Mtumishi Wetu
JF-Expert Member
- Oct 12, 2010
- 5,712
- 1,906
Umeleta point moja nzuri sana. Hiyo ya ku-raise issue siku zote namlaumu Mrema kwa kukubali kujiingiza kwenye uchaguzi wa 1995 bila kusoma katiba. Simba na Yanga hawachezi mechi kama mmoja wao anapewa competitive advantage.
Anyway, wataalamu wanasema watu wenye oral traditions, mara nyingi wanatumia kauli za midomoni kuendesha shughuli zao. Mgombeaji wa uchaguzi akiona kwenye kampeni kakusanya watu wengi sana, basi anaamini kuwa atashinda.
Uchaguzi ukimalizika ndio anatambua kuwa wanaohesabu na kusimamia ni watu walioteuliwa na mpinzani wake. Lakini haya mambo yote yapo kwenye katiba.
Katiba ndilo jibu la ukombozi wa Tanzania. Zakumi you are quite coreeeeeeeeeeeeeeect, bila katiba ya uwazi, kupata haki zetu ni ngumu. Nibora tuwashinikize International community including USA, EU,UN and others watusaidie kupiga kelele ili tuwe na katiba mpya. Mbona Sudani wanapata refrendum tena Bwn Mkapa ni msimamizi?
Anyway, wataalamu wanasema watu wenye oral traditions, mara nyingi wanatumia kauli za midomoni kuendesha shughuli zao. Mgombeaji wa uchaguzi akiona kwenye kampeni kakusanya watu wengi sana, basi anaamini kuwa atashinda.
Uchaguzi ukimalizika ndio anatambua kuwa wanaohesabu na kusimamia ni watu walioteuliwa na mpinzani wake. Lakini haya mambo yote yapo kwenye katiba.
Katiba ndilo jibu la ukombozi wa Tanzania. Zakumi you are quite coreeeeeeeeeeeeeeect, bila katiba ya uwazi, kupata haki zetu ni ngumu. Nibora tuwashinikize International community including USA, EU,UN and others watusaidie kupiga kelele ili tuwe na katiba mpya. Mbona Sudani wanapata refrendum tena Bwn Mkapa ni msimamizi?