"Every Cloud Has a Silver Lining"

Shinto

JF-Expert Member
Dec 6, 2010
1,781
96
Niliwahi kutahadharisha kwewnye jukwaa hili kuwa kama kuna kundi la watanzania lhaliipendi CCM kwa ukweli basi ni Waislamu. Waislamu hawakuwa na uhusiano mzuri na serikali zoote za CCM zilizowahi kuwepo kwa sababu mbalimbali ambazo wengi humu mmezisikia.
Kwa hiyo kundi hili lingekuwa "free votes" kwa CDM kama ingechanga karata zake vizuri. Kama kawaida ya wana CDM wa JF wakaporomosha matusi wakiamini hili ni kundi la kupuuzwa na kwamba CDM yaweza kushinda bila kura zao.
Hii falsafa ikaingia kwenye vichwa vya viongozi wa CDM nao wakawapuuza waislamu na kuwakumbatia waziwazi wakristo! Mfano ni pale Slaa alivyomjibu kwa kiburi Mufti bila kujali kuwa anaongoza kundi kubwa ambalo naye anataka kura zao na pengine awe Rais wao!

Kwa Ujeuri huu na dharau na kejeli za CDM, waislamu sasa wameungana kwa mara ya kwanza, na wanaweza kuwa very influential voting bloc! Na kwa hiyo kuweka mazingira magumu kwa CDM kushinda!

Kwani kuna ubaya gani kama CDM kwenye mkakati wao wa kudai katiba kama wange weka pia swala la mahakama ya kadhi? Mbona Mrema aliliona hili? Mbona Kenya kwenye wakristo wengi zaidi wameliweka hili? si ingekuwa harmless concession?

Nimetumia hiyo heading kwa sababu huu mgogoro (cloud) wa CDM, serikali na WAISLAMU umeanikiwa kuwaunganisha waislamu (silver lining)! BAKWATA na taasisi nyingine za kiislamu sasa wanakaa jukwaa moja wakiwa na agenda moja! Hili halikuwepo!
 
Niliwahi kutahadharisha kwewnye jukwaa hili kuwa kama kuna kundi la watanzania lhaliipendi CCM kwa ukweli basi ni Waislamu. Waislamu hawakuwa na uhusiano mzuri na serikali zoote za CCM zilizowahi kuwepo kwa sababu mbalimbali ambazo wengi humu mmezisikia.
Kwa hiyo kundi hili lingekuwa "free votes" kwa CDM kama ingechanga karata zake vizuri. Kama kawaida ya wana CDM wa JF wakaporomosha matusi wakiamini hili ni kundi la kupuuzwa na kwamba CDM yaweza kushinda bila kura zao.
Hii falsafa ikaingia kwenye vichwa vya viongozi wa CDM nao wakawapuuza waislamu na kuwakumbatia waziwazi wakristo! Mfano ni pale Slaa alivyomjibu kwa kiburi Mufti bila kujali kuwa anaongoza kundi kubwa ambalo naye anataka kura zao na pengine awe Rais wao!

Kwa Ujeuri huu na dharau na kejeli za CDM, waislamu sasa wameungana kwa mara ya kwanza, na wanaweza kuwa very influential voting bloc! Na kwa hiyo kuweka mazingira magumu kwa CDM kushinda!

Kwani kuna ubaya gani kama CDM kwenye mkakati wao wa kudai katiba kama wange weka pia swala la mahakama ya kadhi? Mbona Mrema aliliona hili? Mbona Kenya kwenye wakristo wengi zaidi wameliweka hili? si ingekuwa harmless concession?

Nimetumia hiyo heading kwa sababu huu mgogoro (cloud) wa CDM, serikali na WAISLAMU umeanikiwa kuwaunganisha waislamu (silver lining)! BAKWATA na taasisi nyingine za kiislamu sasa wanakaa jukwaa moja wakiwa na agenda moja! Hili halikuwepo!

