EU yashauri ushindi wa Rais upingwe mahakamani, wagombea binafsi waruhusiwe Tanzania

Watanzania wasitegemee EU kuwapigania kupata uhuru wao wa katiba, na EU wana interest zao tu kwa awamu hii wamebanwa kwahiyo their trying to negotiate it kupitia hapo....wa tznia wasitegemee kupata mabadiliko on "a sliver plate" mabadiliko yote yana gharama yake....bila nguvu ya ziada kutoka kwa watznia wenyewe kitaba mpya na tume huru ya uchaguzi avitapatikana leo au kesho
 
Ushauri ni ushauri, na kiukweli ni ushauri mzuri, ila uchaguzi ni mambo yetu ya ndani, hivyo ni ruksa kutoa ushauri wowote kuhusu mambo yetu ya ndani, ila uamuzi wa kupokea ushauri au kuupuuza ni wetu. Mimi binafsi naunga mkono ushauri huu, ila katika chaguzi za Tanzania, kwangu mimi jambo muhimu sii hili, kwangu mimi jambo muhimu kabisa ni hili kurekebisha sheria yetu ya uchaguzi, tuweke the level playing field.
Sheria ya Uchaguzi Ni Bad Law!, Kuendelea Kuitumia ni Ujinga?, Kuwabebesha Masikini Gharama za Uchaguzi ni Dhambi!. - JamiiForums
na hili
Shurti la kudhaminiwa na chama kugombea uchaguzi, ni shurti batili kwa mujibu wa Katiba, linatutia hasara, tulifute!. - JamiiForums
P.
 
Ushauri ni ushauri, na kiukweli ni ushauri mzuri, ila uchaguzi ni mambo yetu ya ndani, hivyo ni ruksa kutoa ushauri wowote kuhusu mambo yetu ya ndani, ila uamuzi wa kupokea ushauri au kuupuuza ni wetu. Mimi binanafi naunga mkono ushauri huu, ila katika chaguzi za Tanzania, kwangu mimi jambo muhimu sii hili, kwangu mimi jambo muhimu kabisa ni hili kurekebisha sheria yetu ya uchaguzi, tuweke the level playing field.
Sheria ya Uchaguzi Ni Bad Law!, Kuendelea Kuitumia ni Ujinga?, Kuwabebesha Masikini Gharama za Uchaguzi ni Dhambi!. - JamiiForums
na hili
Shurti la kudhaminiwa na chama kugombea uchaguzi, ni shurti batili kwa mujibu wa Katiba, linatutia hasara, tulifute!. - JamiiForums
P.
Shinikizo pekee kwa watawala wa kiafrija ni kuwakatia misaada tu hamna njia nyingine.

Hata huu mfumo wa vyama vingi kwa nchi za kiafrika umefanikiwa kutokana na mashinikizo kutoka nchi za Ulaya na Marekani.

Sisi Waafrika ni hovyo tunahitaji kutawaliwa kama kweli tunataka kuendelea na kutawaliwa kwenye ni kwa njia kama hizi.

Viongozi wa nchi za kiafrika wamegeuka mabosi wa wananchi wao na matokeo yake hawawajibika kwa wananchi bali wanaongoza watakavyo hivyo ni vigumu sana kuleta maendeleo ya watu wao na huu ndio uhusiano mkubwa wa demokrasia na maendeleo.
 
