Evarist Chahali: Mbona shoga aliteuliwa kuwa kiongozi wa umma Tanzania?

Kwani ufisadi unafanywa hadharani? Kama tulijua hatuwezi kufuatilia ushoga majumbani mwa watu why then tulitengeneza hiyo sheria dhidi ya ushoga? What is the point?



Nipatie hiyo sheria inasema kuwa ukifanya ushoga nyumbani ni ruksa. Sheria inakataza ushoga mahali popote pale whether in private or in public. Na sidhani kama utamaduni unauzungumzia inasema ni ruksa kufanya ushoga in private.



If that is the case what is the point of having sheria, mahakana na magereza kudeal na watu wanaofanya ushoga? Tofatuisha kati ya sheria na morality. Huwezi ukatengeneza sheria halafu useme eti mahakama zisi-enforce hiyo sheria bali bali social capital itafanya hivyo. Mahakama zipi pale ku enforce sheria zote including za ushoga.



Kwani serikali yenyewe hawajui?



Kwa hiyo unasuggest ushoga ruksa so long hakuna kufunga ndoa? Is that your point? Unfortunately, sheria haideal na wale mashoga wanaofunga ndoa tuu. Nikupe tuu mfano, kifungu cha 154 cha sheria za makosa ya jinai kinasema kuwa "Any person who (1) has carnal knowledge with any person against the order of nature, ...... (3) permits a male person to have carnal knowledge of him or her against the order of nature, is guilty of a felony, and is liable to imprisonment for fourteen years. Ukiangalia hapa mpaka tigo zimepigwa marafuku kisheria.

Hapo ume speak in new toungues sijakuelewa hata kidogo mara unaniuliza nipatie hiyo sheria inayokataza ushoga hapo hapo unanitajia mwenyewe; tena sijui kama kuna sehemu nimesema kuna sheria inayoruhusu ushoga chumbani....Pia unanishangaza wapi nimesema wakifunga ndoa ndo sawa wasipofunga ndoa siyo? Dont take words directly bila kuangalia context bwana!

Unafananisha rushwa na ushoga wakati rushwa inakuwa exchanged na media money ama in kind (service...) kuna noti za moto na one person kwenye rushwa anakuwa victim na mwingine beneficiary while kwenye ushoga kila mmoja ni beneficiary sasa nani ataenda kumshitaki mwenzake..Ushoga uko more controled na endogenic factors wakati rushwa zinakuwa facilitated na both endogenic plus exogenic na hizo exogenic ndizo tunazoweza kuzi control zaidi..

Pia ujue sheria si hesabu za kujumlisha na kutoa kwamba iwe na one and exact meaning kama ingekuwa hivyo tusingekuwa na hao ndugu zetu learned society kututafsiria na pia haziwezi kuelezea kila kitu in our lives in a comprehensive maner..mengine yanabaki kulindwa na social capital zaidi kuliko hizo sheria na ndiyo maana hasa tukawa na institutions kama schools, ritual places etc ku-shape our behaviour (endogenic) ili tuweze kuishi kwa maelewano.

Niwapi kwanza mashoga Tanzania wamenymwa haki zao? Wote wanatambuliwa kama raia na wanapata services zote kama mm na wewe tunavyopata zetu au unataka wapate zaidi ya wengine? Sisi hatutambui Identity ya ushoga kama humanbeings tuna raia wanaume na wanawake; hatuna nominal ushoga ila tuna activities za ushoga ambazo ziko categorised kwenye unwanted/evil things nazo kwavile ziko ndani ya mtu na si rahisi kuzitambua tume device mechanism za behavioural change zaidi kuliko imprisonment.

Aah kwanza acha kunichosha na mambo yako hayo ningekuwa mm rais ninge dictate kwanza alas...Utanifanya niende out of range bure nikupe neno usilo stahili maana hilo tendo nilichafu na linaudhi maana linatudhalilisha sana ss wanaume..Imagine eating pupuu!
 
  • Thanks
Reactions: EMT
haki inayoharibu maadili ya vizazi,vilivyopo na vijavyo bora ifutiliwe mbali. Tuishi hivi hivi kinafiki ili kulinda hii sumu isisambae kwa kasi. Vp ndoa za jinsia moja zikiruhusiwa halafu bwana Chahali ukasikia mwanao anafunga hiyo ndoa ?
 
Hapo ume speak in new toungues sijakuelewa hata kidogo mara unaniuliza nipatie hiyo sheria inayokataza ushoga hapo hapo unanitajia mwenyewe; tena sijui kama kuna sehemu nimesema kuna sheria inayoruhusu ushoga chumbani....Pia unanishangaza wapi nimesema wakifunga ndoa ndo sawa wasipofunga ndoa siyo? Dont take words directly bila kuangalia context bwana!

Unafananisha rushwa na ushoga wakati rushwa inakuwa exchanged na media money ama in kind (service...) kuna noti za moto na one person kwenye rushwa anakuwa victim na mwingine beneficiary while kwenye ushoga kila mmoja ni beneficiary sasa nani ataenda kumshitaki mwenzake..Ushoga uko more controled na endogenic factors wakati rushwa zinakuwa facilitated na both endogenic plus exogenic na hizo exogenic ndizo tunazoweza kuzi control zaidi..

Pia ujue sheria si hesabu za kujumlisha na kutoa kwamba iwe na one and exact meaning kama ingekuwa hivyo tusingekuwa na hao ndugu zetu learned society kututafsiria na pia haziwezi kuelezea kila kitu in our lives in a comprehensive maner..mengine yanabaki kulindwa na social capital zaidi kuliko hizo sheria na ndiyo maana hasa tukawa na institutions kama schools, ritual places etc ku-shape our behaviour (endogenic) ili tuweze kuishi kwa maelewano.

