EU, USA should ban CCM leaders and their families ....

Wanaolalamikia move ya aina hii sijui wanafikiria nini. Kwa nyumbani hapa CCM ndio wameshika mpini wakiwa na mapesa mengi ya kuchezea ili mradi kuvuruga haki za raia wengine kwa manufaa yao binafsi. Tunapotaka kuwaondoa kwa kura za halali wanatukatalia kwa mabavu. Kwa hiyo kwangu mimi nakubaliana na adhabu yoyote itakayowezekana kwa hao CCM hata kama adhabu hiyo inatolewa na watu wa nchi nyingine hata nisiowapenda. Adhabu ni adhabu tu kama itafanikiwa kutimiza malengo yangu.
 
Wanaolalamikia move ya aina hii sijui wanafikiria nini. Kwa nyumbani hapa CCM ndio wameshika mpini wakiwa na mapesa mengi ya kuchezea ili mradi kuvuruga haki za raia wengine kwa manufaa yao binafsi. Tunapotaka kuwaondoa kwa kura za halali wanatukatalia kwa mabavu. Kwa hiyo kwangu mimi nakubaliana na adhabu yoyote itakayowezekana kwa hao CCM hata kama adhabu hiyo inatolewa na watu wa nchi nyingine hata nisiowapenda. Adhabu ni adhabu tu kama itafanikiwa kutimiza malengo yangu.

Kichuguu:

Haiwezekani nchi hizi ziwe zinatoa shinikizo kwa serikali ya Tanzania wakati nyie ndani ya nchi mmeshakubali matokeo. Na wao wana-calculate risks ya kufanya maamuzi yao ya kisiasa. Kama rais wa Tanzania ameiba kura lakini anasema yes katika interests za waMarekani, kwanini wao wamfanyie ubaya. America sio police wa kimataifa.
 
Kwani ukiiba kura kuna wananchi waliokuchagua? Labda tubadili definition ya wizi then tutakuwa na hao wananchi. Khe khe kheeeeeeee

- Unless kama definiton ya mwizi ni just kuita mwizi tu huku JF, then mtu anakuwa mwizi as long as aliyesema ni wewe!


William.
 
Kichuguu:

Haiwezekani nchi hizi ziwe zinatoa shinikizo kwa serikali ya Tanzania wakati nyie ndani ya nchi mmeshakubali matokeo. Na wao wana-calculate risks ya kufanya maamuzi yao ya kisiasa. Kama rais wa Tanzania ameiba kura lakini anasema yes katika interests za waMarekani, kwanini wao wamfanyie ubaya. America sio police wa kimataifa.

Mkuu nakubaliana na wewe kuwa wamarekani sio polisi wa dunia lakini tunaowapa icho cheo ni sisi walala hoi maana siku zote kunapotokea machafuko Afrika tunaomba msaada wapi? Kwao. Na hawa wazungu siku zote watakuwa wana-meddle na internal politics za nchi zote maskini wanazozipa misaada/mikopo as long as wana maslahi yao kwenye nchi husika.
 
Mkuu nakubaliana na wewe kuwa wamarekani sio polisi wa dunia lakini tunaowapa icho cheo ni sisi walala hoi maana siku zote kunapotokea machafuko Afrika tunaomba msaada wapi? Kwao. Na hawa wazungu siku zote watakuwa wana-meddle na internal politics za nchi zote maskini wanazozipa misaada/mikopo as long as wana maslahi yao kwenye nchi husika.

Kuna mtu anaitwa Rev. Mtikila. Alipeleka kesi mahakamani kudai kuwa kutoruhusu mgombea huru ni kinyume na haki za binadamu. Alishinda kesi na serikali ilitakiwa kuruhusu mgombea huru. Hivyo kwa kutumia mahakama kuu ya Tanzania kuna uwezekano mkubwa wa kufanya mabadiliko. Lakini ukiondoa Mtikila, je kuna wapinzani wangapi wameona mahakama inaweza kuleta mabadiliko? Jibu hakuna.

Hivyo kuna vitu vingi tu vinaweza kufanyika hapo hapo Tanzania na vikawa effective bila kutegemea nchi nyingine.
 
Hayo ndiyo mambo yalikuwa yanafanyika ZNZ, ktk muda wote huo wa kupinga matokeo, na matokeo yake ZNZ iliwekewa vikwazo fulani vya uchumi. Nani anaeumia? ni MTZ na siyo CCM.
Tuache mambo ya kwenda kwa Wazungu kudai haki zetu. Sisi wenyewe WTZ tunaweza kufanya mambo yetu bila ya hao Wazungu.

Shamu mambo gani? tunaweza!!!!!!!!!
 
