Eti wanawake weusi hawana mvuto?

Eti wanawake weusi hawana mvuto?

Hilo litabaki kuwa ni mtazamo wako kwani utafiti wako sio wa kisayansi kwani hauna misingi ya utafiti,ingawa inawezekana kuna punje ya ukweli ndo maana wanawake wengi wanajichubua!!
 
MIMI NAPENDA SANA MWANAMKE MWEUSI, KAMA WEWE NI MWANAMKE MWEUSI NI PM, TUWASILIANE COZ BLACK NI UGONJWA WANGU
Kweliiii eeeee....hahahaaa sorry ila mdogo wangu anahizo sifa ni PM nikuunganishe...hahahaaaa umuoe kabisaaaa
 
Kwa utafiti niliyofanya, nimegundua Wanaume wengi wanavutiwa zaidi na mwanamke weupe kuliko weusi. Unakuta wanawake wawili labda wanafanana features kama face shape, macho, figure lakini tofauti rangi, basi yule mweupe ndo anashobokewa kuliko mweusi.

Wanaume nawashangaa, wako tayari kuwa na mwanamke shapeless, sura imekomaa, mladi ni mweupe.

Ni ushamba au mimi tu nina mtazamo wa tofauti. Kwanini tunajikataa waafrica uhalisia wetu.
Kuna watoto weusi wakali balaa.
 
Back
Top Bottom