Kumbe ni dini? napita
 
ULAGHAI WA KIKWETE KUHUSU KUUNDWA KWA KATIBA YENYE WANANCHI KWENYE STERINGI SASA TUNASEMA BASI: TUNATAKA SERIKALI YA MPITO KUSHUGHULIKIA KATIBA NCHINI NA KUKAMILISHA KILA KITU 2014

CHADEMA,Asasi za Kiraia nchini, Vyuo Vikuu na Nchi Wahisani tunaomba mtuelewe kwamba sasa uzalendo umetushinda na huu utani wote na kiburi ya Mhe Kikwete - tunataka serikali mpya ya mpito sasa hivi kushughulikia katiba!!!

Wananchi; kila mmoja mahala ulipo wakati umefika wa kuachana na mchezo katika mambo ya msingi ambayo tumejaribu kutafuta kiungwana ndio hivo imeshindikana. Hakuna haja kuendelea kubisha mlango usiofunguliwa bali hapa ni kutafuta njia njingine kabisa kwa uwezo wa Nguvu ya Umma.

Cha msingi sasa sisi wenyewe tena vijana, kwa njia zetu zile, TUNAIPA SERIKALI YA Mhe Kikwete hadi April 08, 2011 iwe imewashirikisha wadau wote na mawazo yetu, katika hatua zote za ushiriki, usimamizi na uendeshaji wa mambo ya katiba kwa kuzingatia matakwa ya wananchi na wala si kutulazimiza na matakwa ya watawala ambao ndio haswa tunaowalalamikia kwa unyanyasaji.

Vijana tuliowengi nchini tusimame kutetea haki zetu kwani haki hapewi mtu hata siku moja. Endpo serikali haitotii hayo maoni yetu basi Vijana kote nchini pamoja na taasisi marafiki wa UTAWALA WA KIDEMOKRASIA NA USHIRIKISHWAJI WA WANANCHI MOJA KWA MOJA tujiweke tayari kwa maandamano ya amani kote nchini mpaka matakwa haya yatimizwe au serikali inaposhindwa basi ikatupishe njia haraka!!

Tunasema katika huu mzaha wa serikali kuhusu tume HURU YA BUNGE kugeuzwa kuwa TUME TEGEMEZI YA RAIS ikibarikiwa na Bunge; Vijana tumefika Tamati tena hadi hapa!!!

Kumbe Kupatikana kwa Katiba Mpya chini ya Uongozi wa CCM haiwezikani bila serikali kututwisha MADALALI kwenye mambo ya kuundwa kwa Katiba Mpya nchini.

CHADEMA tusikilizeni, tunahitaji kwana SERIKALI YA MPITO kumbe yenye jukumu moja tu kushughulikia Katiba kwa MUJIBU WA MATAKWA WA WANANCHI katika hatua zote za usimamizi na maamuzi.

BAVICHA na matawi yetu yote ya CHADEMA nchini tueleweni kwamba wananchi sasa tunasema baaasi na Serikali ya CCM iondoke madarakani sasa hivi. Sote tunao uwezo wa kubadilisha haya mambo yote kabla hatujaingizwa porini zaidi.

Mwenye kupata ujumbe huu na akawajulishe vijana wengine 10 juu ya ulaghai uliotangazwa na serikali majuzi kutupora haki ya kusimamia kuundwa kwa katiba mpya bila kuingiliwa na dola.

Lengo lao likiwa ni kuleta katiba waitakayo MAFISADI nchini, kuchelewesha muda tuingie uchaguzi 2015 bila katiba mpya, na vile vile kukiundia CHADEMA mikesi ya kuchonga kisiasa ili baadhi ya wale tunaowapenda wasigombee.

SASA TUNASEMA KATIBA MPYA NA TUME HURU YA UCHAGUZI BARA NA VISIWANI YOTE YAWEZEKANA BILA CCM, TUPISHENI NJIA!!!
Umekwepa hoja ya msingi. katiba mpya ndio, kwa manufaa ya nani? Umeanza na CHADEMA, kwa hiyo katiba mpya kwa manufaa ya Chadema? Unaposema vijana, unalenga kundi lipi? Wale mnao jifanya wasomi humu JF au wale mnaowatukana kila siku wauza kahawa na kashata?
 