Kichuguu:

Haiwezekani nchi hizi ziwe zinatoa shinikizo kwa serikali ya Tanzania wakati nyie ndani ya nchi mmeshakubali matokeo. Na wao wana-calculate risks ya kufanya maamuzi yao ya kisiasa. Kama rais wa Tanzania ameiba kura lakini anasema yes katika interests za waMarekani, kwanini wao wamfanyie ubaya. America sio police wa kimataifa.

Hapana, siyo kweli.

Marekani wanajua wazi kabisa kuwa katika sehemu nyingi za dunia, raia wanaotawaliwa kimabavu huwa wanakaa kimya wala hawafurukuti mbele ya hao watawala wao wa mabavu; wanajua hivyo kwa Tanzania na walijua hivyo kwa Iraq ya Saddam. Walimshambulia Saddam muda mfupi baada ya uchaguzi alipopata 99.9% ya kura. Marekani wao huangalia zaidi interests zao, na kama ikionekana kuwa utawala huu wa kimabavu unaingiliana na interests zao basi wataingilia kati. Kinachotakiwa ni kuwa na move ambayo inaingilia interests za Marekani. Move ya kuishinikiza Marekani kuiwekea ngumu serikali ya Kikwete ni move ambayo inaweza kuwa inagusa interests za marekani, kwani wakipuuza wanaweza kuwa wanajinyima ile authority yao ya kulazimisha nchi nyininge ziwe za kidemokrasia. Kwa hiyo sitaona ajabu kama kutakuwa na move ya aina hiyo halafu wakakaa Kimya. Uzuri wa serikali za wenzetu huwa ni wasikilizaji, siyo Kikwete anayeamini kuwa Kelele za mlango hazimnyimi usingizi.
 
Hapana, siyo kweli.

Marekani wanajua wazi kabisa kuwa katika sehemu nyingi za dunia, raia wanaotawaliwa kimabavu huwa wanakaa kimya wala hawafurukuti mbele ya hao watawala wao wa mabavu; wanajua hivyo kwa Tanzania na walijua hivyo kwa Iraq ya Saddam. Walimshambulia Saddam muda mfupi baada ya uchaguzi alipopata 99.9% ya kura. Marekani wao huangalia zaidi interests zao, na kama ikionekana kuwa utawala huu wa kimabavu unaingiliana na interests zao basi wataingilia kati. Kinachotakiwa ni kuwa na move ambayo inaingilia interests za Marekani. Move ya kuishinikiza Marekani kuiwekea ngumu serikali ya Kikwete ni move ambayo inaweza kuwa inagusa interests za marekani, kwani wakipuuza wanaweza kuwa wanajinyima ile authority yao ya kulazimisha nchi nyininge ziwe za kidemokrasia. Kwa hiyo sitaona ajabu kama kutakuwa na move ya aina hiyo halafu wakakaa Kimya. Uzuri wa serikali za wenzetu huwa ni wasikilizaji, siyo Kikwete anayeamini kuwa Kelele za mlango hazimnyimi usingizi.

Kichuguu:

Umeshaweka neno interests zao. Hapo umemaliza mchezo.
 
napenda mabadiliko katika nchi yetu ila watu wanakuwa na mawazo mgando ya kudhani US au EU wana hati miliki katika taifa ili . marekani si kigezo cha kusema atakuletea demokrasia katika taifa lako ni nani yeye? tanzania ni taifa huru kwahiyo hakuna sababu ya kusalimu amri kwa marekani na vibaraka wake.tunaweza kujenga demokrasia yetu pasipo marekani.
daima napenda haki katika taifa langu lakini sitokuwa tayari kusikiliza ata tone la amri toka kwa marekani na vibaraka wake wa nje au ndani ya nchi
 

- Unless kama definiton ya mwizi ni just kuita mwizi tu huku JF, then mtu anakuwa mwizi as long as aliyesema ni wewe!


William.


"Wizi" ni process ya kujipatia mali au kitu chochote kwa njia isiyokuwa halali, na mwizi ni mtu anayetumia "wizi" kujipatia kitu chochote. Unaweza kuiba wewe mwenyewe physically au kutumia mawakala kukufanyia wizi huo. Kisheria ukitumia mawakala kukukamilishiwa wizi, basi wao watakuwa ni washiriki wa wizi, lakini wewe ndiye utakuwa ni mwizi hata kama ulikuwa South Afrika wakati wizi unafanyika; vile vile kisheria wizi ni wizi tu, hakuna tofauti kati ya wizi wa shilingi moja na wizi wa shilingi bilioni moja. Katika uchaguzi, wizi wa kura una dimensions nyingi ikiwa ni pamoja na kuzuia wapigaji wa mpinzani wako wasitumie haki yao ya kumpiga kura mpinzani wako kinyume cha sheria, kuharibu kura za mpinzani wako na kubadilisha matokeo halisi ya upigaji kura ili kukunufaisha wewe binafsi kinyume cha sheria.

