EU kutaka kesi ya Freeman Mbowe ifutwe hawajui kuwa Tanzania is a free State?

Uchafu wote unaondelea hapa nchini tunaujua, Magufuli hayupo, lakini serikali yote hii ni iliyopatikana kwa maagizo yake. Zile siasa za kishenzi zote alizoziacha zipo,na yote hayo tunayaona kwa macho yetu. Leo hao jumuiya ya Ulaya waje tutawapa na ushahidi wa wazi wa uchafu huo. Ccm wanafanya siasa watakavyo wakati hawako madarakani kwa ridhaa ya umma, na hawataki wengine wafanye siasa kwa mujibu wa sheria. Tunawaomba sana hao jumuiya ya Ulaya wachukue hatua kali dhidi vya serikali hii, tuko tayari kupata taabu lakini sio kutawaliwa na ccm bila ridhaa yetu.
Jamaa huwa nakuheshimu ila hii ni pumba sana
 
Tanzania ni nchi huru tena Uhuru wake ni wa miaka sitini (60) sasa

Tanzania kama zilivyo nchi nyingine za EU inayo sheria,kanuni na taratibu za kuongoza watu wake ili waishi na kujiletea maendeleo yao kwa amani na Utulivu

Freeman Mbowe na wenzake wanatuhumiwa kutenda kosa la Ugaidi na kesi inaendelea Mahakamani tena mfululizo hili dunia inajua

Utawala wa Sheria duniani kote ikiwemo EU unatamka kuwa "Hakuna aliyejuu ya Sheria " No one is above the law,

Je! Can't it be applied to Mr Freeman Aikaeli Mbowe?

CHADEMA mnataka kusema Freeman Mbowe kwa kuwa ni Mkt wa Chama chenu hawezi kutenda kosa?

CHADEMA na EU mnataka kusema Freeman Mbowe ni malaika wa nuru asiyeshawishika wala kutenda kosa?

Tunafahamu bifu kubwa lilokuwepo baina ya aliyekuwa Mbunge wa Hai Freeman Mbowe na aliyekuwa Mkuu wa Wilaya ya Hai Lengai Ole Sabaya

Miamba hii miwili ya kisiasa ilikuwa ikipimana nguvu pale Wilaya ya Hai kwa njia halali na zisizo halali,Hili wote tunalijua na CHADEMA mnalijua zaidi

Tukubaliane kuwa njia alizotumia Freeman Mbowe kutaka kumdhibiti Lengai Ole Sabaya ziliwafanya Mbowe na Sabaya kuvunja Sheria za nchi na wanaoweza ku-approve au ku-disapprove hili ni mahakama pekee kama chombo cha juu kabisa cha kutoa haki na wala sio Rais Samia

Kitendo Cha CHADEMA kuanza kuisiliba nchi yao kimataifa licha ya Juhudi kubwa zinazofanywa na Rais wetu Mhe Samia Suluhu Hassan katika kuirejesha nchi kidiplomasia halikubaliki na halitakubalika kamwe

Tujiulize, CHADEMA wanaogopa nini kama kweli Freeman Mbowe hana hatia Mbele ya Sheria?

Sote tunafahamu, CHADEMA ndio Chama chenye Mawakili wengi na nguli wa Sheria hapa Tanzania

Je? wamekwama wapi au nawao wamebaini ni kweli mteja wao anamakosa wanaamua kuigeuzia kesi hii Kisiasa kisa Freeman Mbowe ni mwanasiasa?

Kwanini leo wakimbilie kulichafua Taifa Kimataifa hata kabla ya hukumu yenyewe? Nini kimewasibu kwenye jicho la Sheria?

