Shinto
JF-Expert Member
- Dec 6, 2010
- 1,781
- 96
Niliwahi kutahadharisha kwewnye jukwaa hili kuwa kama kuna kundi la watanzania lhaliipendi CCM kwa ukweli basi ni Waislamu. Waislamu hawakuwa na uhusiano mzuri na serikali zoote za CCM zilizowahi kuwepo kwa sababu mbalimbali ambazo wengi humu mmezisikia.
Kwa hiyo kundi hili lingekuwa "free votes" kwa CDM kama ingechanga karata zake vizuri. Kama kawaida ya wana CDM wa JF wakaporomosha matusi wakiamini hili ni kundi la kupuuzwa na kwamba CDM yaweza kushinda bila kura zao.
Hii falsafa ikaingia kwenye vichwa vya viongozi wa CDM nao wakawapuuza waislamu na kuwakumbatia waziwazi wakristo! Mfano ni pale Slaa alivyomjibu kwa kiburi Mufti bila kujali kuwa anaongoza kundi kubwa ambalo naye anataka kura zao na pengine awe Rais wao!
Kwa Ujeuri huu na dharau na kejeli za CDM, waislamu sasa wameungana kwa mara ya kwanza, na wanaweza kuwa very influential voting bloc! Na kwa hiyo kuweka mazingira magumu kwa CDM kushinda!
Kwani kuna ubaya gani kama CDM kwenye mkakati wao wa kudai katiba kama wange weka pia swala la mahakama ya kadhi? Mbona Mrema aliliona hili? Mbona Kenya kwenye wakristo wengi zaidi wameliweka hili? si ingekuwa harmless concession?
Nimetumia hiyo heading kwa sababu huu mgogoro (cloud) wa CDM, serikali na WAISLAMU umeanikiwa kuwaunganisha waislamu (silver lining)! BAKWATA na taasisi nyingine za kiislamu sasa wanakaa jukwaa moja wakiwa na agenda moja! Hili halikuwepo!
Kwa hiyo kundi hili lingekuwa "free votes" kwa CDM kama ingechanga karata zake vizuri. Kama kawaida ya wana CDM wa JF wakaporomosha matusi wakiamini hili ni kundi la kupuuzwa na kwamba CDM yaweza kushinda bila kura zao.
Hii falsafa ikaingia kwenye vichwa vya viongozi wa CDM nao wakawapuuza waislamu na kuwakumbatia waziwazi wakristo! Mfano ni pale Slaa alivyomjibu kwa kiburi Mufti bila kujali kuwa anaongoza kundi kubwa ambalo naye anataka kura zao na pengine awe Rais wao!
Kwa Ujeuri huu na dharau na kejeli za CDM, waislamu sasa wameungana kwa mara ya kwanza, na wanaweza kuwa very influential voting bloc! Na kwa hiyo kuweka mazingira magumu kwa CDM kushinda!
Kwani kuna ubaya gani kama CDM kwenye mkakati wao wa kudai katiba kama wange weka pia swala la mahakama ya kadhi? Mbona Mrema aliliona hili? Mbona Kenya kwenye wakristo wengi zaidi wameliweka hili? si ingekuwa harmless concession?
Nimetumia hiyo heading kwa sababu huu mgogoro (cloud) wa CDM, serikali na WAISLAMU umeanikiwa kuwaunganisha waislamu (silver lining)! BAKWATA na taasisi nyingine za kiislamu sasa wanakaa jukwaa moja wakiwa na agenda moja! Hili halikuwepo!