Niwapi kwanza mashoga Tanzania wamenymwa haki zao? Wote wanatambuliwa kama raia na wanapata services zote kama mm na wewe tunavyopata zetu au unataka wapate zaidi ya wengine? Sisi hatutambui Identity ya ushoga kama humanbeings tuna raia wanaume na wanawake; hatuna nominal ushoga ila tuna activities za ushoga ambazo ziko categorised kwenye unwanted/evil things nazo kwavile ziko ndani ya mtu na si rahisi kuzitambua tume device mechanism za behavioural change zaidi kuliko imprisonment.

Aah kwanza acha kunichosha na mambo yako hayo ningekuwa mm rais ninge dictate kwanza alas...Utanifanya niende out of range bure nikupe neno usilo stahili maana hilo tendo nilichafu na linaudhi maana linatudhalilisha sana ss wanaume..Imagine eating pupuu!

Kwa hiyo ushoga ni ruksa so long unafanyiwa chumbani? Sheria inakataza ushoga either in public or private. Mimi sikuuliza unipatie sheria inayokataza ushoga. Nimekuuliza unipatie sheria inayoruhusu ushoga nyumbani. Sheria niliyokupa inakataza ushogo both in public and private. Au ushoga nyumbani ndio wapi?

Umeniuliza wapi Tanzania mashoga wamenyimwa haki zao. Utajuaje kama wamenyimwa haki zao kama sio shoga? Well, kuna hawa hapa walikuwa wanalalamika: MAJIRA - GAZETI HURU LA KILA SIKU:: Mashoga Dar wataka kutambuliwa kikatiba

Tatizo kubwa wengi bado hamjaelewa point yangu. Poinit yangu sio kwamba mashoga wananyimwa haki zao. Pia point yangu haipo kabisa kwenye kuruhusu au kukataza ushoga. Point yangu ni kwamba, kwa vile serikali imesema haikubaliani na ushoga in the strongest terms, basi tunaitaka serikali ianze kukabiliana na dalili za kuwapo ushoga nchini ili dhamira ya kweli ya kupinga ndoa za jinsia moja, ionekane kwa vitendo. Sio tuu kuongea kwenye majukwaa ya siasa halafu yanaishia huko huko. Tunataka tuone serikali inakabiliana na ushoga kwa vitendo. Kama haya yatashia kwenye majukwaa ya siasa tuu bila vitendo, then ni sawa na kuukaribisha ushoga through the back door.
 
Kwa hiyo in short point yako ni kwamba ni ruksa kuwa na watu ambao ni mashoga Tanzania ili mradi tuu wasi-practice ushoga? Is that what you're trying to say?
No, maana yangu - Haki za mashoga kama binadamu zinatambuliwa (muulize Cameron ni haki zipi anazotaka tuzitambue). Na kwamba ndoa sii moja ya haki hizo ila ni matamanio ambayo kila mtu ana yake! Hatuwezi kutunga sheria kwa matamanio kama ni haki ya mtu. Kisheria hatutambui ushoga kama ni haki ya mtu, sawa na hata relationship yoyote ile. Hakuna sheria ya wewe kudate mwanamke na mnachokifanya kitungiwe sheria ya kukubalika pasipo udhalilishaji baina ya wahusika wenyewe.

Na kama tutaifanya ndoa ni Haki ya mashoga - basi bila unafiki, ni sawa na kusema shoga akitaka kukuoa wewe na ukakataa kwa sababu yeye ni shoga utakuwa umembagua na kuvunja sheria. Jambo ambalo hakuna nchi inalikubali. Pia shoga akinyimwa na shoga mwenzake mchezo, inatakiwa swala liwe na suluhu kisheria. Mkuu huoni kama tunajichimbia kaburi wenyewe, tunajiingiza ktk mambo ambayo hatuna mamlaka nayo.

Unafiki upo sehemu zote za maisha baada ya sisi binadamu kuacha mila na desturi zilizotutofautisha sisi na wanyama. Kukosa aibu kunatufanya tuwe sawa na wanyama, kesho watu watatembea uchi wakidai haki yao kwa madai mbona tunalala uchi, watafanya mapenzi barabarani wakidai haki mbona tunafanya chumbani, watapandikizwa na wanyama kuona kitatokea nini wakidai ni haki na kadhalika..Ubinadamu sii kufikiri na kufanya maamuzi tu, binadamu tumeumbwa na aibu pia..
 
No, maana yangu - Haki za mashoga kama binadamu zinatambuliwa (muulize Cameron ni haki zipi anazotaka tuzitambue). Na kwamba ndoa sii moja ya haki hizo ila ni matamanio ambayo kila mtu ana yake! Hatuwezi kutunga sheria kwa matamanio kama ni haki ya mtu. Kisheria hatutambui ushoga kama ni haki ya mtu, sawa na hata relationship yoyote ile. Hakuna sheria ya wewe kudate mwanamke na mnachokifanya kitungiwe sheria ya kukubalika pasipo udhalilishaji baina ya wahusika wenyewe.

Na kama tutaifanya ndoa ni Haki ya mashoga - basi bila unafiki, ni sawa na kusema shoga akitaka kukuoa wewe na ukakataa kwa sababu yeye ni shoga utakuwa umembagua na kuvunja sheria. Jambo ambalo hakuna nchi inalikubali. Pia shoga akinyimwa na shoga mwenzake mchezo, inatakiwa swala liwe na suluhu kisheria. Mkuu huoni kama tunajichimbia kaburi wenyewe, tunajiingiza ktk mambo ambayo hatuna mamlaka nayo.

Unafiki upo sehemu zote za maisha baada ya sisi binadamu kuacha mila na desturi zilizotutofautisha sisi na wanyama. Kukosa aibu kunatufanya tuwe sawa na wanyama, kesho watu watatembea uchi wakidai haki yao kwa madai mbona tunalala uchi, watafanya mapenzi barabarani wakidai haki mbona tunafanya chumbani, watapandikizwa na wanyama kuona kitatokea nini wakidai ni haki na kadhalika..Ubinadamu sii kufikiri na kufanya maamuzi tu, binadamu tumeumbwa na aibu pia..

