Gang Chomba ni shabiki nguli wa Soka la Italia, so nikiwa na akili timamu pasipo kuwa hata na Handas kichwani napenda kuweka wazi kuwa Italy ama Azzurri tumebakiza mechi 3 kwa sasa.
1. Robo Fainali
2. Nusu Fainali
3. Fainali...
Ndetichia, Myao wa Tunduru na companero naomba mjitokeze huku mkiwa vifua wazi...
Forza Buluda