ndandambuli
JF-Expert Member
- Jul 2, 2017
- 948
- 639
- Thread starter
- #161
Watoto wengi sana humuSi ndo hapo mkuu.Hata km ni kusifia hii sasa ni too much.
Watoto wengi sana humuSi ndo hapo mkuu.Hata km ni kusifia hii sasa ni too much.
Wewe umefanya mangapi yaliyo kinyume na maandiko?Kwa hiyo umefurahi kwenda kinyume na maandiko Matakatifu yanayosema tusilipe kisasi?
Stiff Naked foolYaani mke wa mtu halafu umemkuta kama alivyo zaliwa
Wabongo sisi niwagumu kuelewa,hapa alikuwa anamaanisha kuwa alimkuta hana nguo ya ndani.Hahahhaaaaaa
Kamkuta mke wa jamaa kajitunza kama alivyozaliwa!!!?.
Dogo anatuona wote watoto wenzie...
Utoto mwingine huuNiazime mkeo,akirudi hatemi mate nakuchagua baadhi ya vyakula,itaonyesha kweli Mimi ni mtoto!
Wabongo sisi niwagumu kuelewa,hapa alikuwa anamaanisha kuwa alimkuta hana nguo ya ndani.
Yani kama alivyozaliwa,kwenye kujitunza hapo naona ilikuwa typing error.
HongeraKuna jamaa kaninyandulia sana mke wangu, Mzee nilijifanya fala tu sijui kinachoendelea,kimya kimya nikaanza kupanga mikakati ya kumtafuta mke wake, haikuwa kazi rahisi kwasababu nilikuwa simfahamu, mwezi mmoja baadaye nikafanikiwa kupata namba yake tukaanza kuwasiliana, miezi mitatu baadaye nikamtia mikononi, mtoto wa watu alijitunza sana yaani nilimkuta kama alivyozaliwa.
Baada muda fulani nikalazimika kumwambia sababu ya kutembea naye ilikuwa ni kulipa kisasi kwasababu mumewe anatembea na mke wangu,hakushtuka hata kidogo akaniambia anamjua mumewe ni kiwembe,ana watoto wawili nje ya ndoa, akaniambia nayeye anatamani sana alipe kisasi kama nipo tayari tukapime ngoma ili nimtie mimba ,tukakubaliana iwe hivyo tayari nimeshamtia mimba tunamsubiri ajaye
Nawashauri nyote mnaosalitiwa na wake zenu waume zenu msikurupuke ,dawa ni kulipa kisasi tu mkiamua kusameheana sameheaneni mkiwa ngoma droo,sio mnasameheana halafu mnabaki na vinyongo mioyoni mwenu,usipolipa kisasi utakuwa na kinyongo tu hatimaye magonjwa ya moyo.
Asante sanaHongera