Mkuu sio kama umejichanganya hapo? On one hand unasema haki za mashoga kama binadamu zinatambuliwa. At the same time unasema haki ya ndoa haitambuliwi. Kuwa hiyo haki ya kuoa/kuolewa na kuwa na familia sio haki ya kibinadamu? Kwa nini hawa hapa wanalalamika kama haki zao za kibindamu zinatambuliwa na kuheshimiwa? MAJIRA - GAZETI HURU LA KILA SIKU:: Mashoga Dar wataka kutambuliwa kikatiba

Anyway, point yangu haipo huko. Kama nilivyosema huko nyuma kwa vile serikali imesema in the strongest terms kuwa haikubaliani na ushoga, basi tunaitaka serikali ianze kukabiliana na dalili za kuwapo ushoga nchini ili dhamira ya kweli ya kupinga ndoa za jinsia moja, ionekane kwa vitendo. Sio tuu kuongea kwenye majukwaa ya siasa halafu yanaishia huko huko. Je, unakubaliana na hii argument yangu? If so, tuko pamoja. If not, then hatupo pamoja.

Halafu nikuulize swali la kizushi. Inasemekana kuna makabila hapa Tanzania ambayo utamaduni wao unaruhusu mwanamke kuoa mwanawake mwingine. Kwa mfano, kuna kabila huko Mara wana utamaduni unaoitwa "Nyumba Nthobho". Statement ya Membe ina cover ndoa za aina hii?
 
Kwa hiyo in short point yako ni kwamba ni ruksa kuwa na watu ambao ni mashoga Tanzania ili mradi tuu wasi-practice ushoga? Is that what you're trying to say?
Hii inanikumbusha lile tangazo lililowekwa hapa siku moja: "HAIRUHUSIWI KUVUTA, NA KAMA UKIVUTA HAKIKISHA HUTOI MOSHI", yaani tunaruhusu ushoga lakini haturuhusu wapractice ushoga. Sasa shoga asiyepractice anakuwaje shoga, shoga mstaafu?
Nilichomfahamu mtoa mada ni kuwa Tanzania mashoga wapo, sote tunajua hata kabla na enzi ya Nyerere; walikuwepo na wamo hata katika jeshi letu la Ulinzi. Hata ndoa za mashoga zipo lakini zinafanyika kisiri. Anachosema mtoa mada ni kuwa hatuna sheria ya kumfunga mtu eti kwa sababu tu anaonekana kuwa shoga. Ili mtu ashitakiwe kwa kosa, lazima pale watapoonekana wanapumuliana.
 
  • Thanks
Reactions: EMT
Mkuu sio kama umejichanganya hapo? On one hand unasema haki za mashoga kama binadamu zinatambuliwa. At the same time unasema haki ya ndoa haitambuliwi. Kuwa hiyo haki ya kuoa/kuolewa na kuwa na familia sio haki ya kibinadamu? Kwa nini hawa hapa wanalalamika kama haki zao za kibindamu zinatambuliwa na kuheshimiwa? MAJIRA - GAZETI HURU LA KILA SIKU:: Mashoga Dar wataka kutambuliwa kikatiba

Anyway, point yangu haipo huko. Kama nilivyosema huko nyuma kwa vile serikali imesema in the strongest terms kuwa haikubaliani na ushoga, basi tunaitaka serikali ianze kukabiliana na dalili za kuwapo ushoga nchini ili dhamira ya kweli ya kupinga ndoa za jinsia moja, ionekane kwa vitendo. Sio tuu kuongea kwenye majukwaa ya siasa halafu yanaishia huko huko. Je, unakubaliana na hii argument yangu? If so, tuko pamoja. If not, then hatupo pamoja.

Halafu nikuulize swali la kizushi. Inasemekana kuna makabila hapa Tanzania ambayo utamaduni wao unaruhusu mwanamke kuoa mwanawake mwingine. Kwa mfano, kuna kabila huko Mara wana utamaduni unaoitwa "Nyumba Nthobho". Statement ya Membe ina cover ndoa za aina hii?
Hapana mkuu wangu haki za kibinadamu hazihusiani na swala la NDOA.. wewe unaweza kumkataa mwanamke wa kabila, rangi jinsia na kadhalika hakuna sheria inayokulazimisha lazima uoe mwanamke wa aina gani kwa sababu haiwaja sababu ya Ubaguzi kitaifa. Hivyo hatuna sheria ya ndoa kwa maana ya chaguo lako lakini tungeweza kuwa na sheria hiyo tu kama mathlan kabila fulani au rangi fulani wanatengwa kulingana na mila au desturi za Kitanzania. Nakumbuka Marekani waliwahi kuifanya sheria kutokanana kwamba weusi walikuwa hawaruhusiwi kuoa mtu mweupe hata kama Wamependana!.. Hivyo ukitazama hapa kwa makini swala la sheria linahusu kundi moja kutokubalika na kundi jingine ktk jambo lile lile, lakini hili la ndoa za mashoga ni swala linalohusu kundi moja kupewa sheria within themselve na sio shoga kuolewa na straight person.

Pengine kidogo naweza kulilinganisha na Mahakama ya kadhi, hili ni swala la dini na haki kwa dini moja tunachoweza kufanya ni kutambua lakini sii kuifanya sheria kwa nchi nzima.. Kwa hiyo waislaam wanashindwa kuelewa kwa nini serikali inapinga kutambua mahakama ya kadhi, wakati Wakristu hawaoni umuhimu wa mahakama ya kadhi hadi kupewa sheria kitaifa wakati ni swala lao wenyewe..Isipokuwa tofauti iliyopo ni kwamba, waislaam wanachodai ni kwamba kesi zao zinahukumiwa vibaya na mahakama zetu kutokana na kwamba serikali inatambua ndoa za kiislaam (haitambui ndoa za mashoga) kwa nini hukumu zake zinakuwa kinyume cha ndoa walofunga kwa viapo vya kiislaam?

