EU kutaka kesi ya Freeman Mbowe ifutwe hawajui kuwa Tanzania is a free State?

CCM akili yao wanaijua wenyewe.

Wakati Maza anaxunguka kushoot movie yake watu wakishangilia. Leo wamekazana na Ugaidi. Mikutano inazuiliwa kisa ugaidi... Hivi wanafikiri kuna watalii wanataka kwenda kwenye nchi yenye ugaidi...!!?
 
CHADEMA ni vibaraka siku zote, Hatushangai, Ila wananchi wameshawakacha
Haiizidi ccm kwani ni vibaraka watiifu wa wachina Hadi wanawazawadia gesi yetu na bandari ya bagamoyo Kwa utii na moyo mkunjufu! Una akili yenye makengeza wewe!
 
CCM wakinyamaziwa watakuwa kama yule Dictator wa Equatorial Guinea.
 
Sio Tanzania tu nchi zote za Africa hazijawa huru! Usipumbazwe na uhuru wa makaratasi.

Angalia bajeti ya Tanzania ni kiasi gani kinachangiwa na hao mnaoita mabeberu ndio utajua lazima kuna vitu viwe complied ndoa iendelee kuwepo.
Unazungumzia uhuru gani?
 
Lazima tulinde sheria tulizojiwekea,
Ambazo siyo lazima kuzingatia kwani zinaichelewesha nchi kusonga mbele! Hizo sheria ni zile zilizotokana na katiba mnayoivunja Kila uchao au Kuna nyingine mmecopy kutoka Burundi ma Uganda?
Kwa taarifa Yako ni kwamba nchi hii ilishaachana na matumizi ya sheria na katiba badala yake inaongozwa Kwa ilani na matamko ya walio juu!
 
Acha mambo mengi tuchape kazi
 
Lete mfano

Bajeti ya dawa ni 200b+, nenda kachukue taarifa ni kiasi kimefika. Kisha uwahi kurudi tuendelee na mjadala. Kilimo bajeti yake ni chini ya 100b, nenda ukachukue taarifa za kiasi kilichopelekwa na serikali.Usiokoteze taarifa mtaani, bali chukua taarifa kwenye ripoti ya CAG ya bajeti iliyopita. Hapo ndio utajua zama za kudanganya watu zilishapita.

NB: Halafu mjulishe Makamba ule utapeli wake kuwa alionana na viongozi wa Tunisia sijui Algeria kuhusu kununua mafuta direct toka kwa mchimbaji, umeishia wapi maana mafuta yanazidi kupanda bei. Au ndio alienda kutuwekea cha juu? Kisha mkumbushe PM ule uongo wake kuwa SGR kipande cha Dar-Moro kitaanza kazi Nov 2021 tumeustukia tunamchora tu. Umesikia au niongeze sauti?
 
Kama CHADEMA tangu iasisiwe miaka 32 imeongozwa na ndugu wawili tu,

Edwin Mtei
Freeman Mbowe

Unataka Udicteta gani?
Wewe mtoto wa juzi nini. Walau muwe mnagoogle kabla ya kuandika uongo. Mambo ya chama kiachie chama.

Nyerere alikuwa Mwenyekiti wa chama kwa zaidi ya miaka 30.
 
Kwa Tanzania kuwa nchi ya pili kwa uhuru wa maoni Afrika sio hoja maana unaweza kutoa maoni ya ngono tu na mambo mengine ya kawaida sio uhuru wa kuikosoa serikali.

Kuongoza ktk darasa la wajinga hakukuondolei ujinga
Ukiikosoa kuna watu wasio zidi sita ambao ni kikosi cha wasio julikana wana zunguka Tanzania nzima na ma vx ya walipa kodi kuteka watu na kuwaficha kwenye mahabusu zao bila kuulizwa na mtu. Na kuwafungulia kesi wanayo taka wao. Au kukupoteza. Ati Tanzania tuna IGP!!! Ujinga mtupu. Mahakama nazo zinapokea mashtaka ya kipuuzi. Shame!!! Shame Tanzania!!!!
 
Hao wasiojulikana mwisho wao umefika,hakuna maovu yanayodumu na malipo yao uwa lazima tuyashuhudie kabla ya mauti
 
Hivi mbowe ni malaika mpaka asiweze tenda kosa? Hii tabia ya chadema kujiona wao ni wasafi ila wengne wachafu ni tabia ya hovyo sana ..

mimi binafsi sifufahishwi na uongozi wa samia kwasababu zangu binafsi kiufup simkubali kabisa.

Ila kuhusu mbowe lazima sheria zifuatwe, haiwezekani wengine wahukumiwe alafu yeye et kisa mtu maarufu sijui mwenyekiti wa chadema ndo kesi ifutwe!!! Hili halikubaliki na lazima tuwaambie ukweli nyie mnaoendekeza ushabiki kwa mwenyekiti wenu ..

Sasa tunawaambia waambie hao mabeberu tanzania ni taifa huru linajiendesha kwa misingi yake iliyojiwekea, taifa hili haliwezi kupangiwa na mpuuzi yeyote na hili lazima mabeberu na vibaraka wenu mlitambue.. tunataka haki itendekeze na sio upuuzi wa kushinikiza kuondoa kesi mahakaman
 
EU yajibu kuwa inaridhika na mwelekeo wa serikali ya Rais Samia Suluhu Hassan kisiasa na kiuchumi na itaendelea kutoa misaada Tanzania
 

Attachments

Maskini Hana Uhuru, mbowe ashitakiwe kwa makosa alotenda na si kwa makosa alosingiziwa.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…