Da Gladiator
JF-Expert Member
- Aug 3, 2020
- 1,641
- 2,644
Mkuu, UK haimo kwenye MashindanO. Itakuwa umechanganya.France 🇫🇷, Portugal 🇵🇹 , Italy 🇮🇹 and UK 🇬🇧
Mkuu, UK haimo kwenye MashindanO. Itakuwa umechanganya.France 🇫🇷, Portugal 🇵🇹 , Italy 🇮🇹 and UK 🇬🇧
Mkuu, UK haimo kwenye MashindanO. Itakuwa umechanganya.
Timu zilipangwa kutokana na ubora wao matokeo yake zikajikuta zimekuwa kundi mojaKundi F ilitokeaje???
SPAIN, nawasipochukua watakua wameonewa sana
Nakuunga mkono mkuu 75% coz Portugal sijawahi waamini.Italy
Spain
Portugal
France
Belgium
in order of merit!
Group F ni balaa bin baradhuri.Salama wakuu,
Michuano ya Euro 2020 inategemewa kuanza hapo Juni 11 takribani wiki tatu kutoka sasa.
Michuano hii ilitakiwa ifanyike juni mwaka jana 2020 ila ilihairishwa kutokana na Corona. Hivyo Uefa ikaamua michuano hiyo ifanyike mwaka huu lakini iendelee na jina lilelile la Uefa Euro 2020.
Pia kutokana na Corona, timu zitaruhusiwa kuwa na wachezaji 26 badala ya 23 kama ilivyozoeleka.
Vilevile, michuano hii itaandaliwa katika nchi 11 tofauti na michuano ya kawaida ambapo nchi mwenyeji huwa ni mmoja tu. Wamefanya hivyo katika kuadhimisha miaka 60 ya michuano hiyo mikubwa barani ulaya kwa ngazi za timu za taifa.
Tukirudi kwenye swali letu, Kuelekea michuano ya Uefa Euro 2020, timu gani unaipa kutwaa ubingwa huo? Karibuni.
Wengi hawajaitazama Italy mechi zake. Labda warudi tu hata kuangalia rekodi zake.ITALY ndio timu bora duniani kwa sasa, Ila dunia nayo ina maajabu yake kwahiyo lolote laweza kutokezea, Lakini ki standard ya uwezo ITALY ndio Top.
Usikariri Mkuu eti kwakua walikua hawafanyi vizuri ndo uumtoe kwenye ubingwa
Belgium ndo timu Bora kwa Sasa according to FIFA rankings
Alifika nusu fainali mwaka 1996 katika michuano iliyofanyika pale pale kwao tena wakitolewa nusu fainali na Wajerumani huku Gareth Southgate kocha wa sasa akipaisha mkwaju wa penati
Kwanini watu wamewa-underrate Germany?
Wengi hawajaitazama Italy mechi zake. Labda warudi tu hata kuangalia rekodi zake.
Jamaa wameunda timu asee. Naona wanaenda rudisha utawala wao tena.
Baada ya kwenda kuwafatilia kwa umakini Italy, nimeamua kuwapa karata yangu kama moja ya timu zinazoweza zikabeba tournament