Mashoga kuandamana ili kutaka haki zao zitambuliwe haina maana kuna upotoshaji wa haki hizo. Mbona hawakuwahi kuandamana kabla ya Cameron? Je mwokozi wao ni Cameron maadam kaliweka swala hili la wanandoa kuwa haki ya Mashoga...halafu tazama tu wingi wa jina lao linasema MA -Shoga ikileta maana mbaya ktk lugha lakini wasitazame hilo isipokuwa wao kutengwa na jamii jambo ambalo halipo kitaifa isipokuwa ni la kifamilia.

Ukiwa na mtoto wako na akafanya Umalaya unaweza kutengwa na familia. Serikali haiwezi kulazimisha familia imtambue mtoto wao alofanya Umalaya kwa kuhalalisha Umalaya! - Umalaya unapigwa vita japokuwa watu wanatembea na wapenzi wengi na kadhalika..Kwa sababu hizo hatuwezi kuandika sheria kutambua Umalaya na kuwapa haki malaya kwa sababu wao wanaona ni haki yao kuuza mwili wao ama kutumia sababu ya watu kutembea ovyo kuhalisha Umalaya. Yaani tukianza na haya sijui kama tutayamaliza yote maanake hata wavuta Bangi watakuja na madai ya haki zao na kadhalika..Bado huoni kwamba swala hili lina mwisho mbaya?
 
Hapana mkuu wangu haki za kibinadamu hazihusiani na swala la NDOA.. wewe unaweza kumkataa mwanamke wa kabila, rangi jinsia na kadhalika hakuna sheria inayokulazimisha lazima uoe mwanamke wa aina gani kwa sababu haiwaja sababu ya Ubaguzi kitaifa. Hivyo hatuna sheria ya ndoa kwa maana ya chaguo lako lakini tungeweza kuwa na sheria hiyo tu kama mathlan kabila fulani au rangi fulani wanatengwa kulingana na mila au desturi za Kitanzania. Nakumbuka Marekani waliwahi kuifanya sheria kutokanana kwamba weusi walikuwa hawaruhusiwi kuoa mtu mweupe hata kama Wamependana!.. Hivyo ukitazama hapa kwa makini swala la sheria linahusu kundi moja kutokubalika na kundi jingine ktk jambo lile lile, lakini hili la ndoa za mashoga ni swala linalohusu kundi moja kupewa sheria within themselve na sio shoga kuolewa na straight person.

Pengine kidogo naweza kulilinganisha na Mahakama ya kadhi, hili ni swala la dini na haki kwa dini moja tunachoweza kufanya ni kutambua lakini sii kuifanya sheria kwa nchi nzima.. Kwa hiyo waislaam wanashindwa kuelewa kwa nini serikali inapinga kutambua mahakama ya kadhi, wakati Wakristu hawaoni umuhimu wa mahakama ya kadhi hadi kupewa sheria kitaifa wakati ni swala lao wenyewe..Isipokuwa tofauti iliyopo ni kwamba, waislaam wanachodai ni kwamba kesi zao zinahukumiwa vibaya na mahakama zetu kutokana na kwamba serikali inatambua ndoa za kiislaam (haitambui ndoa za mashoga) kwa nini hukumu zake zinakuwa kinyume cha ndoa walofunga kwa viapo vya kiislaam?

Mashoga kuandamana ili kutaka haki zao zitambuliwe haina maana kuna upotoshaji wa haki hizo. Mbona hawakuwahi kuandamana kabla ya Cameron? Je mwokozi wao ni Cameron maadam kaliweka swala hili la wanandoa kuwa haki ya Mashoga...halafu tazama tu wingi wa jina lao linasema MA -Shoga ikileta maana mbaya ktk lugha lakini wasitazame hilo isipokuwa wao kutengwa na jamii jambo ambalo halipo kitaifa isipokuwa ni la kifamilia.

Ukiwa na mtoto wako na akafanya Umalaya unaweza kutengwa na familia. Serikali haiwezi kulazimisha familia imtambue mtoto wao alofanya Umalaya kwa kuhalalisha Umalaya! - Umalaya unapigwa vita japokuwa watu wanatembea na wapenzi wengi na kadhalika..Kwa sababu hizo hatuwezi kuandika sheria kutambua Umalaya na kuwapa haki malaya kwa sababu wao wanaona ni haki yao kuuza mwili wao ama kutumia sababu ya watu kutembea ovyo kuhalisha Umalaya. Yaani tukianza na haya sijui kama tutayamaliza yote maanake hata wavuta Bangi watakuja na madai ya haki zao na kadhalika..Bado huoni kwamba swala hili lina mwisho mbaya?

Kwenye para ya kwanza, Kwa hiyo the right to marry and to have a found family sio haki ya kibinadamu? Huko kwingine kwa hiyo tufanye kama MAMMAMIA alivyosema hapo juu: "HAIRUHUSIWI KUVUTA, NA KAMA UKIVUTA HAKIKISHA HUTOI MOSHI"?
 
Kwenye para ya kwanza, Kwa hiyo the right to marry and to have a found family sio haki ya kibinadamu? Huko kwingine kwa hiyo tufanye kama MAMMAMIA alivyosema hapo juu: "HAIRUHUSIWI KUVUTA, NA KAMA UKIVUTA HAKIKISHA HUTOI MOSHI"?
Naam na ndipo tunapokuja ktk tafsiri ya neno NDOA - To Marry ili iwe right ya wahusika kwa sababu kinachotazamwa hapa ni haki ya matunda ya hiyo ndoa - Watoto na sii kitendo. Hiovyo unaweza kuzaa nje ya ndoa lakini matatizo utawaachia watoto wako ktk uhalali na haki zao za mirathi...Picha nzima ya ndoa haiishii ktk matakwa ya wanandoa bali ujenzi wa familia nzima.

