EU yaizuia Afrika kununua mbolea Urusi, lakini pia wamezuiwa kutengeneza mbolea

Analogia Malenga

JF-Expert Member
Feb 24, 2012
5,010
9,875
Vita vya Urusi na Ukraine vimeleta matokeo mabaya kwa nchi za Afrika ambazo zina-import bidhaa kutoka nchi hizo. Na sasa baadhi ya nchi tayari zimeshakumbwa na njaa huku kilimo kikiwa kinachechemea.

Baraza la Umoja wa Ulaya limependekeza kuzuia Afrika kununua mbolea kutoka Urusi ikiwa ni moja ya hatua ya kumfungia zaidi Rais Putin.

Hali hii inaweza kuleta ugumu zaidi kwa mataifa ya Afrika ambayo kilimo chake bado hakijawa vizuri.
===

In an attempt to encourage African nations to stop buying Russian fertilizer, the European Union developed a working plan that would help then develop their own fertilizer plants.

The draft, dated June 15 and prepared by aides of European Council President Charles Michel, was to be presented at a summit of EU leaders last week, however the EU Commission then "explicitly opposed the text," warning that supporting fertilizer production in developing nations was incompatible with their 'green' initiatives.

According to Reuters, the original text of the draft conclusions from the June 23-24 summit, the EU executive commission is urged to devise a plan "to support the development of fertiliser manufacturing capacity and alternatives in developing countries".

The Commission, however, urged governments to change the text so that it would only promote alternatives to fertilizers - or a more efficient use of fertilizers, as manufacturing it themselves would be "inconsistent with the EU energy and environment policies."

Higher fertilizer prices have been putting upward pressure on food prices worldwide, as farmers cut back on nutrients for their crops, resulting in lower yields.

"Food prices will skyrocket because farmers will have to make profit, so what happens to consumers?'' said Uche Anyanwu, an agricultural expert at the University of Nigeria.
The aid group Action Aid warns that families in the Horn of Africa are already being driven "to the brink of survival.''
The U.N. says Russia is the world's No. 1 exporter of nitrogen fertilizer and No. 2 in phosphorus and potassium fertilizers. Its ally Belarus, also contending with Western sanctions, is another major fertilizer producer.
Many developing countries — including Mongolia, Honduras, Cameroon, Ghana, Senegal, Mexico and Guatemala — rely on Russia for at least a fifth of their imports. -NPR
"Many people will not use fertilizers at all, and this as a result, lowers the quality of the production and the production itself, and slowly, slowly at one point, they won't be able to farm their land because there will be no income," said Greek farmer Dimitris Filis, who grows olives oranges and lemons, adding "you have to search to find" ammonium nitrate, while the cost of fertilizing a 25-acre olive grove has doubled.
 
EU should stop fucken colonial mentality, Africa is a free continent it will trade with any part of the world it wishes without being interrupted by any Nation , Eu should wake up from a deep sleep they created crises around the globe and they are now suffering ., they are not self sufficient in all aspects of human needs.

40% of oil and gas dependency , how can you ran your industries without reliable source of energy , how can you impose sanctions without calculating its consequence's?????? that's just fucken crazy decisions.....
 
EU should stop fucken colonial mentality, Africa is a free continent it will trade with any part of the world it wishes without being interrupted by any Nation , Eu should wake up from a deep sleep they created crises around the globe and they are now suffering ., they are not self sufficient in all aspects of human needs .40% of oil and gas dependency , how can you ran your industries without reliable source of energy , how can you impose sanctions without calculating its consequence's?????? that's just fucken crazy decisions.....
Ujerumani kwenyewe wanalialia kukumbwa na crisis ya upatikanaji wa gesi kutokana na kusuasua kutoka urusi....leo hii wanataka wazibane nchi nyingine. Srilanka imekumbwa na uhaba wa mafuta hali ambayo imeleta machafuko ya kijamii hadi wametuma mawaziri wake wawili kwenda urusi kujadili hali hiyo. Colombia kuna machafuko ya kijamii yanaendelea kutoakana na bei kubwa ya mafuta. Hawa mabeberu sidhani kama wanaelewa ni suluhu gani wanayoitafuta, maslahi yao ya mivutano na urusi wanataka kuingiza kila nchi humo ambazo wala hazihusiki na kiini cha mivutano yao.
 
Ujerumani kwenyewe wanalialia kukumbwa na crisis ya upatikanaji wa gesi kutokana na kusuasua kutoka urusi....leo hii wanataka wazibane nchi nyingine. Srilanka imekumbwa na uhaba wa mafuta hali ambayo imeleta machafuko ya kijamii hadi wametuma mawaziri wake wawili kwenda urusi kujadili hali hiyo. Colombia kuna machafuko ya kijamii yanaendelea kutoakana na bei kubwa ya mafuta. Hawa mabeberu sidhani kama wanaelewa ni suluhu gani wanayoitafuta, maslahi yao ya mivutano na urusi wanataka kuingiza kila nchi humo ambazo wala hazihusiki na kiini cha mivutano yao.
Nimependa juzi PK aliwachana makavu kwenye mkutano CommonWealth kwamba waliwagawa wananchi wake nakusababisha Genocide nyambafu zao pua ndefu>>>>>>>>>>
 
Back
Top Bottom