jjs2017
JF-Expert Member
- May 25, 2019
- 2,023
- 4,213
Habari ndugu zangu..
Wanawake weupe hawana mvuto kabisa na wala hawana ladha hata kidogo kunako sita kwa sita.
kwa upande wangu mwanamke rangi ya andazi au mweusi wa asili anavutia sana nani warembo sana hakika wana ukosha sana moyo wangu.
Unakuta mwanamke mweusi au rangi ya andazi, mtoto haringi wala, mwili umepangika, hipsi na paja la kueleweka, mtoto kiuno, joint za nyuma ya goti ndiyo usiseme zinaongea. Mtoto mtoto kweli hakika wanawake wa hivi sifa ziende kwenu. Muishi sana hamnabaya hata kidogo
Kweli wanawake weusi au wenye rangi ya andazi sifa ziende kwenu.
Mbinguni nafasi yenu ni ya mbele , Mungu awatunze sana kwaajili yetu sisi wanaume.
Sent from my TECNO KC8 using JamiiForums mobile app
Wanawake weupe hawana mvuto kabisa na wala hawana ladha hata kidogo kunako sita kwa sita.
kwa upande wangu mwanamke rangi ya andazi au mweusi wa asili anavutia sana nani warembo sana hakika wana ukosha sana moyo wangu.
Unakuta mwanamke mweusi au rangi ya andazi, mtoto haringi wala, mwili umepangika, hipsi na paja la kueleweka, mtoto kiuno, joint za nyuma ya goti ndiyo usiseme zinaongea. Mtoto mtoto kweli hakika wanawake wa hivi sifa ziende kwenu. Muishi sana hamnabaya hata kidogo
Kweli wanawake weusi au wenye rangi ya andazi sifa ziende kwenu.
Mbinguni nafasi yenu ni ya mbele , Mungu awatunze sana kwaajili yetu sisi wanaume.
Sent from my TECNO KC8 using JamiiForums mobile app