Hilo la Mammamia kalisema mwenyewe, unaruhusiwa kuvuta lakini kavutie nje mbali na wale wasiovuta! na usidhani watu wanachukia harufu ama uvutaji wako bali tendo lako lina madhara kwao! Mashoga nao wanatakiwa kujali afya yetu, watoto na vizazi vyetu na sii matamanio yao pekee bila kutuhusisha nasi.
 
  • Thanks
Reactions: EMT
Naam na ndipo tunapokuja ktk tafsiri ya neno NDOA - To Marry ili iwe right ya wahusika kwa sababu kinachotazamwa hapa ni haki ya matunda ya hiyo ndoa - Watoto na sii kitendo. Hiovyo unaweza kuzaa nje ya ndoa lakini matatizo utawaachia watoto wake ktk haki zao za mirathi...Picha nzima ya ndoa haiishii ktk matakwa ya wanandoa bali ujenzi wa familia nzima.

Kwa hiyo generally speaking kama watu wanataka kuoana tuu withouht the intention to have children, then the right to marry does not protect them? kwamba you must show that you intend to have children in order for the right to protect you? Vipi wale ambao ni tasa lakini wanataka kuona? Mimi nafikiri kuna rights mbili hapo. The right to marry itself (I mean the very act of marrying whether or not you intend to have children) and the right to have a family.

Hilo la Mammamia kalisema mwenyewe, unaruhusiwa kuvuta lakini kavutie nje mbali na wale wasiovuta! na usidhani watu wanachukia harufu ama uvutaji wako bali tendo lako lina madhara kwao! Mashoga nao wanatakiwa kujali afya yetu, watoto na vizazi vyetu na sii matamanio yao pekee bila kutuhusisha nasi.

Kwa hiyo Tanzania USHOGA HAURUHUSIWI LAKINI KAMA WEWE NI SHOGA HAKIKISHA HUFANYI MATENDO YA USHOGA HADHARANI? Mkuu kazi tunayo.
 
Kwa hiyo generally speaking kama watu wanataka kuoana tuu withouht the intention to have children, then the right to marry does not protect them? kwamba you must show that you intend to have children in order for the right to protect you? Vipi wale ambao ni tasa lakini wanataka kuona? Mimi nafikiri kuna rights mbili hapo. The right to marry itself (I mean the very act of marrying whether or not you intend to have children) and the right to have a family.
Hapana mkuu wangu, sheria huwa zinatungwa kutokana na tatizo kuwepo! Tunafunga ndoa ili iweje ikiwa tunapata vitu vyote ktk mahusiano ya kawaida tu (relationship). To protect wanandoa kutoka kitu gani ikiwa mwanandoa anaweza tembea nje ya ndoa na asifanywe kitu kisheria isipokuwa mmoja wao atakapoitaka talaka which can be issued on any matter. Yes, ndoa pia inalinda haki za wanawake hasa ktk maswala ya kugawana mali (haki ya mwanamke) na kadhalika lakini sio kuhalalisha kitendo cha ndoa kwa maana hili linakubalika tayari ktk mila na tamaduni zetu.

Kwa hiyo Tanzania USHOGA HAURUHUSIWI LAKINI KAMA WEWE NI SHOGA HAKIKISHA HUFANYI MATENDO YA USHOGA HADHARANI? Mkuu kazi tunayo.
Ndivyo Unafiki ule ule vuta bangi lakini usivute hadharani ni haramu - Obama kavuta bangi sana tu leo rais! tena naweza sema viongozi wote wa nchi za magharibi wamepitia bangi! kwa nini wasimhukumu kwa kuvuta kitu kilichoharamishwa kisheria? - Unafiki hauna kipimo.
 
  • Thanks
Reactions: EMT
Hapana mkuu wangu, sheria huwa zinatungwa kutokana na tatizo kuwepo! Tunafunga ndoa ili iweje ikiwa tunapata vitu vyote ktk mahusiano ya kawaida tu (relationship). To protect wanandoa kutoka kitu gani ikiwa mwanandoa anaweza tembea nje ya ndoa na asifanywe kitu kisheria isipokuwa mmoja wao atakapoitaka taraka which can be issued on any matter. Yes, ndoa pia inalinda haki za wanawake hasa ktk maswala ya kugawana mali na kadhalika lakini sio kuhalalisha kitendo cha ndoa kwa maana hili linakubalika tayari ktk mila na tamaduni zetu.

Mkuu napingana na wewe in the strongest terms. The right to marry is there whether or not you intend to have children. Kwa sababu kama wakati mnaoana mlikusudia kuwa na watoto lakini kwa bahati mbaya ikashindikana, haina maana kuwa automatically ndoa inakuwa invalid. Mbona kuna watu wengi tuu wameoana na hawakusudii au hawezi kuwa na watoto?

Ndivyo Unafiki ule ule vuta bangi lakini usivute hadharani ni haramu - Obama kavuta bangi sana tu leo rais! tena naweza sema viongozi wote wa nchi za magharibi wamepitia bangi! kwa nini wasimhukumu kwa kuvuta kitu kilichoharamishwa kisheria? - Unafiki hauna kipimo.

Kwa hiyo na statement ya Membe inaweza kuwa ni ya kinafiki pia?
 
Kwa hiyo ushoga ni ruksa so long unafanyiwa chumbani? Sheria inakataza ushoga either in public or private. Mimi sikuuliza unipatie sheria inayokataza ushoga. Nimekuuliza unipatie sheria inayoruhusu ushoga nyumbani. Sheria niliyokupa inakataza ushogo both in public and private. Au ushoga nyumbani ndio wapi?

