimamisha biashara ya utalii?
 
Kati wabunge zaid ya 70 wa Chadema ni Nassari pekee ndie hakufika kwny Kampeni? Acheni kuchochda Fit a imarisheni chama Chenu na kama mapungufu yamalizwe. High Mussa Allah mumtazame kwa Makini Alihama ccm baada ya ccm kuchinja Mafisadi Dodoma
Nassary na LEMA walikuwa ni marafiki wa karibu sana! LEMA ndiye aliyemsapoti Nassary kugombea Ubunge!
 
Nimeongea na Nassary... wala hakuna tofauti yoyote na Lema au CHADEMA... na Aliongea na Lema kama siku 2 hivi zilizopita, na Lema kamwambia kwa uhakika kabisa atashinda kwa kishindo... hivyo hakuna haja ya kupiga sanaaaaa kampeni...

So, hakuna chochote baya au tofauti...
So, tuwe tunaandika vitu kwa ushahihi...

👉🚶🚶🚶...
 
Back
Top Bottom