Wako kimya sana
.
Nilikuwa sijatambua hii kitu, kumbe ndio hivyo..NB:
Ili kuepuka kupanga matokeo, mechi zote zinapigwa muda mmoja.
Mechi ya Ureno na Ufaransa itakuwa moto sana
Fifa ilitengeneza sheria hiyo baada ya Mashindano ya Kombe la Dunia la mwaka 1978 zilizofanyika pale Argentina na zile zilizofanyika 1982 pale Spain timu nyingi kwenye mechi za mwisho za makundi zilikuwa zinapanga matokeo, hivyo ikaamuliwa ili kuepuka kupanga matokeo, mechi za mwisho zifanyike muda mmoja.Nilikuwa sijatambua hii kitu, kumbe ndio hivyo..
Niliiona kwenye ligi zao kubwa, kumaliza ligi siku moja na muda mmoja.
Wenzetu wako juu sana kila sehemu, loophole za hovyo hovyo wanazifukia
Kwamba maswahiba walibebamana na mahasimu wakakomoana.Fifa ilitengeneza sheria hiyo baada ya Mashindano ya Kombe la Dunia la mwaka 1978 zilizofanyika pale Argentina na zile zilizofanyika 1982 pale Spain timu nyingi kwenye mechi za mwisho za makundi zilikuwa zinapanga matokeo, hivyo ikaamuliwa ili kuepuka kupanga matokeo, mechi za mwisho zifanyike muda mmoja.
Wapi nduruuuuuuh.Ujerumani hawana tambo, ila wanajua jinsi ya kufanya kazi iende
Habari unayo sasa,Huyu ndio Mjerumani.
Tutakukumbuka sana kwa wema wako wa kutupatia magoli 2View attachment 1823890
WoyoooooooooooooooooooooooooooooohGermany have arrived to the party
Ronaldo 15'
Dias OG 35'
Guerreiro OG 39'
Havertz 51'
Gosens 60'
Jota 67'
The Group of Death is blown wide open
#EURO2020 | #GER #POR View attachment 1823909
Mbna statistics tamu hiviih, daaaah
Yes mornieer tyuuh