Umeniuliza wapi Tanzania mashoga wamenyimwa haki zao. Utajuaje kama wamenyimwa haki zao kama sio shoga? Well, kuna hawa hapa walikuwa wanalalamika: MAJIRA - GAZETI HURU LA KILA SIKU:: Mashoga Dar wataka kutambuliwa kikatiba

Tatizo kubwa wengi bado hamjaelewa point yangu. Poinit yangu sio kwamba mashoga wananyimwa haki zao. Pia point yangu haipo kabisa kwenye kuruhusu au kukataza ushoga. Point yangu ni kwamba, kwa vile serikali imesema haikubaliani na ushoga in the strongest terms, basi tunaitaka serikali ianze kukabiliana na dalili za kuwapo ushoga nchini ili dhamira ya kweli ya kupinga ndoa za jinsia moja, ionekane kwa vitendo. Sio tuu kuongea kwenye majukwaa ya siasa halafu yanaishia huko huko. Tunataka tuone serikali inakabiliana na ushoga kwa vitendo. Kama haya yatashia kwenye majukwaa ya siasa tuu bila vitendo, then ni sawa na kuukaribisha ushoga through the back door.

Hii inajibu kila kitu kuhusu wewe na sisi..We operate in deferent levels/realms kama sisi ni wajinga basi wewe mwerevu kama sisi werevu basi wewe ....sorry is too hard for me to say; then think deeply inside, ur conscious will tell exactly who u are!

Honestly is only because I believe homosexuals are possesed by demons ndiyo maana naendlea kujibu post zako pengine nita shed light into ur darkened spirit by the lie of the prince of this world; other wise ningeshaachana na huu uendawazimu wa mtu mzima na akili zake kuanza kuwaza/kutetea (vichaa) kutumia maumbile ambayo shape zake zinajieleza zitumikeje...Mbona hata chakula kinaweza kuingia sehemu uchafu unakotokea kwanini we dont use that organ tu feed our selves? Wapi ni karibu zaidi na tumbo kati ya mdomo na sehemu ya haja kubwa? Utasema ooh digestion if it would be ur argument we have technologies to digest food that this very people can be fed thru anus..
 
  • Thanks
Reactions: EMT
Hii inajibu kila kitu kuhusu wewe na sisi..We operate in deferent levels/realms kama sisi ni wajinga basi wewe mwerevu kama sisi werevu basi wewe ....sorry is too hard for me to say; then think deeply inside, ur conscious will tell exactly who u are!

Honestly is only because I believe homosexuals are possesed by demons ndiyo maana naendlea kujibu post zako pengine nita shed light into ur darkened spirit by the lie of the prince of this world; other wise ningeshaachana na huu uendawazimu wa mtu mzima na akili zake kuanza kuwaza/kutetea (vichaa) kutumia maumbile ambayo shape zake zinajieleza zitumikeje...Mbona hata chakula kinaweza kuingia sehemu uchafu unakotokea kwanini we dont use that organ tu feed our selves? Wapi ni karibu zaidi na tumbo kati ya mdomo na sehemu ya haja kubwa? Utasema ooh digestion if it would be ur argument we have technologies to digest food that this very people can be fed thru anus..

Mkuu kwa nini unaniwekea mdomoni maneno ambavyo sijasema? Wapi nimetetea ushoga uruhusiwe? And, if you "Honestly ....believe homosexuals are possesed by demons" kwa nini usikubaliane na argument yangu kuwa kwa vile serikali imesema in the strongest terms kabisa kuwa haikubaliani na ushoga, basi tuitake serikali ianze kukabiliana na dalili za kuwapo ushoga nchini ili dhamira ya kweli ya kupinga ndoa za jinsia moja, ionekane kwa vitendo?
 
  • Thanks
Reactions: Ame
Mkuu kwa nini unaniwekea mdomoni maneno ambavyo sijasema? Wapi nimetetea ushoga uruhusiwe? And, if you "Honestly ....believe homosexuals are possesed by demons" kwa nini usikubaliane na argument yangu kuwa kwa vile serikali imesema in the strongest terms kabisa kuwa haikubaliani na ushoga, basi tuitake serikali ianze kukabiliana na dalili za kuwapo ushoga nchini ili dhamira ya kweli ya kupinga ndoa za jinsia moja, ionekane kwa vitendo?

Tatizo wewe unataka serikali ifanye wewe unavyoona yafaa badala ya kuangalia picha halisi (kubwa) ya jinsi busara inavyotumika. Serikali ionyesheje dhamira hata baada ya kuweka sheria ambazo zita kataza public performance ya haya mambo? Lakini kwavile ni swala ambalo liko zaidi ya conscious ya mwanadamu na madaktari wa dunia hii wamekataa kuyatibu badala yake wanataka ku amplify basi ikawa busara inatakiwa zaidi ya sheria na stick measures. Ukianza kufuatilia huko vyumbani basi ndiyo hao kina Camerone watakuja na mabango yao ya haki ya privacy na mara kututishia misaada as if sisi Mungu hakutupa mikono miwili akili na miguu ya kutembea kama wao....Sasa kuna mwanya wa dini na mila zetu na hapo ndo serikali ika capitalize...

Aaaaaagrrrrrrrrrrrrrr hivi kwanini kwa muda tu mfupi nisingekuwa rais wa Tanzania hao westerners wangeona Mugabe ni afadhali mara elfu.....Lakini nashukuru Mungu alijua kuwa akinipa huo urais lazima nitaleta matatizo makubwa! Thanks kwaku ruhusu Kikwete kuwa maana he is better than anybody for he can handle all of us together wakwa kina Camerone na sisi ma hard liners...
 
