mito
JF-Expert Member
- Jun 20, 2011
- 10,513
- 10,404
Jamani kuna malalamiko toka kwa baadhi ya wanaume wa kitanzania kwamba wanawake/wasichana wengi wa kibongo hawajui maana ya kuolewa. Eti wanadhani ni kupata mahali pa ku-deposit matatizo yao. Matokeo yake sasa;
1) ukishamuoa halafu akagundua kwamba huwezi mtatulia matatizo yake, atakuacha au atakufolenisha
2) pia ukishamuoa halafu akawa na uwezo wa kuyatatua mwenyewe, ataanza nyodo
3) na akiwa na uwezo wa kuyatatua mwenyewe kabla ya kuolewa, ataanza kuona ndoa ni 'subsidiary', na anaweza asitake kuolewa kabisaaa
Wana JF mnasemaje kuhusu huu mtazamo? toa maoni yako basi!
1) ukishamuoa halafu akagundua kwamba huwezi mtatulia matatizo yake, atakuacha au atakufolenisha
2) pia ukishamuoa halafu akawa na uwezo wa kuyatatua mwenyewe, ataanza nyodo
3) na akiwa na uwezo wa kuyatatua mwenyewe kabla ya kuolewa, ataanza kuona ndoa ni 'subsidiary', na anaweza asitake kuolewa kabisaaa
Wana JF mnasemaje kuhusu huu mtazamo? toa maoni yako basi!