Niliwahi kutahadharisha kwewnye jukwaa hili kuwa kama kuna kundi la watanzania lhaliipendi CCM kwa ukweli basi ni Waislamu. Waislamu hawakuwa na uhusiano mzuri na serikali zoote za CCM zilizowahi kuwepo kwa sababu mbalimbali ambazo wengi humu mmezisikia.
Kwa hiyo kundi hili lingekuwa "free votes" kwa CDM kama ingechanga karata zake vizuri. Kama kawaida ya wana CDM wa JF wakaporomosha matusi wakiamini hili ni kundi la kupuuzwa na kwamba CDM yaweza kushinda bila kura zao.
Hii falsafa ikaingia kwenye vichwa vya viongozi wa CDM nao wakawapuuza waislamu na kuwakumbatia waziwazi wakristo! Mfano ni pale Slaa alivyomjibu kwa kiburi Mufti bila kujali kuwa anaongoza kundi kubwa ambalo naye anataka kura zao na pengine awe Rais wao!

Kwa Ujeuri huu na dharau na kejeli za CDM, waislamu sasa wameungana kwa mara ya kwanza, na wanaweza kuwa very influential voting bloc! Na kwa hiyo kuweka mazingira magumu kwa CDM kushinda!

Kwani kuna ubaya gani kama CDM kwenye mkakati wao wa kudai katiba kama wange weka pia swala la mahakama ya kadhi? Mbona Mrema aliliona hili? Mbona Kenya kwenye wakristo wengi zaidi wameliweka hili? si ingekuwa harmless concession?

Nimetumia hiyo heading kwa sababu huu mgogoro (cloud) wa CDM, serikali na WAISLAMU umeanikiwa kuwaunganisha waislamu (silver lining)! BAKWATA na taasisi nyingine za kiislamu sasa wanakaa jukwaa moja wakiwa na agenda moja! Hili halikuwepo!


Pamoja na kuwa ni siasa, lakini usikubali kupindisha taratibu ili kuridhisha kundi moja. Suala la Mahakama ya kadhi, ni suala la kikatiba, kiimani, na kisera. Pia ni suala la kiutu. Sio la kukimbilia umaarufu kirahisi...
 
Niliwahi kutahadharisha kwewnye jukwaa hili kuwa kama kuna kundi la watanzania lhaliipendi CCM kwa ukweli basi ni Waislamu. Waislamu hawakuwa na uhusiano mzuri na serikali zoote za CCM zilizowahi kuwepo kwa sababu mbalimbali ambazo wengi humu mmezisikia.
Kwa hiyo kundi hili lingekuwa "free votes" kwa CDM kama ingechanga karata zake vizuri. Kama kawaida ya wana CDM wa JF wakaporomosha matusi wakiamini hili ni kundi la kupuuzwa na kwamba CDM yaweza kushinda bila kura zao.
Hii falsafa ikaingia kwenye vichwa vya viongozi wa CDM nao wakawapuuza waislamu na kuwakumbatia waziwazi wakristo! Mfano ni pale Slaa alivyomjibu kwa kiburi Mufti bila kujali kuwa anaongoza kundi kubwa ambalo naye anataka kura zao na pengine awe Rais wao!

Kwa Ujeuri huu na dharau na kejeli za CDM, waislamu sasa wameungana kwa mara ya kwanza, na wanaweza kuwa very influential voting bloc! Na kwa hiyo kuweka mazingira magumu kwa CDM kushinda!

Kwani kuna ubaya gani kama CDM kwenye mkakati wao wa kudai katiba kama wange weka pia swala la mahakama ya kadhi? Mbona Mrema aliliona hili? Mbona Kenya kwenye wakristo wengi zaidi wameliweka hili? si ingekuwa harmless concession?

