Event ya Yanga kudorora; nani alaumiwe?

Manara atandikwe viboko 7, maana yeye angeshikilia bango mpaka dakika hii shangwe zingekuwa nyingi sanaa
 
Bado wanajiuliza, Simba aliwezaje kucheza Champion League mpaka robo fainail wakati Yanga alienda shirikisho na kibaya zaidi hayupo Super cup pamoja na kuvaa medali?
Champion League muda si mrefu inaanza. Mtakaza kweli au mtajilegeza muende shirikisho?
 
ni kweli imedorora

Sent from my CPH2371 using JamiiForums mobile app
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…