respiration
Member
- Aug 14, 2015
- 28
- 12
HaaahhahahHuo utafiti hauna tofauti na ule wa makalio ya mama na akili za mtoto....!!!
HaaahhahahHuo utafiti hauna tofauti na ule wa makalio ya mama na akili za mtoto....!!!
Hapa kasema hata kama vigezo vinaelekeana, na nadhani kwa kiasi ni ukweli "Ndio maana wanawake wanajichubua, au kijing'arisha). Wanaume wengi (sio wote) wanapenda wanawake weupeSidhani kama mleta mada uko sahihi maana weupe au weusi si kigezo cha mtu kuwa na mvuto. Na mwanaume anavutiwa na vingi kwa mwanamke ukiachana na rangi ya ngozi. Kuna weupe wengi tu wasiovutia na mtu hawezi kuwataka hata kwa pesa na kuna weusi wengi walio na mvuto sana tu kama walivyo wabaya wenye ngozi nyeusi tu. Au sijakuelewa?
@Evelyn Salt unapenda hela asee..daah😀😀😀Inawezekana, kama wanawake ambavo hatuvutiwi na wanaume wasio na hela....
Huyo wa kwanza upande wa juu ni mweusi tiiii,hadi raha.
Kipendacho roho,hula nyama mbichi.Kwa utafiti niliyofanya, nimegundua Wanaume wengi wanavutiwa zaidi na mwanamke weupe kuliko weusi. Unakuta wanawake wawili labda wanafanana features kama face shape, macho, figure lakini tofauti rangi, basi yule mweupe ndo anashobokewa kuliko mweusi.
Wanaume nawashangaa, wako tayari kuwa na mwanamke shapeless, sura imekomaa, mladi ni mweupe.
Ni ushamba au mimi tu nina mtazamo wa tofauti. Kwanini tunajikataa waafrica uhalisia wetu.
Kwa hiyo msimamo wako ni upi???.Izo ni dhana tu mapenzi ni zaid ya rangi..labda ujisemee mwenyewe na usitujumuishe wanaume wote..."utamu wa chai sukar dingi"
Kwa utafiti niliyofanya, nimegundua Wanaume wengi wanavutiwa zaidi na mwanamke weupe kuliko weusi. Unakuta wanawake wawili labda wanafanana features kama face shape, macho, figure lakini tofauti rangi, basi yule mweupe ndo anashobokewa kuliko mweusi.
Wanaume nawashangaa, wako tayari kuwa na mwanamke shapeless, sura imekomaa, mladi ni mweupe.
Ni ushamba au mimi tu nina mtazamo wa tofauti. Kwanini tunajikataa waafrica uhalisia wetu.
Kwa utafiti niliyofanya, nimegundua Wanaume wengi wanavutiwa zaidi na mwanamke weupe kuliko weusi. Unakuta wanawake wawili labda wanafanana features kama face shape, macho, figure lakini tofauti rangi, basi yule mweupe ndo anashobokewa kuliko mweusi.
Wanaume nawashangaa, wako tayari kuwa na mwanamke shapeless, sura imekomaa, mladi ni mweupe.
Ni ushamba au mimi tu nina mtazamo wa tofauti. Kwanini tunajikataa waafrica uhalisia wetu.
Hhhhaa u made my daykama weupe ni dili kiganja kisingechambiwa.
MIMI NAPENDA SANA MWANAMKE MWEUSI, KAMA WEWE NI MWANAMKE MWEUSI NI PM, TUWASILIANE COZ BLACK NI UGONJWA WANGUKwa utafiti niliyofanya, nimegundua Wanaume wengi wanavutiwa zaidi na mwanamke weupe kuliko weusi. Unakuta wanawake wawili labda wanafanana features kama face shape, macho, figure lakini tofauti rangi, basi yule mweupe ndo anashobokewa kuliko mweusi.
Wanaume nawashangaa, wako tayari kuwa na mwanamke shapeless, sura imekomaa, mladi ni mweupe.
Ni ushamba au mimi tu nina mtazamo wa tofauti. Kwanini tunajikataa waafrica uhalisia wetu.
Alaaa kumbeInawezekana, kama wanawake ambavo hatuvutiwi na wanaume wasio na hela....