Ushauri ni ushauri, na kiukweli ni ushauri mzuri, ila uchaguzi ni mambo yetu ya ndani, hivyo ni ruksa kutoa ushauri wowote kuhusu mambo yetu ya ndani, ila uamuzi wa kupokea ushauri au kuupuuza ni wetu. Mimi binanafi naunga mkono ushauri huu, ila katika chaguzi za Tanzania, kwangu mimi jambo muhimu sii hili, kwangu mimi jambo muhimu kabisa ni hili kurekebisha sheria yetu ya uchaguzi, tuweke the level playing field.
Sheria ya Uchaguzi Ni Bad Law!, Kuendelea Kuitumia ni Ujinga?, Kuwabebesha Masikini Gharama za Uchaguzi ni Dhambi!. - JamiiForums
na hili
Shurti la kudhaminiwa na chama kugombea uchaguzi, ni shurti batili kwa mujibu wa Katiba, linatutia hasara, tulifute!. - JamiiForums
P.
Siyo rais kwa Africa ya leo,

the beutiful ones were not yet born..! Mwenzenu bado nasubiria kizazi cha kuhoji na kutafuta haki wala siyo kizazi hiki cha kungoja kiletewe haki na kuomba haki itendeke badala ya kuchukua haki au kupigania haki...
 
Ushauri ni ushauri, na kiukweli ni ushauri mzuri, ila uchaguzi ni mambo yetu ya ndani, hivyo ni ruksa kutoa ushauri wowote kuhusu mambo yetu ya ndani, ila uamuzi wa kupokea ushauri au kuupuuza ni wetu. Mimi binanafi naunga mkono ushauri huu, ila katika chaguzi za Tanzania, kwangu mimi jambo muhimu sii hili, kwangu mimi jambo muhimu kabisa ni hili kurekebisha sheria yetu ya uchaguzi, tuweke the level playing field.
Sheria ya Uchaguzi Ni Bad Law!, Kuendelea Kuitumia ni Ujinga?, Kuwabebesha Masikini Gharama za Uchaguzi ni Dhambi!. - JamiiForums
na hili
Shurti la kudhaminiwa na chama kugombea uchaguzi, ni shurti batili kwa mujibu wa Katiba, linatutia hasara, tulifute!. - JamiiForums
P.
bila katiba mpya bado hizo sheria zikitungwa zitakiukwa tu!
 
Normally when there is vaccuum in commonsense then people with commonsense will just fill in!

Wazungu hawapaswi kututawala lakini may be wanaweza kutuongoza!. Yaani kwa mambo ya kidhalimu yanayotokea nchini, mtu unatamani leadership nzuri kutoka kwa binadamu yoyote duniani mwenye common sense hata kams ni mzungu!
 
Shinikizo pekee kwa watawala wa kiafrija ni kuwakatia misaada tu hamna njia nyingine.

Hata huu mfumo wa vyama vingi kwa nchi za kiafrika umefanikiwa kutokana na mashinikizo kutoka nchi za Ulaya na Marekani.

Sisi Waafrika ni hovyo tunahitaji kutawaliwa kama kweli tunataka kuendelea na kutawaliwa kwenye ni kwa njia kama hizi.

Viongozi wa nchi za kiafrika wamegeuka mabosi wa wananchi wao na matokeo yake hawawajibika kwa wananchi wao bali wanaongoza watakavyo wao hivyo ni vigumu sana kuleta maendeleo ya watu wao na huu ndio uhusiano mkubwa wa demokrasia na maendeleo.
We jamaa unamawazo ya ajabu kuliko hata mababu zetu.

Unawaza kutawaliwa tu wakati kina mkwawa na elimu yao ndogo, walipambana kujikomboa.
 
Fair election ikiwepo sidhani kama kuna haja ya kuhoji uchaguzi mahakamani, Msingi wa matatizo ya uchaguzi Africa ni ukosefu wa Tume huru za uchaguzi kwenye nchi nyingi. Kifupi hakuna utofauti wa dola na chama kilicho madarakani, Africa chama kilicho madarakani kupitia dola ndio kinachosimamia uchaguzi. Moja ya alama ya ustaarabu na maendeleo ni kuwaacha wananchi waamue nani wamtakaye na tume itangaze kile sahihi kinachoonekana na kazi ya dola iwe kuhakikisha inasimamia maamuzi ya wananchi waliowengi.