Hapa kwetu, kuna ushahidi wa kutosha kuwa wapigaji wa Slaa walizuiwa kupiga kura kwa kuondolewa majina yao kwenye daftari la wapiga kura, vile vile hesabu halisi za kura zimekuwa zinatofautiana na zile zilizotangazwa na NEC hata wao wakakiri makosa hayo. Kuna watu walioshikwa wakiwa wanapiga kura nyingi kinyume cha sheria lakini wakifanya hivyo kama maajenti wa wizi kulingana na maagizo yaliyokuwa wamepewa na CCM. Kwa hiyo wizi wa kura umetokea, labda tuongelee extent ya wizi wenyewe.


Kich
 
Mimi kama Mmarekani sioni sababu ya viongozi wa Tanzania kupigiwa mkwala. Uchaguzi umefuata katiba yenu. Ni katiba yenu inayosema kuwa rais ateue mkuu wa wilaya, mkuu wa mkoa, na watu wengine wanaoweza kubadilisha matokeo ya uchaguzi. Hivyo mtu aliyopo madarakani akishinda kwa kutumia madaraka aliyopewa kikatiba, hayo ni matatizo yenu.

Kwa jambo ulilolisema mkuu ni lakuzingatia kwa makini na niwazi kabisa KATIBA ndio imetufunga kwa yote tunapaswa kwanza kudai KATIBA mpya then Tukija kwenye Uchaguzi wa 2015 ndipo hapo mtaona matunda yake.

Lakini kwa hili tutalalama weeeeeeee mpaka siku hiyo watanzania watakeKATIBA mpya sasa sijui itakuwa kwa hiali yao hao viongozi walipo madarakani au kwa kumwaga damu shinikizo la watanzania?

 
napenda mabadiliko katika nchi yetu ila watu wanakuwa na mawazo mgando ya kudhani US au EU wana hati miliki katika taifa ili . marekani si kigezo cha kusema atakuletea demokrasia katika taifa lako ni nani yeye? tanzania ni taifa huru kwahiyo hakuna sababu ya kusalimu amri kwa marekani na vibaraka wake.tunaweza kujenga demokrasia yetu pasipo marekani.
daima napenda haki katika taifa langu lakini sitokuwa tayari kusikiliza ata tone la amri toka kwa marekani na vibaraka wake wa nje au ndani ya nchi


Hakuna aliyesema Tanzania ipate amri kutoka marekani wala kutuletea democracy, tunataka marekani kama mfaidikaji mkubwa wa mafisadi papa wanapokwenda kutumbua pesa za walipa kodi washikishwe adabu yaani wao pamoja na familia zao wazuiwe kwenda kusoma na kufanya shopping kwa pesa haramu ambayo wanawaibia walipa kodi wa Tanzania. Huo ndio ushirikiano tunao upigia debe. In other words money laundering.

You know what people forget very soon but facts will remain facts forever. The USA & UK are policeman of the world whether you like it or not, the reasons are many but just to mention a few. (Yes I know there are other countries which are coming up but at the moment the masters are known thats why trips to London and NY are a must for those who have it).

Tanzania which prides itself as a sovereign state under Jakaya Kikwete and Chama Cha Majambazi has legalized the use of the American currency whether its value drops or not. Sasa huu kama sio umburukenge ni nini? Then you come and say they shouldn't be our policeman, (are you joking?) day dreamers should continue to do so.

The USA and UK printed pieces of clothes when the recession hit hard and people in Tanzania and around the world are paying indirectly whether you like it or not. The USA and UK are the major donor countries to many organizations which support this evil government. .... .... ......

If they managed to sanction dictator Mugabe and his henchmen (who's now under his knees crying like a baby to be allowed in UK) why not dictator Kikwete and his henchmen? The Americans knows the movement of his dirty money and his close henchmen, if we continue to speak they will do it because their interests does not lie on dictators but the people of Tanzania.
 
Nani kwakwambia tumekubali matokeo? wakati matokeo yametoka Ijumaa Jioni ungeenda wapi kuyapinga? ndio maana ambaye hakuafiki hakudhuria sherehe za kuapisha kwa nini hawakusubiri Jtatu. Wazungu wanafiki sana ndio maana wakiibiwa Fedha pale Empress watu wanawacheka wanasema tunarudisha hela za mababu zetu! sasa hata kama waliona watasema nini wakati wanulizia nani kaingia ili awape mwanya wa kubeba madini wanyama pori, samaki wetu ili tubaki kula MAPANKI na kukondeana kama watu wa DAFRU
 
Hapana, siyo kweli.