Nimetumia hiyo heading kwa sababu huu mgogoro (cloud) wa CDM, serikali na WAISLAMU umeanikiwa kuwaunganisha waislamu (silver lining)! BAKWATA na taasisi nyingine za kiislamu sasa wanakaa jukwaa moja wakiwa na agenda moja! Hili halikuwepo!

Ni waislam wapi na wakristo wapi unaowaongelea hapo kwenye red!

Sisi huku mitaani tunapoishi mbona sijasikia mkiristo anayeiunga Chadema mkono kwa vile tu ni mkristo au Muislam asiyeiunga Chadema mkono kwa vile tu ni Muislam.

Watu wanaoishabikia Chadema ni dini zote, na binafsi naamini si kwa sababu Chandema wana sera nzuri sana bali ni kwasababu wote wamechoshwa na CCM na Chadema ndiyo inaonekana bora kwa sasa.

Huu udini udini sijui kama utatupeleka twendako salama???????

Hiyo mahakama ya Kadhi unayotaka Chadema waiweke, waiweke wapi wakati katiba ni ya wananchi? Kumbukeni katiba ni yetu wananchi hivyo kama tunataka mahakama ya Kadhi wakati wa kuandika katiba mpya tutaiweka.

Ndiyo maana tunataka wawakilishi wa dini wawepo katika halo baraza la kutunga katiba!
 
Ni waislam wapi na wakristo wapi unaowaongelea hapo kwenye red!

Sisi huku mitaani tunapoishi mbona sijasikia mkiristo anayeiunga Chadema mkono kwa vile tu ni mkristo au Muislam asiyeiunga Chadema mkono kwa vile tu ni Muislam.

Watu wanaoishabikia Chadema ni dini zote, na binafsi naamini si kwa sababu Chandema wana sera nzuri sana bali ni kwasababu wote wamechoshwa na CCM na Chadema ndiyo inaonekana bora kwa sasa.

Huu udini udini sijui kama utatupeleka twendako salama???????

Hiyo mahakama ya Kadhi unayotaka Chadema waiweke, waiweke wapi wakati katiba ni ya wananchi? Kumbukeni katiba ni yetu wananchi hivyo kama tunataka mahakama ya Kadhi wakati wa kuandika katiba mpya tutaiweka.

Ndiyo maana tunataka wawakilishi wa dini wawepo katika halo baraza la kutunga katiba!

Acha kujidanganya ndugu yangu, embrace reality! Hakuna muislamu yeyote ambaye hana maslahi binafsi na chadema kama Zitto na Arfi anaweza kushabikia Chadema kwa sasa!
Chadema wangekuwa wanataka uungwaji mkono wa jamii ya Kiislamu SLAA asingekuwa jasiri vile kumkashifu kiongozi wao!
Huu Ujinga unaua Chama Chenu!
 
Acha kujidanganya ndugu yangu, embrace reality! Hakuna muislamu yeyote ambaye hana maslahi binafsi na chadema kama Zitto na Arfi anaweza kushabikia Chadema kwa sasa!
Chadema wangekuwa wanataka uungwaji mkono wa jamii ya Kiislamu SLAA asingekuwa jasiri vile kumkashifu kiongozi wao!
Huu Ujinga unaua Chama Chenu!

Mimi naona wewe ndio mpumbavu kwangu mtu anyeshabikia udini amepitiliza ujinga na kuwa mpumbavu kama wewe.
 
Natamani hii thread ingesomwa na Dr.Slaa.

Atapata ujumbe wako kupitia wapambe wake hapa JF.

Wakuu wapenzi na wanaCDM hapa JF, kuna kitu hiki "ushauri sio amri"

Badala ya kukurupuka na kauli za kejeli au matusi mnapopata ushauri ni vyema mkapata muda mkafikiria juu ya ushauri uliotolewa....kama mnauona ni ushauri mzuri mnaufanyia mikakati ili kukisaidia Chama chenu, kama mtaona ni ushauri usio na manufaa basi mnaupotelezea!

