Huku ndo sikupenda hii game ifike... ITA watajilaumu sana kwa nafasi walizopoteza... Most of the time the defending team ndo huwa wanashinda kwenye Penalty....
Dkk 120 zimeisha hakuna mbabe,inabidi sasa mbabe apatikane kwa njia ya penati 2subiri 2one nani ataibuka kidedea na kwenda kucheza na Ujerumani kwenye nusu fainali.