Euro 2012: The Official EURO 2012 Thread

Mwaka wa kuanguka nyani miti yote huteleza, bao la IT lakataliwa kwa kuotea.
 
Huyu Diamante ni mzuri sana.....Anawasumbua sana Rngland

England wamezidiwa kweli...
 
Wataliano hawana bahati,penati zikija nadhani waingereza wanaweza kuibuka kidedea.
 
Kwa kweli England wamezidiwa na wanacheza kama wameridhika na game kuamuliwa kwa mikwaju.
 
This is the first game to end 0-0 and it had to involve England!
 
Huku ndo sikupenda hii game ifike... ITA watajilaumu sana kwa nafasi walizopoteza... Most of the time the defending team ndo huwa wanashinda kwenye Penalty....
 
Walichokitaka England wamekipata na washindwe wao tu.
 
Dkk 120 zimeisha hakuna mbabe,inabidi sasa mbabe apatikane kwa njia ya penati 2subiri 2one nani ataibuka kidedea na kwenda kucheza na Ujerumani kwenye nusu fainali.
 

Similar Discussions

Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…