ndandambuli
JF-Expert Member
- Jul 2, 2017
- 948
- 639
- Thread starter
- #141
Inawezekana kweli sina,je wewe unazo kweli zimetimia?huna akili ndio maana unahangaika na visasi.......keshakuona mwanamke mwenzie.....anza kuvaa kanga kabisa
Inawezekana kweli sina,je wewe unazo kweli zimetimia?huna akili ndio maana unahangaika na visasi.......keshakuona mwanamke mwenzie.....anza kuvaa kanga kabisa
Sasa wewe ukiniona fala unafikiri mimi napingukiwa nini? Endelea kuniona fala hivyohivyo ila mimi nimeshalipa kisasi,bila shaka mwizi wangu utakuwa wewe,kamkague mkeoInawezekana hii ni chai iliyopikwa juzi ikawekwa kwenye chupa kwa siku kadhaa,sasa umeamua tuinywe,iwapo ni tukio la kweli,Huoni kama wewe bado tunakuona fala,sababu wewe ndio ulianza kuchapiwa,badala utafute jibu kwanini mkeo alikusaliti unaanza hangaika na visasi.
Usiwaze sana mkuunawaza jinsi ulivyomkuta Kama alivyozaliwa
Ni kweli mkuu unaua sana tujikingeTujitunze Kuna Ukimwi Pia
Umeenda kutupa DNA yako kwa sababu ya kulipa kisasi cha kijinga?Kuna jamaa kaninyandulia sana mke wangu, Mzee nilijifanya fala tu sijui kinachoendelea,kimya kimya nikaanza kupanga mikakati ya kumtafuta mke wake, haikuwa kazi rahisi kwasababu nilikuwa simfahamu, mwezi mmoja baadaye nikafanikiwa kupata namba yake tukaanza kuwasiliana, miezi mitatu baadaye nikamtia mikononi, mtoto wa watu alijitunza sana yaani nilimkuta kama alivyozaliwa.
Baada muda fulani nikalazimika kumwambia sababu ya kutembea naye ilikuwa ni kulipa kisasi kwasababu mumewe anatembea na mke wangu,hakushtuka hata kidogo akaniambia anamjua mumewe ni kiwembe,ana watoto wawili nje ya ndoa, akaniambia nayeye anatamani sana alipe kisasi kama nipo tayari tukapime ngoma ili nimtie mimba ,tukakubaliana iwe hivyo tayari nimeshamtia mimba tunamsubiri ajaye
Nawashauri nyote mnaosalitiwa na wake zenu waume zenu msikurupuke ,dawa ni kulipa kisasi tu mkiamua kusameheana sameheaneni mkiwa ngoma droo,sio mnasameheana halafu mnabaki na vinyongo mioyoni mwenu,usipolipa kisasi utakuwa na kinyongo tu hatimaye magonjwa ya moyo.
umekosea unatakiwa uchukue kabisa ili awe wako kama wewe na mke wako hamjaonaKuna jamaa kaninyandulia sana mke wangu, Mzee nilijifanya fala tu sijui kinachoendelea,kimya kimya nikaanza kupanga mikakati ya kumtafuta mke wake, haikuwa kazi rahisi kwasababu nilikuwa simfahamu, mwezi mmoja baadaye nikafanikiwa kupata namba yake tukaanza kuwasiliana, miezi mitatu baadaye nikamtia mikononi, mtoto wa watu alijitunza sana yaani nilimkuta kama alivyozaliwa.
Baada muda fulani nikalazimika kumwambia sababu ya kutembea naye ilikuwa ni kulipa kisasi kwasababu mumewe anatembea na mke wangu,hakushtuka hata kidogo akaniambia anamjua mumewe ni kiwembe,ana watoto wawili nje ya ndoa, akaniambia nayeye anatamani sana alipe kisasi kama nipo tayari tukapime ngoma ili nimtie mimba ,tukakubaliana iwe hivyo tayari nimeshamtia mimba tunamsubiri ajaye
Nawashauri nyote mnaosalitiwa na wake zenu waume zenu msikurupuke ,dawa ni kulipa kisasi tu mkiamua kusameheana sameheaneni mkiwa ngoma droo,sio mnasameheana halafu mnabaki na vinyongo mioyoni mwenu,usipolipa kisasi utakuwa na kinyongo tu hatimaye magonjwa ya moyo.
Haswa na huo ndio mpango wetuumekosea unatakiwa uchukue kabisa ili awe wako kama wewe na mke wako hamjaona
Wewe unaona kisasi kipi sio cha kijinga?Umeenda kutupa DNA yako kwa sababu ya kulipa kisasi cha kijinga?
Visasi vyote ni ujinga, ila kuna vilivyozidi vingine ujinga.Wewe unaona kisasi kipi sio cha kijinga?
Nimemtupaje Sasa?Visasi vyote ni ujinga, ila kuna vilivyozidi vingine ujinga.
Unamkomoa mtu kwa kumtupa mwanao, kama si ujinga huo ni nini?
Pole sana mkuu bado mtoto weyeMtoto wa watu alijitunza sana yaani nilimkuta kama alivyozaliwa..." mwisho wa kunukuu". Huyu mme wake sijui alikua ananyandua jini! Story za uongo siku zote usipokua makini! Utaumbuka tu mwishoni! Bongo movies! Jambazi anavamia,then kuingia ndani anavua viatu
Kwa hiyo umefurahi kwenda kinyume na maandiko Matakatifu yanayosema tusilipe kisasi?Kuna jamaa kaninyandulia sana mke wangu, Mzee nilijifanya fala tu sijui kinachoendelea,kimya kimya nikaanza kupanga mikakati ya kumtafuta mke wake, haikuwa kazi rahisi kwasababu nilikuwa simfahamu, mwezi mmoja baadaye nikafanikiwa kupata namba yake tukaanza kuwasiliana, miezi mitatu baadaye nikamtia mikononi, mtoto wa watu alijitunza sana yaani nilimkuta kama alivyozaliwa.
Baada muda fulani nikalazimika kumwambia sababu ya kutembea naye ilikuwa ni kulipa kisasi kwasababu mumewe anatembea na mke wangu,hakushtuka hata kidogo akaniambia anamjua mumewe ni kiwembe,ana watoto wawili nje ya ndoa, akaniambia nayeye anatamani sana alipe kisasi kama nipo tayari tukapime ngoma ili nimtie mimba ,tukakubaliana iwe hivyo tayari nimeshamtia mimba tunamsubiri ajaye
Nawashauri nyote mnaosalitiwa na wake zenu waume zenu msikurupuke ,dawa ni kulipa kisasi tu mkiamua kusameheana sameheaneni mkiwa ngoma droo,sio mnasameheana halafu mnabaki na vinyongo mioyoni mwenu,usipolipa kisasi utakuwa na kinyongo tu hatimaye magonjwa ya moyo.
Si ndo hapo mkuu.Hata km ni kusifia hii sasa ni too much.Hahahhaaaaaa
Kamkuta mke wa jamaa kajitunza kama alivyozaliwa!!!?.
Dogo anatuona wote watoto wenzie...
Wewe ni mjinga sana huwezi kuelewa hata nikikuelewesha na sina muda wa kupoteza kujaribu kukuelewesha.Nimemtupaje Sasa?
Chizi wewe usijifanye mtabiri,au unataka ujue kila kitu kuhusu mipango yetuWewe ni mjinga sana huwezi kuelewa hata nikikuelewesha na sina muda wa kupoteza kujaribu kukuelewesha.
Daa nimejichanganya mkuu badala tangawizi si nimeweka pilipili manga!Hii chai ungeweka hata Tangawizi kidogo mkuu