  • Thanks
Reactions: EMT
Mkuu napingana na wewe in the strongest terms. The right to marry is there whether or not you intend to have children. Kwa sababu kama wakati mnaoana mlikusudia kuwa na watoto lakini kwa bahati mbaya ikashindikana, haina maana kuwa automatically ndoa inakuwa invalid. Mbona kuna watu wengi tuu wameoana na hawakusudii au hawezi kuwa na watoto?
. Mkuu ebu nisome vizuri, ndoa maana yake ni baina ya mwanamme na mwanamke na sheria zimetungwa ili kulinda wanandoa kwa kutazama athari zinazoweza kutokea kama haitatambuliwa kisheria na ndipo sheria zikatungwa kulinda wanandoa. Na nimekupa mfamo ktk talaka na mirathi, mwanamke analindwa na cheti cha ndoa kutokana na udhalimu wa mwanamme au ndugu. Hivyo inatazamwa haki ya mwanamke na watoto zaidi ya tendo la ndoa na ndio maana katika sheria hakuna mahala imeonyesha jinsi ya kuingiliana ili iwe sheria. Mnaweza kuoana na msifanye tendo la ndoa lakini kinga ya wale yaliokusudiwa inabakia palepale.

Kwa hiyo na statement ya Membe inaweza kuwa ni ya kinafiki pia?
No he just called spade a spade sasa iwe yeye anafanya hayo kisiri, ndio atakuwa mnafiki kusema Ushoga ni haramu wakati anasarandia. mfano mwingine, Mila na destuiri zetu hatuli mbwa, lakini yapo makabila wanakula mbwa.. hatuwezi kuwawekea sheria wao majumbani kwao ama tubadilishe sheria zetu ili ku accommodate matamanio yao kwa kutumia - KULA ni haki ya kila binadamu.
 
  • Thanks
Reactions: EMT
Tatizo wewe unataka serikali ifanye wewe unavyoona yafaa badala ya kuangalia picha halisi (kubwa) ya jinsi busara inavyotumika. Serikali ionyesheje dhamira hata baada ya kuweka sheria ambazo zita kataza public performance ya haya mambo? Lakini kwavile ni swala ambalo liko zaidi ya conscious ya mwanadamu na madaktari wa dunia hii wamekataa kuyatibu badala yake wanataka ku amplify basi ikawa busara inatakiwa zaidi ya sheria na stick measures. Ukianza kufuatilia huko vyumbani basi ndiyo hao kina Camerone watakuja na mabango yao ya haki ya privacy na mara kututishia misaada as if sisi Mungu hakutupa mikono miwili akili na miguu ya kutembea kama wao....Sasa kuna mwanya wa dini na mila zetu na hapo ndo serikali ika capitalize...

Aaaaaagrrrrrrrrrrrrrr hivi kwanini kwa muda tu mfupi nisingekuwa rais wa Tanzania hao westerners wangeona Mugabe ni afadhali mara elfu.....Lakini nashukuru Mungu alijua kuwa akinipa huo urais lazima nitaleta matatizo makubwa! Thanks kwaku ruhusu Kikwete kuwa maana he is better than anybody for he can handle all of us together wakwa kina Camerone na sisi ma hard liners...

Mkuu busara ipi hiyo unaiongelea? Wewe unaona ni busara kabisa kwa serikali kutamka in the strongest terms kabisa kuwa haikubaliani na ushoga lakini serikali hiyo hiyo isikabiliane kivitendo na kusambaa kwa ushoga nchini? Kwamba ili ku avoid Cameron wasije na mabango yao ya haki ya privacy basi "USHOGA HAURUHUSIWI TANZANIA LAKINI KAMA WEWE NI SHOGA HAKIKISHA HUFANYI MATENDO YA USHOGA HADHARANI?

Umeuliza serikali ionyesheje dhamira hata baada ya kuweka sheria ambazo zita kataza public performance ya haya mambo? Kwanza kabisa inabidi uelewe kuwa sheria inakataza both private and public performance. Pili, kama serikali baada ya kuweka sheria haionyeshi dhamira ya kuhakikisha kuwa hiyo sheria inaheshimiwa na kufuatwa, then what is the point of having hiyo sheria? Nini jukumu la serikali as far as law enforcement is concerned?

Umeongelea huko nyuma kuwa ushoga uwe dealt through social capital than probably sheria. Kwa kuwa unaamini ushoga ni dhambi na ni kosa kiutamaduni na kisheria, je ukiwaona shoga au msagaji wanafanya vitendo vya ushoga au usagaji in private or in public utawaripoti kwenye vyombo vya dola ili sheria ichukue mkondo wake? I meam what exactly would you do kama ukiwakuta red handed whether public or in private? Basing on your response, how would you relate it to the concept of social capital?
 
Mkuu ebu nisome vizuri, ndoa maana yake ni baina ya mwanamme na mwanamke na sheria zimetungwa ili kulinda wanandoa kwa kutazama athari zinazoweza kutokea kama haitatambuliwa kisheria na ndipo sheria zikatungwa kulinda wanandoa. Na nimekupa mfamo ktk talaka na mirathi, mwanamke analindwa na cheti cha ndoa kutokana na udhalimu wa mwanamme au ndugu. Hivyo inatazamwa haki ya mwanamke na watoto zaidi ya tendo la ndoa na ndio maana katika sheria hakuna mahala imeonyesha jinsi ya kuingiliana ili iwe sheria. Mnaweza kuoana na msifanye tendo la ndoa lakini kinga ya wale yaliokusudiwa inabakia palepale.

Hapo umezungumzia from a contractual point of view. Mimi nazungumzia from the human rights point of view. From the human rights point of view ni kwamba people have a right to marry whether or not they intend to have children. If a man and a woman freely and without any force agree to marry each other and they don't intend to have children no one including the State can stop them from marrying on the ground that they don't intend to have children. Otherwise, that will be violation of their human right to marry.