Matatizo ya WaAfrica yanaweza kutatuliwa na WaAfrica wenyewe kwa manufaa ya WaAfrica, hili linaweza tu kutokea WaAfrica wakiacha uoga,unafiki na ubinafsi.
 
Yule Mkuu wetu hawezi kukubali. Katika watu wanaopenda vyeo na ukubwa hadi wanaugua huyu wetu anaweza kuongoza.
 
We jamaa unamawazo ya ajabu kuliko hata mababu zetu.

Unawaza kutawaliwa tu wakati kina mkwawa na elimu yao ndogo, walipambana kujikomboa.
Sasa ipi bora kutawaliwa na wakoloni au kutawaliwa na wazawa??? Shame on you?? Uliza mkwawa alipigana vita ngapi ya kupinga kutawaliwa na chifu wa upande wa ukoo mwenzake kabla ya ukoloni.
 
Siyo rais kwa Africa ya leo,
the beutiful ones were not yet born..! Mwenzenu bado nasubiria kizazi cha kuhoji na kutafuta haki wala siyo kizazi hiki cha kungoja kiletewe haki na kuomba haki itendeke badala ya kuchukua haki au kupigania haki...
Mkuu Bigi Maindi, kama utasubiria, basi utasubiri sana!, kwa sababu kila mtu nae pia ana mawazo kama yako, ya kukaa pembeni na kusubiri wengine ndio wafanye. Japo ni kweli haki haiombwi, wala hauletewi kwenye kisahani cha chai, bali hupiganiwa!, sasa kama wapiganaji wenyewe ndio wote wa type yako ya kusubiria wengine ndio wafanye, then utasubiri sana!, kwa sababu wewe sio mpiganaji bali ni mtazamaji, wala sikulaumu kwa sasabu hauko peke yako, mko wengi
Tuko Vitani Tuna Wapiganaji Shupavu, Wapiganaji Makini na Watazamaji, Je! Wewe Uko Kundi Gani ? - JamiiForums

Ila pia wapiganaji tupo, ila heri ya waliojitathmini uwezo wao wa kushindana na kupigana, wakajitambua kuwa uwezo wa kushinda hawana, kwa njia pekee iliyobakia ni kujiunga nao, hivyo wanaviacha vyao vyao na kujiunga nao.
If you can't beat them, join them! He is the worst dictator. Let's pray for him! - JamiiForums

P
 
Mzungu ndiyo maana akajiita Mzungu, huwa anajitahidi saana Kuona mbele na Kureason, ameishajua Tanzania Inaelekea Kuzifuata Nchi Nyenzie kama DRC, Uganda nk.

All in all, Kuzaliwa Afrika Kumeambatana na Laana Fulani hivi.
 
EU ni wakuda tu,uchaguzi wa 2015 eti ripoti wanatoa leo wkt watu wameshazoea utamu wa madaraka.

By the way hata uchaguzi wa Zimbabwe kura za urais zilihojiwa mahakamani lkn kama kawa zanu pf ikafanya yake.,unategemea nini kuhoji uchaguzi mahakamani kwa ma judge walioteuliwa na rais huyo huyo?

Total reforms inahitajika hapa
 
Sasa ipi bora kutawaliwa na wakoloni au kutawaliwa na wazawa??? Shame on you?? Uliza mkwawa alipigana vita ngapi ya kupinga kutawaliwa na chifu wa upande wa ukoo mwenzake kabla ya ukoloni.
We ni nothing mind sio bigmind, wakati wakoloni wanachukua Mali zetu na kutuuza kama watumwa ulifaidika nini??? Au ndio faida ya ukoloni???

Wakati wakoloni wapo wangapi walikuwa wanapewa nafasi ya kisoma hadi chuo kikuu???

Land alienation ilikufaidisha nini wewe???

Kipande system ilikunufaisha nn?

Ni nyani pekee anaweza kuwa na mawazo kama yako
 
Back
Top Bottom