Wako watu wengi wanasoma humu JF na mnapo- brush off kila kitu kwa matusi au kejeli basi hamkisaidii Chama chenu ni kinyume chake mnakipunguza nguvu na kuwakimbiza baadhi ya "would be members".

Kumbe ni dini? napita

Mimi naona wewe ndio mpumbavu kwangu mtu anyeshabikia udini amepitiliza ujinga na kuwa mpumbavu kama wewe.
 
Mufti yule katumika kuwaprovoke kina Slaa na Slaa acting like an adolescent girl responded in highly disrespectful way (understandably on his part because the provocation warranted it), unfortunately to the political detriment of his party and himself. I said it before, SLaa and CDM pissed into the wind on this one..
 
Acha kujidanganya ndugu yangu, embrace reality! Hakuna muislamu yeyote ambaye hana maslahi binafsi na chadema kama Zitto na Arfi anaweza kushabikia Chadema kwa sasa!
Chadema wangekuwa wanataka uungwaji mkono wa jamii ya Kiislamu SLAA asingekuwa jasiri vile kumkashifu kiongozi wao!
Huu Ujinga unaua Chama Chenu!
Acha uongo mm mbna ni muislam na naikubali chadema!cdanganyiki na propaganda za udini huku mafisadi wanazidi kuimaliza nchi yetu. Then unazungumzia kiongozi yupi wa waislam?huyo mufti na Bakwata yake wote ni mafisadi tu wanaohujumu uislam na kufuja mali, uliza ruzuku na misaada ya Bakwata kwa mwaka ni sh. Ngapi na zinatumika vp, waambie wakupe programme moja tu endelevu ya kuwaendeleza waislam kielimu, hakika hawana!waulize Bakwata mpaka sasa wana university ngapi?hv umewah kuwaza wazungu wanaotoa msaada wakristo wakajenga vyuo na waarabu huko arabuni wanaosaidia waislam wapi ni matajiri?je Bakwata haipati msaada kutoka nchi za kiarabu? Ujue hawana mipango endelevu na hawajui waombe msaada gani,waufanyie nn na kwa wakati gani wao kila cku porojo tu.Na kwa ukosefu wao wa elimu ndio wanamshabikia Jk na mafisadi wazidi kuimaliza Tz. Tuulize vijana kama mm tuliosoma islamic seminary za ukwel na sio haya mashule feki ya Bakwata, Acheni uzushi wa udini Chadema inatetea haki za wa tz wote bila kujali dini. Vivaaaa CHADEMA.
 
Acha uongo mm mbna ni muislam na naikubali chadema!cdanganyiki na propaganda za udini huku mafisadi wanazidi kuimaliza nchi yetu. Then unazungumzia kiongozi yupi wa waislam?huyo mufti na Bakwata yake wote ni mafisadi tu wanaohujumu uislam na kufuja mali, uliza ruzuku na misaada ya Bakwata kwa mwaka ni sh. Ngapi na zinatumika vp, waambie wakupe programme moja tu endelevu ya kuwaendeleza waislam kielimu, hakika hawana!waulize Bakwata mpaka sasa wana university ngapi?hv umewah kuwaza wazungu wanaotoa msaada wakristo wakajenga vyuo na waarabu huko arabuni wanaosaidia waislam wapi ni matajiri?je Bakwata haipati msaada kutoka nchi za kiarabu? Ujue hawana mipango endelevu na hawajui waombe msaada gani,waufanyie nn na kwa wakati gani wao kila cku porojo tu.Na kwa ukosefu wao wa elimu ndio wanamshabikia Jk na mafisadi wazidi kuimaliza Tz. Tuulize vijana kama mm tuliosoma islamic seminary za ukwel na sio haya mashule feki ya Bakwata, Acheni uzushi wa udini Chadema inatetea haki za wa tz wote bila kujali dini. Vivaaaa CHADEMA.
Umenichekesha sana ndugu, MAUA seminary ni Islamc? Hayo mawazo yako ni ya kitimoto na mbege!
 
Back
Top Bottom