CHADEMA acheni kulichafua Taifa letu Kimataifa,mlisingizia Magufuli Leo tena Samia lazima mtambue Sisi hatuna nchi nyingine zaidi ya hii

Mnatuumiza sana sisi watu wa chini

Sisi hatuna uwezo wa kuishi huko Ughaibuni Ubelgiji,Canada wala Scotland kama ninyi na familia zenu

Mnanenepa na kung'aa kuwazidi hata Wazungu kwa gharama za nchi yenu hakika hii ni mbaya sana brothers

Hiyo misaada mnayotaka tunyimwe na EU ndio inawafanya watoto wa Shangazi zenu wajengewe madarasa elfu 15 na Rais Samia Suluhu

Plze Brothers & Sisters STOP IT

WAAMBIENI "EU" TUTASIMAMIA SHERIA ZETU KWA GHARAMA YEYOTE,TAIFA HILI NI KUBWA KULIKO MISAADA YA EU,
View attachment 2030228

View attachment 2030229
Lazima tuondokane na huu up.umbavu wa kukamata watu hovyo, kuwatengenezea mashtaka bandia yanayowatesa mahabusu, halafu kwa upumb.avu ule ule, tunatoka na kusema kesi ipo mahakamani, tusubiri mahakama itaamua. Ni lazima nchi iongozwe na watu wenye akili timamu, watu wenye dhamira njema, na wenye uadilifu, na siyo kama ilivyo sasa.

Polisi ni lazima iongozwe na watu wenye akili timamu, wenye maadili na dhamira njema. Siyo watu wa aina akina Kingai, Mahita, Goodluck na Jumanne, watu wenye hulka zote za ujambazi.

Kesi hizi za kutengenezwa, hata kama mahakama baadaye ikakuona huna hatia, lakini hawa wapu.mbavu watakuwa wamefanikiwa kukutesa na kukupotezea muda. Hili, watu wote wenye akili timamu, uelewa na dhamira njema, tulipinge kwa nguvu zote.
 
Chadema ni genge la wahuni wenye kutaka kushika dola
TUNAHITAJI WAHUNI WAPYA WATAKAOENDANA NA KIZAZI HIKI KULIKO HAO WAHUNI WENU WA KIZAMANI WANAOTUMIA MAMBINU YA KIZAMANI KAMA KUTESA KUUA NA KUBAMBIKIA WATU MAKESI YA HOVYO HOVYO!
 
Chadema ni jamii Frani ya nyoka yenye vichwa viwili ,hawangalii madhara yanayoweza kuwapata Watanzania hasa WA kipato cha chini ,wao ni kubwatuka tuuu.Wanasheria Bora na wabobezi Wapo chadema Sasa wanaogopa nini .kesi IPO Mahakama pambaneni vidume
Polee sana, hoja za watoto wa chekechea hazikeshi
 
Jamaa huwa nakuheshimu ila hii ni pumba sana
Sijawahi kuomba heshima kwa majizi yoyote ya kura. Hivyo usitegemee nasubiri heshima yoyote toka kwako. Tutaunga mkono yoyote, kama weusi wa Afrika kusini walivyotuunga mkono tulipowapa msaada wa hali na mali, ili kuwang'oa makuburu huko kusini mwa Afrika.
 
We jamaa utakua na chuk binafsi na hao uliowaorodhesha!

Sio kwamba hawajali maslah ya nchi na si kwel kwamba walimkimbia magufuli mazima na kwamba unajishangaza kuwa magu hayupo ila Bado wako huko na hawatak kurudi!

Ukwel ni kwamba;
CCM + POLICCM=WATU WASIOJULIKANA WANAOJULIKANA

Hii hoja yako imekaa kimkakati na kimtegomtego hivu ili mtengeneze mazingira ya kuwamiminia risasi Kama mlivyofanya kwa lisu, na Kama jinsi mlivyowatesa makomandoo wasio na hatia yoyote!
ila sote ni watu wazima mbinu inasomeka akilin mwa mwenye akili
Mkuu umeandika vizuri ila sio sahihi,

Hebu tuiache Mahakama ifanye kazi yake,
 
Back
Top Bottom