No he just called spade a spade sasa iwe yeye anafanya hayo kisiri, ndio atakuwa mnafiki kusema Ushoga ni haramu wakati anasarandia. mfano mwingine, Mila na destuiri zetu hatuli mbwa, lakini yapo makabila wanakula mbwa.. hatuwezi kuwawekea sheria wao majumbani kwao ama tubadilishe sheria zetu ili ku accommodate matamanio yao kwa kutumia - KULA ni haki ya kila binadamu.

Mkuu Kama mila na destuiri zetu hatuli mbwa lakini yapo makabila yanakula mbwa, hizo mila na desturi za hayo makabila yanayokula mbwa tutaziweka kundi gani? Naona unarudi kule kule. Kwa mfano ningekuwepo wakati Mh Membe anatoa hiyo statement na kumwuliza kwa vile serikali imesema in the strongest terms kabisa kuwa haikubaliani na hatujawahi kuukubali ushoga, je serikali inachukua hatua gani ili kukabiliana ongezeko la ushoga nchini? That would have been a fair question to ask. isn't it?

Kwa kuwa pamoja na mila na sheria zetu kukataza ushoga lakini bado ushoga na usagaji umeenea sana nchini, kuna ubaya gani kuitaka serikali ianze ku-take efforts kukabiliana na kuenea kwa ushoga nchini? Kuna ubaya wowote kuitaka serikali kupambana na kuenea kwa ushoga bearing in mind kuwa serikali imesema in the strongest terms kabisa kuwa haikubaliani na ushoga? Does action speaks louder than words?
 
Hapo umezungumzia from a contractual point of view. Mimi nazungumzia from the human rights point of view. From the human rights point of view ni kwamba people have a right to marry whether or not they intend to have children. If a man and a woman freely and without any force agree to marry each other and they don't intend to have children no one including the State can stop them from marrying on the ground that they don't intend to have children. Otherwise, that will be violation of their human right to marry.



Mkuu Kama mila na destuiri zetu hatuli mbwa lakini yapo makabila yanakula mbwa, hizo mila na desturi za hayo makabila yanayokula mbwa tutaziweka kundi gani? Naona unarudi kule kule. Kwa mfano ningekuwepo wakati Mh Membe anatoa hiyo statement na kumwuliza kwa vile serikali imesema in the strongest terms kabisa kuwa haikubaliani na hatujawahi kuukubali ushoga, je serikali inachukua hatua gani ili kukabiliana ongezeko la ushoga nchini? That would have been a fair question to ask. isn't it?

Kwa kuwa pamoja na mila na sheria zetu kukataza ushoga lakini bado ushoga na usagaji umeenea sana nchini, kuna ubaya gani kuitaka serikali ianze ku-take efforts kukabiliana na kuenea kwa ushoga nchini? Kuna ubaya wowote kuitaka serikali kupambana na kuenea kwa ushoga bearing in mind kuwa serikali imesema in the strongest terms kabisa kuwa haikubaliani na ushoga? Does action speaks louder than words?
Mkuu people have the right pia ya kutokuoa! na pia yule ambaye hakuoa/olewa anaruhusiwa ku adopt a child. sielewi tunachobishana kitu gani labda nipe kipengele cha sheria kinachosema hiyo right maanake tunazungumzia sheria hapa na sii haki.
Je, mtu akitakaliwa kuoa ama kuolewa haki yake inakuwaje?
 
Hapo umezungumzia from a contractual point of view. Mimi nazungumzia from the human rights point of view. From the human rights point of view ni kwamba people have a right to marry whether or not they intend to have children. If a man and a woman freely and without any force agree to marry each other and they don't intend to have children no one including the State can stop them from marrying on the ground that they don't intend to have children. Otherwise, that will be violation of their human right to marry.



Mkuu Kama mila na destuiri zetu hatuli mbwa lakini yapo makabila yanakula mbwa, hizo mila na desturi za hayo makabila yanayokula mbwa tutaziweka kundi gani? Naona unarudi kule kule. Kwa mfano ningekuwepo wakati Mh Membe anatoa hiyo statement na kumwuliza kwa vile serikali imesema in the strongest terms kabisa kuwa haikubaliani na hatujawahi kuukubali ushoga, je serikali inachukua hatua gani ili kukabiliana ongezeko la ushoga nchini? That would have been a fair question to ask. isn't it?

Kwa kuwa pamoja na mila na sheria zetu kukataza ushoga lakini bado ushoga na usagaji umeenea sana nchini, kuna ubaya gani kuitaka serikali ianze ku-take efforts kukabiliana na kuenea kwa ushoga nchini? Kuna ubaya wowote kuitaka serikali kupambana na kuenea kwa ushoga bearing in mind kuwa serikali imesema in the strongest terms kabisa kuwa haikubaliani na ushoga? Does action speaks louder than words?

Unaniuliza my personal reaction kwao siyo?...Ninawapiga mawe (ya maombi) na kuwachoma kwa moto wa holly spirit kwaambao hawataki kutubu maana ni bora wafe na tabia zao kuliko kuendelea kuishi nakuambukiza wengine (mapepo) ukichaa wao....Nami nafanya utumishi kwa uaminifu maana Mungu wangu ambaye anaweza kuwa tofauti na huyo wa kwao ananiambia usimwache mchawi akaishi...hao kwangu ni wachawi kwani tabia zao ni hatarishi kwa kizazi changu hapa dunia... Unaona nilivyofanikiwa hadi serikali ya nchi yangu imesimama kishujaa kuukata hata kusema wako tayari kukosa vyote ila hilo halitakaa liwekewe sheria hapa kwetu; it means mpaka sasa kazi yangu imefanikiwa kwa kiwango kikubwa maana kama hawatambuliwi they are as gud as dead non existing in that specific identity they want to identify with.
 
  • Thanks
Reactions: EMT
Back
Top Bottom