Marekani wanajua wazi kabisa kuwa katika sehemu nyingi za dunia, raia wanaotawaliwa kimabavu huwa wanakaa kimya wala hawafurukuti mbele ya hao watawala wao wa mabavu; wanajua hivyo kwa Tanzania na walijua hivyo kwa Iraq ya Saddam. Walimshambulia Saddam muda mfupi baada ya uchaguzi alipopata 99.9% ya kura. Marekani wao huangalia zaidi interests zao, na kama ikionekana kuwa utawala huu wa kimabavu unaingiliana na interests zao basi wataingilia kati. Kinachotakiwa ni kuwa na move ambayo inaingilia interests za Marekani. Move ya kuishinikiza Marekani kuiwekea ngumu serikali ya Kikwete ni move ambayo inaweza kuwa inagusa interests za marekani, kwani wakipuuza wanaweza kuwa wanajinyima ile authority yao ya kulazimisha nchi nyininge ziwe za kidemokrasia. Kwa hiyo sitaona ajabu kama kutakuwa na move ya aina hiyo halafu wakakaa Kimya. Uzuri wa serikali za wenzetu huwa ni wasikilizaji, siyo Kikwete anayeamini kuwa Kelele za mlango hazimnyimi usingizi.

Mabadiliko yatatokea ndani ya nchi....tusipoangalia tutatengeneza vibaraka wa wamarekani. Kama miaka ya kina Patrice Lumumba. America always will serve their interests period.
 
Hakuna aliyesema Tanzania ipate amri kutoka marekani wala kutuletea democracy, tunataka marekani kama mfaidikaji mkubwa wa mafisadi papa wanapokwenda kutumbua pesa za walipa kodi washikishwe adabu yaani wao pamoja na familia zao wazuiwe kwenda kusoma na kufanya shopping kwa pesa haramu ambayo wanawaibia walipa kodi wa Tanzania. Huo ndio ushirikiano tunao upigia debe. In other words money laundering.

You know what people forget very soon but facts will remain facts forever. The USA & UK are policeman of the world whether you like it or not, the reasons are many but just to mention a few. (Yes I know there are other countries which are coming up but at the moment the masters are known thats why trips to London and NY are a must for those who have it).

Tanzania which prides itself as a sovereign state under Jakaya Kikwete and Chama Cha Majambazi has legalized the use of the American currency whether its value drops or not. Sasa huu kama sio umburukenge ni nini? Then you come and say they shouldn't be our policeman, (are you joking?) day dreamers should continue to do so.

The USA and UK printed pieces of clothes when the recession hit hard and people in Tanzania and around the world are paying indirectly whether you like it or not. The USA and UK are the major donor countries to many organizations which support this evil government. .... .... ......

If they managed to sanction dictator Mugabe and his henchmen (who's now under his knees crying like a baby to be allowed in UK) why not dictator Kikwete and his henchmen? The Americans knows the movement of his dirty money and his close henchmen, if we continue to speak they will do it because their interests does not lie on dictators but the people of Tanzania.
MAREKANI yeye si taifa la kugawa misaada pasipo na sababu na ni taifa lisilojiingiza kwenye migogoro pasipo kujua wao watanufaika na nini
Kwanza tambua marekani ndio taifa litalonufaika zaidi na madini yetu ya uranium tunayotarajia kuanza kuchimba mwaka 2013 na mikataba yake yote ilikuwa chini ya jk , pili uwepo wa dr slaa katika uongozi ni kutengua mikataba ya madini isiyonufaisha tanzania na inayowanufaisha wageni ikiwemo wamarekani, kwahiyo mpaka hapo suala la marekani kupingana na maslahi yake halipo. pili chukua mfano pakistani chini ya MUSHARAF marekani ndiyo iliyomkingia kifua asiondolewe na wapinzani wake miaka mingi sana kwa kuwa ilikuwa na manufaa nae.
kwa mugabe kosa la kupingwa na marekani na wazungu si uchaguzi bali ni ardhi aliyowapora wageni wenye maslahi na marekani na uingereza.
kwahiyo basi wote tukubaliane ya kuwa kama dr slaa atapata msaada wa shinikizo la serikali toka kwa marekani basi wajue ya kuwa lazima awe amewapa ahadi ya neema ya madini , na kulinda mikataba yao ya madini iliyofanywa na watawala waliotangulia. lazima watanzania tuache kuwa na mawazo ya kuwategemea wazungu kama wao ndi wanye kuweza kutuambia nini kizuri na nini kibaya kwetu
 
Back
Top Bottom