Jibu hili halijatolewa na mwanamichezo kabisa
Tatizo unaangalia majina badala ya kufuatilia soka uone vipaji vilivyojaa huko.Copa America ni utopolo
Belgium ndo timu Bora kwa Sasa according to FIFA rankings
Timu ina nyota kama Jack Grealish,Mount,Foden,Harry Kane,Shaw,Trippier,Walker,Sancho,kivipi inakuwa siyo timu nzuri?..England hawana timu nzuri, na mchezo wao ni wakubahatisha bahatisha tu. Hiyo hatua wamefika kimizengwe tu. Muller aliwasaidia sana
Timu ina nyota kama Jack Grealish,Mount,Foden,Harry Kane,Shaw,Trippier,Walker,Sancho,kivipi inakuwa siyo timu nzuri?..
Tunataka kusema Denmark wana vipaji vikubwa kushinda Uingereza?..
Maguire hakuna beki pale, mm ni shabiki wa Man utdSema lile Maguire pale nyuma linatisha sana ni kizuizi kikubwa sana
Umeongea ukweli mtupu mkuu, ila pamoja na kufungwa jana spain walikuwa na mpira mzr sana jana, naamini wakijipanga vzr wanaweza kurudi kuwa fire kama enzi za hao manguli uliowataja,.Mkuu Puttin, Italy wako on kwa sasa....sema wamekutana na wasakata mpira wa kispain, na spain ya sasa sio ile ya miaka ya nyuma ya akina xavi, torres na iniesta, aise mbona italy angekula nyingi!
Top 5 yangu bora kwa sasa
1 Italy
2 Spain
3 Denmark
4 Belgium
5 Germany
Ingawa Denmark leo atakuangusha mkuu.Mkuu Puttin, Italy wako on kwa sasa....sema wamekutana na wasakata mpira wa kispain, na spain ya sasa sio ile ya miaka ya nyuma ya akina xavi, torres na iniesta, aise mbona italy angekula nyingi!
Top 5 yangu bora kwa sasa
1 Italy
2 Spain
3 Denmark
4 Belgium
5 Germany
, watakapobeba ndoo ndio utawaelewa vzr mkuu, now wamechange sana, hvi England ni yakumgaragaza mjerumani kweli??.Nakubaliana na ww mkuu. Thou matamanio yangu n kuona England wakimwaga machozi hapo hapo nyumbani kwao ni roho mbaya tuu kwa waingereza
Kweli mkuu, sema final anaweza akapigwa booster akachezaJana kila timu ilikuwa ikicheza aina ya mpira wao, Spain kacheza mpira wao wa tiktak wakati Italy wamelazimika kutawalia na kupaki basi ili kucheza mpira wa counter attack na pengo la spinazzola limeonekana kwa Italy
Aanha basi it's economical shukran sana mkuu.Yaani ikizingua basi ni upande wa network yako ya simu, ila mechi zote kubwa zipo huko, afu unatumia mb 400 mpk 500 kwa mechi moja
Maguire hakuna beki pale, mm ni shabiki wa Man utd
Mia mkuuAanha basi it's economical shukran sana mkuu.
Atakuwa nje kwa miezi minne mpk mitano so sioni akipigwa boosterKweli mkuu, sema final anaweza akapigwa booster akacheza